Benard Saanane jisafishe haraka; atoa maelezo

Status
Not open for further replies.
Mimi sikuleta hii thread hapa ndio maana ukiangalia mchango wangu wa mwanzo niliuliza nini dhamira ya hii thread hapa wakati uchaguzi umeisha unaweza kuisoma ipo juu mwanzoni kabisa; ninachoona hapa nikuwa CCM wanalalamika sana Ben kuenguliwa na yamkini ndio walioanzisha hii thread kwa lengo ambalo nyie mnalijua na mnataka kututia kwenye mtego ilituingie tunase! Mi ninavyojua na ninavyoona maneno ya Ben na malalamiko yenu humu na michango yake bado mnamponza na kama wana CDM makini wamo humu wanaona na kufuatilia lazima kuna points wanazipata juu yenu na juu ya Ben!

Mi sioni haja ya hii thread hapa labda kama lengo ni kumsafisha mtu wenu, na kumsafisha mnakotaka ndiko kunazidi kudhiirisha kuwa ni mtu wenu! Kama nilivyosema awali Nyie rafikize ndio mmemponza zaidi na hapa bado mnazidi kumponza msidhani watu ni wajinga kiasi hicho, mtaweza kuwadanganya mara moja lakini hamta weza kuwadanganya kila siku!



Unaweza kumsoma mtu kutokana na mchango wake na hoja zake ukamjua anakotoka na anakoenda! Nadhani kubalini kuwa mmeshindwa katika hili na mbadilishe mbinu yaani mjipange upya! Kujadili zaidi hii hoja aina mashiko labda kama Ben anatakakujiunga na CCM baada ya hii thread kwa hiyo mna jaribu kutengeneza njia ya kutokea!

Arafat,

Nakuheshimu sana.Tafadhali njoo uthibitishe hizo tuhuma zako,kuna mjadala unataka kuuanzisha hapa.Tafadhali naomba usinihusishe na CCM.

CCM wataenda wengine wenye njaa na opportunists,misimamo yangu iko pale pale.Naomba tafadhali usijaribu kujishushie hadhi kwa upotoshaji wako au kuandika bila Tafiti.
 
nilikuwa natafuta lengo la hii thread nadhani malengo yake hasa yalikuwa ni haya uliyoanza kuandika hapa!

Cha ajabu sana wanaolalamika sana humu kuhusu Ben kuenguliwa ni CCM na siyo Chadema! Kulikoni? Hii thread haikuwa na maana yoyote tofauti na lengo lenu nyie mliotaka kuleta mtandao wenu ndani ya CDM utafuta njia ya kujiosha lakini hamjui mlifanyalo maana kama mnataka kujisafisha njia nzuri ni ndani ya Chama na si hapa JF maana hapa sipo maala pake, kumbukeni kuwa hapa ndipo mlipo potezea turufu yenu ya nia mbaya dhidi ya Chadema msidhani kuwa humu JF wote ni watoto wenzenu wengine ni baba zenu na wameanza kuliona jua kabla hamjazaliwa.

Suala la Ukombozi wa Tanzania limefika katika peak hours watu wenye mtazamo na macho ya Utumwa hawana nafasi tena! Kuna watu wanadhani kuwa hili swala ni la CDM peke yake si kweli hii sasa ni agenda hadi ndani ya vyombo vyote vya Umma, ndani ya Makanisa na hata ndani ya Misikiti ukishaona agenda inasumbuwa hadi vichwa vya Makasisi na Maimamu juwa kuwa hata anayekutuma kwenda kuivuruga anaweza kuwa anaiunga mkono, na unapoondoka tu ofisi anatoa taarifa sehemu husika kuwa Mr.xyz is not good fellow angalia moja. mbili na tatu utajionea mwenyewe.

Tanzania ya Leo siyo ya Jana Poleni sana.
Binafsi Ben simfahamu lakini nilimtilia mashaka kutoka day one alipotoa maelezo yake na kufuatiwa na wapambe ambao wengi wao tunawajua misimamo yao dhidi ya CDM ni pro-CCM kama hiyo haitoshi wengi wanaolalamika kuenguliwa kwake ni hao hao pro-CCM wanadiriki kumwambia akatafute haki Takukuru au mahakamani kitu ambacho kina sound vizuri masikioni lakini si kizuri sana kwa ustawi wa chama. Mtu kama Nuclear1 ambaye anajulikana msimamo wake kuhusu Chadema leo anajidai kulaumu na kumponda Ben lakini ukiangalia mantiki yake si kuisaidia CDM ni kumchagiza Ben achukue hatua itakayoleta mtafaruku ndani ya Bavicha. Nasema tena Ben kaponzwa na wapambe wake na bado wanazidi kumponza Ben asifikiriwe hata huko mbeleni na kufanya wasifanikiwe lengo lao. Kuna mtu kasema hawa mamluki lioletwa kuishambulia CDM wanarusha risasi ovyo bila kulenga shabaha.
 
