Bendera ya ccm ina alama ya jembe kumaanisha mkulina na nyundo kwa mfanyakazi. Hivi mkulima na mf'kazi wana lolote pale? Nadhani wafanyabiashara za mikataba tata kama rchm au dow.. (wanaofaidi zaidi) hakuna alama yao kwenye hiyo bendera. Au kijani ina maana ya wafanyabiashara wakuuubwa na vigogo kadhaa. Nashawishika kusema bendera hiyo ya kijamaa haina tena relevance ktk jamii ya ki-capitalist., uwekezaji, utandawazi, nk. Hivyo ibadilishwe.