Safi sana ipo siku CHADEMA itasambaa kila kona ya nchi!!!
never on earth, labda kusambaa makanisani kote ila si tz yote, thubutu!!!!!!!!
@ Madaraka naona nitumie taarifa yako hii hapa JF japo sio yote ,Siku mbili zilizopita, nikielekea kilele cha Mlima Kilimanjaro, katika kambi ya Barafu, ambayo ni kituo cha mwisho kabla ya safari ya kufika kilele cha Uhuru niliona bendera ya CHADEMA ikipepea.
Kwa mujibu wa taarifa nilizopata toka kwa wapagazi wanaosindikiza wageni kupanda Mlima Kilimanjaro wanaojulikana miongoni mwao kama "wagumu", kutokana na kazi ngumu wanayofanya kusindikiza wageni juu ya mlima huu maarufu, shughuli za CHADEMA zimeanza juu ya Mlima Kilimanjaro miaka mitatu iliyopita.
CHADEMA hawana tawi juu ya Mlima Kilimanjaro ila nilichoshuhudia mimi na jitihada za wana-CHADEMA kupeperusha bendera ya chama chao kwenye sehemu iliyo juu kuliko zote Tanzania. Kambi ya Barafu ipo urefu wa mita 4,600 juu ya usawa wa bahari.
Posted by Madaraka at 7:08 AM
That was an insult,not the other way round ,i remind you to respect others postsFroida acha jazba. Imekuuma! You should be ready to hear adverse opinions however bitter they may be lest you be considered as a novice contributor or debater.
Freedom is coming tomorrow!
CUF ni chama gani tena? Kile cha waislamu kule visiwani