Binafsi Ben simfahamu lakini nilimtilia mashaka kutoka day one alipotoa maelezo yake na kufuatiwa na wapambe ambao wengi wao tunawajua misimamo yao dhidi ya CDM ni pro-CCM kama hiyo haitoshi wengi wanaolalamika kuenguliwa kwake ni hao hao pro-CCM wanadiriki kumwambia akatafute haki Takukuru au mahakamani kitu ambacho kina sound vizuri masikioni lakini si kizuri sana kwa ustawi wa chama. Mtu kama Nuclear1 ambaye anajulikana msimamo wake kuhusu Chadema leo anajidai kulaumu na kumponda Ben lakini ukiangalia mantiki yake si kuisaidia CDM ni kumchagiza Ben achukue hatua itakayoleta mtafaruku ndani ya Bavicha. Nasema tena Ben kaponzwa na wapambe wake na bado wanazidi kumponza Ben asifikiriwe hata huko mbeleni na kufanya wasifanikiwe lengo lao. Kuna mtu kasema hawa mamluki lioletwa kuishambulia CDM wanarusha risasi ovyo bila kulenga shabaha.

Hillarious,i like this conclusion.Ukweli siku zote hauwezi kuamuliwa kwa idadi ya kura au uwingi wa watu.Siku moja,ukweli utadhihirika tu.Nasonga mbele.Najiamini,na siwezi kuwathibitishia wale mashabiki wanaofuata mkumbo tu bila reasoning,nitapoteza muda
 
Hillarious,i like this conclusion.Ukweli siku zote hauwezi kuamuliwa kwa idadi ya kura au uwingi wa watu.Siku moja,ukweli utadhihirika tu.Nasonga mbele.Najiamini,na siwezi kuwathibitishia wale mashabiki wanaofuata mkumbo tu bila reasoning,nitapoteza muda
Keep on yetu macho.
 
Ben
Ben
umekuwa muwazi na hicho ndicho tunachokihitaji sasa,nchi hii inawahitaji watu kama nyie wenye machungu na muono wa mbali juu ya maisha na uchumi wa nchi yetu
hakika umesema kweli daima fitina kwako mwiko
kaza buti mkuu
 
Hillarious,i like this conclusion.Ukweli siku zote hauwezi kuamuliwa kwa idadi ya kura au uwingi wa watu.Siku moja,ukweli utadhihirika tu.Nasonga mbele.Najiamini,na siwezi kuwathibitishia wale mashabiki wanaofuata mkumbo tu bila reasoning,nitapoteza muda

Wise words Ben, don't waste your precious time trying to justify your decision, you owe nobody an explanation

To me what matters the most was the fact that u had let bygones be bygones and had accepted your party's decision, so lest any man be the first to point a finger @ you for even competing in tht race was courageous(sp) enough

The fact that u will still be with CDM and give support to the current BAVICHA chair elect is enough, people will always talk, people will always judge! You just can't satisfy them all the times

I for one appreciate and acknowledge you as a daring and worthy candidate promising enough to carryon the good work

Keep it up!

Mhandisi.
 
Mods naomba usiifunge taarab hii kama ulivyofunga jana,nishanunua gahawa na kashata!!
 
Mimi sikuleta hii thread hapa ndio maana ukiangalia mchango wangu wa mwanzo niliuliza nini dhamira ya hii thread hapa wakati uchaguzi umeisha unaweza kuisoma ipo juu mwanzoni kabisa; ninachoona hapa nikuwa CCM wanalalamika sana Ben kuenguliwa na yamkini ndio walioanzisha hii thread kwa lengo ambalo nyie mnalijua na mnataka kututia kwenye mtego ilituingie tunase! Mi ninavyojua na ninavyoona maneno ya Ben na malalamiko yenu humu na michango yake bado mnamponza na kama wana CDM makini wamo humu wanaona na kufuatilia lazima kuna points wanazipata juu yenu na juu ya Ben!

Mi sioni haja ya hii thread hapa labda kama lengo ni kumsafisha mtu wenu, na kumsafisha mnakotaka ndiko kunazidi kudhiirisha kuwa ni mtu wenu! Kama nilivyosema awali Nyie rafikize ndio mmemponza zaidi na hapa bado mnazidi kumponza msidhani watu ni wajinga kiasi hicho, mtaweza kuwadanganya mara moja lakini hamta weza kuwadanganya kila siku!



Unaweza kumsoma mtu kutokana na mchango wake na hoja zake ukamjua anakotoka na anakoenda! Nadhani kubalini kuwa mmeshindwa katika hili na mbadilishe mbinu yaani mjipange upya! Kujadili zaidi hii hoja aina mashiko labda kama Ben anatakakujiunga na CCM baada ya hii thread kwa hiyo mna jaribu kutengeneza njia ya kutokea!
Namfahamu Ben kama mwana JF na si zaidi ya hapo,tena hata last name yake ndiyo mimeijua baada ya kusoma hii issue.Ndio nikajua kuwa ni Ben huyu humu JF.Wadudu kama panzi,mende nk wanatumia papasi zao kutambua kilichopo mbele yao.Haiyumkini sisi ni tofauti,tafadhali usipapase papase bila hoja ya msingi.Kusema mjipange upya unaharibu,inapelekea heshma yenu kushuka sasa.Maana sitaamini mtakayokuwa mnasema juu ya member ama viongozi wengine.Maana maslahi yenu yakiguswa basi hamna tofauti na Nape.Simfahamu Ben,na wala sijawahi kuwasiliana naye by any means.Mimi najadili mambo yanayoletwa JF na si kwenye chama chenu.Mambo yenu ya vyama mbaki nayo mimi sina chama.Nataka nifahamu hicho kifungu cha 10 alichovunja huyu member wa JF wakati akigombea nafasi hiyo kwenye chama chake cha siasa,is there anything wrong with that?Je nimekiuka kanuni za JF hapa?
 
ulijadili namna au uwezekano wa kuunganisha hoja zetu ili tumpigie kampeni mgombea huyo ashinde. Wakati huo huo mimi nikiwa tayari kujitoa lakini nimsaidie mgombea mwingine. hii sentesi hapo juu kwa kweli inanipa wakati mgumu.......sion umuhim wa wewe kuwa mgombea...sasa tunaposema umetusaliti ndo katika mambo kama haya..ulikuja na sera nzuri hapa jf.tukakuamini sana kumbe deep down ulikuwa na plan ya kujitoa.......huku ndo kusaliti kwenyewe...........



