Nadhani kuna haja ya kuwa na sheria ya nchi inyoasimamia rangi za bendera za vyama vya siasa ili zifanane na zile za bendera ya Taifa ila kila chama kiwe na design yake.
wekundu kwenye bendera inamaanisha kuwa taifa hilo lilijipatia uhuru wake kwa njia ya kumwaga damu.Kwenye hizi bendera yenye rangi nyekundu inaashiria kuwa tz tulipata uhuru kwa kupigana i.e vita ya majimaji,etc.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.