Edson has a big point here, ilinipa taabu kidogo na mimi niiposoma mistari hii, though sikuwa na nia ya kufatilia sana kwa undani, lakini nafikiri bwana ben anahitaji kutuelewesha vizuri katika hili kama kweli hakuwa na matatizo yoyote kwenye uchaguzi.
 
Mkuu Ben tupo pamoja, huu ni mwanzo wa safari, km vijana wa kitanzania na wapenzi wa chadema dhahiri tunasafari ndefu na mapambano mengi mbele yetu. Hii ndio siasa, usikate tamaa bt jipange zaidi! Naiman utafanikiwa, CHADEMA TUTAFANIKIWA!
 
Kwanza kabisa ndani ya Nafsi yangu niliamini kwamba naweza kutoa mchango wangu katika harakati hizi moja kwa moja. Hata hivyo niliona haja ya kuunganisha nguvu na wagombea wengine waliokuwa tayari.

Lengo langu halikuwa Madaraka, tulijadili, tukaulizana sasa ni nani wa kuitoa sadaka Nafasi yake? Mimi nikawa tayari kufanya hivyo, nikawapa changamoto wale wagombea wawili wakubaliane.

Pia nilizingatia utayari wa kushaurika, uwezo wa kusimamia hoja zetu katika uongozi. Lengo langu lilikuwa ni kuwa na baraza huru, lisiloshikwa Mateka na lenye maslahi kwa vijana katika kurahisisha harakati zetu za kuchukua dola.

Pia tulizingatia Baraza lenye kubeba haiba na sura ya kitaifa litakalowafanya vijana wajiskie wao ni sehemu ya baraza hilo bila kujali kabila au Dini.

Pia kama wanasiasa tulitathmini uwezo wa kushinda kwa kiwango cha kuridhisha, ilionekana kutakuwa na uwezekano wa kushinda kwa zaidi ya asilimia 75 ingawa kabla nilikuwa na uhakika wa kushinda kwa zaidi ya Asilimia 60.

Nitarudi baadae.

Bwana Ben, lengo langu si kukuumiza, na wala sina tatizo binafsi na wewe zaidi ya kutaka kufahamu zaidi nikiwa kama mwana chadema mwenzio, tena kijana, pamoja ya kwamba nipo above 30 kidogo sana.

Mimi kama mfuasi wa chadema sijawahi kuwa na mashaka makubwa na chama changu, kama huwa yapo basi ni kidogo sana na kwa lugha nzuri, naweza kusema ni umakini ambao sana huwa nauweka kwa watu wa nje ya chadema ambao wanaweza kuwa na nia ya kuharibu chama kwa namna moja ama nyingine.

utanisamehe pia kama maelezo yangu yataonyesha kutokukuelewa vizuri:-

nilivyokuelewa mimi, naona kama ulikuwa na mashaka makubwa sana na uchaguzi kuliko kawaida, mashaka yako, yalikuwa ni kama kiongozi wa chama anaehofia uchaguzi kuharibiwa, zaidi ya mashaka ya mgombea anaehitaji nafasi fulani, wewe kama mgombea unakuwa na haki sawa kama mgombea mwingine yoyote, na sidhani kama unahaki ya kumtilia mashaka mgombea mwenzako kama anafaa au hafai, kwa mfano ni quote statement yako hapa "Pia nilizingatia utayari wa kushaurika, uwezo wa kusimamia hoja zetu katika uongozi. Lengo langu lilikuwa ni kuwa na baraza huru, lisiloshikwa Mateka na lenye maslahi kwa vijana katika kurahisisha harakati zetu za kuchukua dola" unazungumza kwa nafasi ya mtu anaesimamia uchaguzi, na sio mgombea, angalia na hapa pia ni yale yale "Pia tulizingatia Baraza lenye kubeba haiba na sura ya kitaifa litakalowafanya vijana wajiskie wao ni sehemu ya baraza hilo bila kujali kabila au Dini." kwa ujumla , ukifatilia vizuri statement zako, nyingi zina utata, its like ulitaka kuwa juu ya sheria.hapo kuna tatizo mzee

samahani kama nimequote vibaya.naweza kurekebishwa.
 
Hongera ben kwa kuonyesha falsa yako thanx tuko pamoja tukomboe hii nchi
please usidanganyikee
 
Taifa_Kwanza na WanaJF kwa ujumla,

Kwanza kabisa naomba Moderators Msihamishe hii thread au kuunganisha na Nyingine.

Nashukuru sana kwa sababu nimeona Jf kuna waungwana, wachambuzi wa mambo na watu wasiosukumwa na ushabiki. Pia katika mchakato huu wa Uchaguzi, nimeshuhudia mambo mengi ambayo hata ninyi mngeyashuhudia nahisi hata fikra na mitazamo yenu ingebadilika.

Hii thread nimeona nichangie kwa sababu ina hamu na imeonyesha jitihada za kutafuta ukweeli lakini hata hivyo ni lazima nizingatie Umoja wa Chama chetu kwanza. Maadui wetu wa kwanza ni CCM na sera zake mbovu. Nataka kujiepusha na harakati zote za kukigawa chama chetu, nazingatia Maslahi ya taifa letu na tumaini la watanzania wanaotegemea CHADEMA kama tunu kwao katika kulikomboa taifa letu.

Siku zote mimi ni muumini mzuri wa kanuni. Kama chama kimeona nimekiuka kanuni, basi ni lazima niwajibishwe. Tujiulize au naomba kuulizwa katika muktadha wa kidemokrasia, je Saanane umekiuka kanuni za uchaguzi?

Mazingira ya kuvunja kanuni: Niliunganisha nguvu na wagombea wenzangu wawili. Kanuni tata iliyovunjwa ni ile ya kukataza kampeni kabla ya muda.

Tulijadili namna au uwezekano wa kuunganisha hoja zetu ili tumpigie kampeni mgombea huyo ashinde. Wakati huo huo mimi nikiwa tayari kujitoa lakini nimsaidie mgombea mwingine.

Lengo langu si madaraka, mimi si mroho wa madaraka. Ninaipenda Bavicha na ninakipenda chama changu. Katika kuunganisha kwetu nguvu, tulizingatia utayari wa mwenyekiti mtarajiwa kushaurika na mwenye kubeba haiba ya chama katika sura ya Kitaifa ili vijana wote wajisikie kwamba BAVICHA ni sehemu yao.

Lengo kuu la Bavicha ni kuratibu, kuhamasisha miundombinu na raslimali katka mchakato huu wa mabadiliko kupitia vijana wote Tanzania kwa ajili ya kuking'oa chama cha Mapinduzi. Nilizingatia hilo, Bavicha ni kubwa kjuliko Saanane, ni kubwa Kuliko Greyson na ni kubwa kuliko kiongozi au Mtu yeyote ndani ya chama Chetu.

Hapa wazo langu lilikuwa ni maslahi ya Bavicha kwanza, maslahi ya vijana kwanza. Kama ni kuwa mateka basi nilishikwa mateka na hisia zangu za kutaka kujitoa sadaka kwa ajili kujenga uongozi wa Bavicha uliotukuka.

Mengi yamesemwa, mengi yameandikwa kwa nia haramu na halali. Wapo waliopandikizwa hisia chafu kimaslahi zaidi. Hili siwezi kulijadili kwa sasa, haitakuwa jambo la busara na sababu ninazo tena nzito tu.

Sasa kama kujadili namna ya kuunganisha nguvu ni kampeni, basi nakubali nilikiuka kanuni naomba nisamehewe. Najua wana JF mlikuwa na imani sana na mimi, naomba imani hiyo muendelee kuwa nayo.

Sijawahi kukisaliti chama changu kama inavyopandikizwa kwa nguvu zote na baadhi ya watu ambao wasiojiamini, waliofunikwa na ushabiki na ombwe la fikra.

Kupitia uchaguzi huu nimeamini sisi kama taifa tuna demokrasia yetu ni changa.


Nilipotangaza kwamba naunganisha nguvu na wagombea wengine, na niko tayari kuitoa sadaka nafasi yangu ya kuwa mwenyekiti, vijana wengi waliumia, walilia, walisononeka kwani walikuwa na imani kubwa nami.

Wengine walisema umetusaliti, wengi sasa wamenielewa ila tu natoa wito kwao waendelee kushirikiana na uongozi uliopo. Bavicha ni kubwa kuliko ubinafsi wetu.

Lakini niwahakikishie, dhamira yangu ni njema na roho yangu ni safi. Nitaendelea kuipigania demokrasia ndani ya chama chetu ili tuzidi kukomaa na ili tuwe mfano kwa vyama vingine si ndani ya Tanzania tu na hata Afrika kwa ujumla.

Vyombo vya habari vinatoa matamko au habari ambazo ni General sana. Naheshimu sana Tasnia ya habari katika kukuza demokrasia, nasizitiza Sikupewa fursa ya kujinadi na kujenga hoja mbele ya wapiga kura kwani ilionekana nimekiuka maadili.

Kwa hiyo sijashindwa uchaguzi, sikuingia katika sanduku la kura kwa kuwa nilituhumiwa kukiuka maadili.
Naomba niishie hapo kwa sasa.

Je tuhuma zote juu yako ni za kweli? Je, Mazingira ya uchaguzi yalikuwaje?

Tuhuma za Rushwa si kweli, ila pia naona waandishi wengine wamekuwa General sana. Wamemnukuu katibu mkuu vibaya kwani hata yeye alisema hakuna tuhuma zozote zilizoletwa juu yangu kuhusu hili.

Mimi ni mkweli, sijwahi kutoa rushwa, labda rushwa ya hoja.

Tuhuma za Kupokea wajumbe: Sijawahi kupokea wajumbe.

Tuhuma kama hizi msingi wake ni nini?

Kuwagawa vijana kimakundi: Sasa tafsiri ya kuwagawa vijana ni nini? Mimi sina makundi, labda kundi ambalo liliniunga mkono ambalo si kundi Rasmi. Hata wanaJF walionipa imani ni miongoni mwa kundi hilo.

Sasa utagombeaje uongozi kupitia mchakato wa kidemokrasia kwa kushindana kwa hoja bila kuwa na kundi litakalounga mkono hoja zako? Hili ni suala litakalojadiliwa ndani ya chama chetu ili tusonge mbele.

Tafsiri tata kama hizi zinatumiwa vibaya kwa makusudi au kimkanganyiko (comfusion) katika kukandamiza demokrasia, ni suala litakalojadiliwa ndani ya chama. Nimeweka sawa upotoshaji unaofanywa

Je kujitoa katika uchaguzi ni kosa? Natambua kama mwanasiasa wafuasi wangu walikuwa na imani na mimi katika kusimamia hoja nilizokuwa nazo kwa ajili ya Bavicha.

Katika maaamuzi niliyofikia nilizingatia maslahi ya chama, BAVICHA na vijana wa Tanzania kwa ujumla katika harakati zetu za mabadiliko

Sikuwahi kushiriki katika hila za Rushwa, Vurugu (Kama ninavyoona jitihada za kuniunganisha katika hilo). Kwanza hilo ni kosa la jinai, nalaani mpango huo haramu wa kutumia vurugu na vitisho, hiyo si Demokrasia

Tuhuma za kuwa pandikizi: Hilo nitalijadili, misimamo yangu haitaweza kuruhusu mimi kutumika hata kidogo, tuhuma hizo hazinihusu, kama yupo anayenihusisha nazo basi ana ajenda yake. Msiimamo yangu ipo wazi, siku zote napinga kuwa mateka wa kifikra.

Kuna mambo mengine ambayo ningependa tuyajadili ndani ya chama chetu.Tafadhali sana naomba mvute subira kwa hili. Ila sitaki kutoa siri za vikao.

Mapenzi yangu kwa CHADEMA hayana kipimo, mapenzi yangu kwa Tanzania hayana Kipimo.

Naomba niishie hapa kwa sasa, kwani naelekea maeneo ya Sabasaba kwa ajili ya kuweka mambo sawa na kuponyesha majeraha yaliyotokana na uchaguzi huu.

Nipo katika jitihada hizi kwa utashi wangu na kwa mapenzi mema ya chama changu. Tafadhali nivumilie
ni katika hili.

Naomba mnisamehe kwa makosa yoyote ya spelling kwani nimeandika haraka haraka

Asanteni sana.

Nasizitiza sijawahi kukisaliti na sitakaa nikisaliti chama changu, sijatawahi kuwa mateka wa kifikra wa mtu yeyote.

Youths for Radical change
Binafsi nimekuelewa kijana
 
Taifa_Kwanza na WanaJF kwa ujumla,

Kwanza kabisa naomba Moderators Msihamishe hii thread au kuunganisha na Nyingine.

Nashukuru sana kwa sababu nimeona Jf kuna waungwana, wachambuzi wa mambo na watu wasiosukumwa na ushabiki. Pia katika mchakato huu wa Uchaguzi, nimeshuhudia mambo mengi ambayo hata ninyi mngeyashuhudia nahisi hata fikra na mitazamo yenu ingebadilika.

Hii thread nimeona nichangie kwa sababu ina hamu na imeonyesha jitihada za kutafuta ukweeli lakini hata hivyo ni lazima nizingatie Umoja wa Chama chetu kwanza. Maadui wetu wa kwanza ni CCM na sera zake mbovu. Nataka kujiepusha na harakati zote za kukigawa chama chetu, nazingatia Maslahi ya taifa letu na tumaini la watanzania wanaotegemea CHADEMA kama tunu kwao katika kulikomboa taifa letu.

Siku zote mimi ni muumini mzuri wa kanuni. Kama chama kimeona nimekiuka kanuni, basi ni lazima niwajibishwe. Tujiulize au naomba kuulizwa katika muktadha wa kidemokrasia, je Saanane umekiuka kanuni za uchaguzi?

Mazingira ya kuvunja kanuni: Niliunganisha nguvu na wagombea wenzangu wawili. Kanuni tata iliyovunjwa ni ile ya kukataza kampeni kabla ya muda.

Tulijadili namna au uwezekano wa kuunganisha hoja zetu ili tumpigie kampeni mgombea huyo ashinde. Wakati huo huo mimi nikiwa tayari kujitoa lakini nimsaidie mgombea mwingine.

Lengo langu si madaraka, mimi si mroho wa madaraka. Ninaipenda Bavicha na ninakipenda chama changu. Katika kuunganisha kwetu nguvu, tulizingatia utayari wa mwenyekiti mtarajiwa kushaurika na mwenye kubeba haiba ya chama katika sura ya Kitaifa ili vijana wote wajisikie kwamba BAVICHA ni sehemu yao.

Lengo kuu la Bavicha ni kuratibu, kuhamasisha miundombinu na raslimali katka mchakato huu wa mabadiliko kupitia vijana wote Tanzania kwa ajili ya kuking'oa chama cha Mapinduzi. Nilizingatia hilo, Bavicha ni kubwa kjuliko Saanane, ni kubwa Kuliko Greyson na ni kubwa kuliko kiongozi au Mtu yeyote ndani ya chama Chetu.

Hapa wazo langu lilikuwa ni maslahi ya Bavicha kwanza, maslahi ya vijana kwanza. Kama ni kuwa mateka basi nilishikwa mateka na hisia zangu za kutaka kujitoa sadaka kwa ajili kujenga uongozi wa Bavicha uliotukuka.

Mengi yamesemwa, mengi yameandikwa kwa nia haramu na halali. Wapo waliopandikizwa hisia chafu kimaslahi zaidi. Hili siwezi kulijadili kwa sasa, haitakuwa jambo la busara na sababu ninazo tena nzito tu.

Sasa kama kujadili namna ya kuunganisha nguvu ni kampeni, basi nakubali nilikiuka kanuni naomba nisamehewe. Najua wana JF mlikuwa na imani sana na mimi, naomba imani hiyo muendelee kuwa nayo.

Sijawahi kukisaliti chama changu kama inavyopandikizwa kwa nguvu zote na baadhi ya watu ambao wasiojiamini, waliofunikwa na ushabiki na ombwe la fikra.

Kupitia uchaguzi huu nimeamini sisi kama taifa tuna demokrasia yetu ni changa.


Nilipotangaza kwamba naunganisha nguvu na wagombea wengine, na niko tayari kuitoa sadaka nafasi yangu ya kuwa mwenyekiti, vijana wengi waliumia, walilia, walisononeka kwani walikuwa na imani kubwa nami.

Wengine walisema umetusaliti, wengi sasa wamenielewa ila tu natoa wito kwao waendelee kushirikiana na uongozi uliopo. Bavicha ni kubwa kuliko ubinafsi wetu.

Lakini niwahakikishie, dhamira yangu ni njema na roho yangu ni safi. Nitaendelea kuipigania demokrasia ndani ya chama chetu ili tuzidi kukomaa na ili tuwe mfano kwa vyama vingine si ndani ya Tanzania tu na hata Afrika kwa ujumla.

Vyombo vya habari vinatoa matamko au habari ambazo ni General sana. Naheshimu sana Tasnia ya habari katika kukuza demokrasia, nasizitiza Sikupewa fursa ya kujinadi na kujenga hoja mbele ya wapiga kura kwani ilionekana nimekiuka maadili.

Kwa hiyo sijashindwa uchaguzi, sikuingia katika sanduku la kura kwa kuwa nilituhumiwa kukiuka maadili.
Naomba niishie hapo kwa sasa.

Je tuhuma zote juu yako ni za kweli? Je, Mazingira ya uchaguzi yalikuwaje?

Tuhuma za Rushwa si kweli, ila pia naona waandishi wengine wamekuwa General sana. Wamemnukuu katibu mkuu vibaya kwani hata yeye alisema hakuna tuhuma zozote zilizoletwa juu yangu kuhusu hili.

Mimi ni mkweli, sijwahi kutoa rushwa, labda rushwa ya hoja.

Tuhuma za Kupokea wajumbe: Sijawahi kupokea wajumbe.

Tuhuma kama hizi msingi wake ni nini?

Kuwagawa vijana kimakundi: Sasa tafsiri ya kuwagawa vijana ni nini? Mimi sina makundi, labda kundi ambalo liliniunga mkono ambalo si kundi Rasmi. Hata wanaJF walionipa imani ni miongoni mwa kundi hilo.

Sasa utagombeaje uongozi kupitia mchakato wa kidemokrasia kwa kushindana kwa hoja bila kuwa na kundi litakalounga mkono hoja zako? Hili ni suala litakalojadiliwa ndani ya chama chetu ili tusonge mbele.

Tafsiri tata kama hizi zinatumiwa vibaya kwa makusudi au kimkanganyiko (comfusion) katika kukandamiza demokrasia, ni suala litakalojadiliwa ndani ya chama. Nimeweka sawa upotoshaji unaofanywa

Je kujitoa katika uchaguzi ni kosa? Natambua kama mwanasiasa wafuasi wangu walikuwa na imani na mimi katika kusimamia hoja nilizokuwa nazo kwa ajili ya Bavicha.

Katika maaamuzi niliyofikia nilizingatia maslahi ya chama, BAVICHA na vijana wa Tanzania kwa ujumla katika harakati zetu za mabadiliko

Sikuwahi kushiriki katika hila za Rushwa, Vurugu (Kama ninavyoona jitihada za kuniunganisha katika hilo). Kwanza hilo ni kosa la jinai, nalaani mpango huo haramu wa kutumia vurugu na vitisho, hiyo si Demokrasia

Tuhuma za kuwa pandikizi: Hilo nitalijadili, misimamo yangu haitaweza kuruhusu mimi kutumika hata kidogo, tuhuma hizo hazinihusu, kama yupo anayenihusisha nazo basi ana ajenda yake. Msiimamo yangu ipo wazi, siku zote napinga kuwa mateka wa kifikra.

Kuna mambo mengine ambayo ningependa tuyajadili ndani ya chama chetu.Tafadhali sana naomba mvute subira kwa hili. Ila sitaki kutoa siri za vikao.

Mapenzi yangu kwa CHADEMA hayana kipimo, mapenzi yangu kwa Tanzania hayana Kipimo.

Naomba niishie hapa kwa sasa, kwani naelekea maeneo ya Sabasaba kwa ajili ya kuweka mambo sawa na kuponyesha majeraha yaliyotokana na uchaguzi huu.

Nipo katika jitihada hizi kwa utashi wangu na kwa mapenzi mema ya chama changu. Tafadhali nivumilie
ni katika hili.

Naomba mnisamehe kwa makosa yoyote ya spelling kwani nimeandika haraka haraka

Asanteni sana.

Nasizitiza sijawahi kukisaliti na sitakaa nikisaliti chama changu, sijatawahi kuwa mateka wa kifikra wa mtu yeyote.

Youths for Radical change





Ben unazidi kukomaa kisiasa kwa kweli bado tunakutegemea na kukuamini utashirikiana na uongozi uliochaguliwa ili kuendeleza chachu ya mabadiliko....pamoja sana na Mungu akutangulie!!!
 
Arafat,

Nakuheshimu sana.Tafadhali njoo uthibitishe hizo tuhuma zako,kuna mjadala unataka kuuanzisha hapa.Tafadhali naomba usinihusishe na CCM.

CCM wataenda wengine wenye njaa na opportunists,misimamo yangu iko pale pale.Naomba tafadhali usijaribu kujishushie hadhi kwa upotoshaji wako au kuandika bila Tafiti.

Ben Tafadhali sana soma upya hiyo habari sijasema unataka kuamia CCM! Nimesema labda kama Pro-CCM wameanzisha hii thread kwa lengo la kukusafishia njia ya kwenda CCM naomba ungalie tena huo mchango wangu kama kuna sehemu sijakutendea haki basi naomba unisamehe sana, Bado nasisitiza mimi binafsi nadhani lengo la hii thread si njema!

Binafsi Ben simfahamu lakini nilimtilia mashaka kutoka day one alipotoa maelezo yake na kufuatiwa na wapambe ambao wengi wao tunawajua misimamo yao dhidi ya CDM ni pro-CCM kama hiyo haitoshi wengi wanaolalamika kuenguliwa kwake ni hao hao pro-CCM wanadiriki kumwambia akatafute haki Takukuru au mahakamani kitu ambacho kina sound vizuri masikioni lakini si kizuri sana kwa ustawi wa chama. Mtu kama Nuclear1 ambaye anajulikana msimamo wake kuhusu Chadema leo anajidai kulaumu na kumponda Ben lakini ukiangalia mantiki yake si kuisaidia CDM ni kumchagiza Ben achukue hatua itakayoleta mtafaruku ndani ya Bavicha. Nasema tena Ben kaponzwa na wapambe wake na bado wanazidi kumponza Ben asifikiriwe hata huko mbeleni na kufanya wasifanikiwe lengo lao. Kuna mtu kasema hawa mamluki lioletwa kuishambulia CDM wanarusha risasi ovyo bila kulenga shabaha.

I concur, ni wajibu wa Ben kukubali kukosolewa pale alipo kosea kama yupo tayari la sivyo mi naona kama anachafua CV hapa, hasa ambapo haieleweki kama hawa jamaa wa CCM wanampinga au wanamunga mkono! Ingawa tayari inaonekana wazi wote walisoma pamoja huko India.

Hillarious,i like this conclusion.Ukweli siku zote hauwezi kuamuliwa kwa idadi ya kura au uwingi wa watu.Siku moja,ukweli utadhihirika tu.Nasonga mbele.Najiamini,na siwezi kuwathibitishia wale mashabiki wanaofuata mkumbo tu bila reasoning,nitapoteza muda

Ben nakukumbusha maneno ya Rev Masanilo mara baada ya thread hii, ' kimia mara nyingine huwa Dhahabu na kuongea huwa fedha' kama siku yagongea thank Rev anisamehe sana, ila kama mimi ningeliwa ni wewe ningeishia hapo kwenye maneno ya Mchungaji.

Kumbuka kuwa katika kujibu hii thread kwa lengo la kutaka kujisafisha kama walivyo kwambia uliandika kuwa kutokana na mchakato wa huu uchaguzi umejifunza kuwa kunatatizo la Democrasia kama Taifa!sasa angalia tayari kuna thread imeanzishwa yenye hicho kichwa cha habari! mtu anaweza kuunganisha dot hata kama hayana mahusianao, juwa kuwa humu JF kuna wanakupenda wewe lakini hawaipendi chama chako lakini pia wapo wanaoipenda chama chako lakini wewe hakupendi vilevile wapo wanaokupenda wewe pamoja na chama chako huu si wakati muhafaka kuongelea haya mambo ya uchaguzi ambao umepita unless hukuridhika na unataka ulalamika!

Kujisafisha waachie RA, EL na Chenge.
 
Namfahamu Ben kama mwana JF na si zaidi ya hapo,tena hata last name yake ndiyo mimeijua baada ya kusoma hii issue.Ndio nikajua kuwa ni Ben huyu humu JF.Wadudu kama panzi,mende nk wanatumia papasi zao kutambua kilichopo mbele yao.Haiyumkini sisi ni tofauti,tafadhali usipapase papase bila hoja ya msingi.Kusema mjipange upya unaharibu,inapelekea heshma yenu kushuka sasa.Maana sitaamini mtakayokuwa mnasema juu ya member ama viongozi wengine.Maana maslahi yenu yakiguswa basi hamna tofauti na Nape.Simfahamu Ben,na wala sijawahi kuwasiliana naye by any means.Mimi najadili mambo yanayoletwa JF na si kwenye chama chenu.Mambo yenu ya vyama mbaki nayo mimi sina chama.Nataka nifahamu hicho kifungu cha 10 alichovunja huyu member wa JF wakati akigombea nafasi hiyo kwenye chama chake cha siasa,is there anything wrong with that?Je nimekiuka kanuni za JF hapa?

Mkuu Nilikuwa naangalia submissions zako hapa JF toka ulipojiunga kwa ingawa unasema hauna chama ila inawezekana sikatai ila submissions zako zinaonyesha wewe ni sabiki mahiri wa CCM kutoka na michango yako katika jukwaa la siasa. Ebu rudi kaangalie michango yako yote katika thread mbalimbali za kisiasa

Ben,sikujua kama ndiyo wewe wanakuzungumzia humu.Nimepitwa kidogo na mijadala mingi.Hongera mkuu.I think you will make a good leader.Usikate tamaa kamanda,there is always next time.Ulipambana kama mwanasiasa yeyote,sijaona makosa yako.Labda kama ni kweli wana ushahidi wa hayo madai ya rushwa.Which to me it seems like wanatumia nafasi hii kuwachanganya zaidi.Ngoja nifuatilie zaidi hizi news maybe nitapata another dimension on how things went.However posting yako hii imejibu maswali mengi.Stay focused.

Bwana jmushi huoni kuwa hii submission hapo juu na ile ya kwanza pamoja na hii hapa chini zina kinzana

Inaweza kuwa ni magazeti yako kwenye propaganda,kwa mfano hapo chini ni mwananchi wameandika hayo.Kina nani ni usalama wa Taifa ambao wamejiingiza chadema?Pia sidhani kama nia yake ilikuwa ni mwingine ashinde,kuunganisha nguvu haina maana mwingine ashinde,inaweza kuwa ina maana mwingine ashindwe.



Kujitoa doesnt equal usaliti,inategemea na mazingira ya kujitoa kwenyewe.Mimi si mwanachadema akama ilivyo kwa Ben,ila namtambua kama mwana JF,na kuna hoja nyingi tu tuna either mitizamo sawa ama yenye kupingana,yote bila kujali utashi wa itikadi za kisiasa.So kwenye hili niko naye bega kwa bega unless muonyeshe hicho kifungu cha 10 kinavyorelate na uvunjifu wa kanuni kama ilivyoainishwa.

Jaribu kuunganisha hizi mbili kama zinafanana kutoka kwa mtu mmoja anayemuongelea mtu mwingine hasiye mjuwa!

Wengine hatuna vyama na issue kama hizi zitatusaidia kuvifahamu vyema vyama hivi vya siasa.Najuwa Ben amekubaliana na matokeo nk,yeye ni mwana chadema.Hata hivyo binafsi ninataka kujua nini haswa kilitokea kwa mwana JF mwenzangu.Issue si kusafishana hapa,you're in a wrong track.

Hayo uliyosema hapo juu ndo kifungu cha 10?Kama mbinu yake ya kuunganisha nguvu ilivunja kanuni,then wekeni wazi how,otherwise tutaamini kuwa ni kweli baraza haliko huru.

Bado huonyeshi kama hauna ushabiki wowote na jambo lolote nyuma ya pazia

Something ain't right,we will find out tho.

We will find out >>> jmushi and whom?!
 
Taifa_Kwanza na WanaJF kwa ujumla,

Kwanza kabisa naomba Moderators Msihamishe hii thread au kuunganisha na Nyingine.

Nashukuru sana kwa sababu nimeona Jf kuna waungwana, wachambuzi wa mambo na watu wasiosukumwa na ushabiki. Pia katika mchakato huu wa Uchaguzi, nimeshuhudia mambo mengi ambayo hata ninyi mngeyashuhudia nahisi hata fikra na mitazamo yenu ingebadilika.

Hii thread nimeona nichangie kwa sababu ina hamu na imeonyesha jitihada za kutafuta ukweeli lakini hata hivyo ni lazima nizingatie Umoja wa Chama chetu kwanza. Maadui wetu wa kwanza ni CCM na sera zake mbovu. Nataka kujiepusha na harakati zote za kukigawa chama chetu, nazingatia Maslahi ya taifa letu na tumaini la watanzania wanaotegemea CHADEMA kama tunu kwao katika kulikomboa taifa letu.

Siku zote mimi ni muumini mzuri wa kanuni. Kama chama kimeona nimekiuka kanuni, basi ni lazima niwajibishwe. Tujiulize au naomba kuulizwa katika muktadha wa kidemokrasia, je Saanane umekiuka kanuni za uchaguzi?

Mazingira ya kuvunja kanuni: Niliunganisha nguvu na wagombea wenzangu wawili. Kanuni tata iliyovunjwa ni ile ya kukataza kampeni kabla ya muda.

Tulijadili namna au uwezekano wa kuunganisha hoja zetu ili tumpigie kampeni mgombea huyo ashinde. Wakati huo huo mimi nikiwa tayari kujitoa lakini nimsaidie mgombea mwingine.

Lengo langu si madaraka, mimi si mroho wa madaraka. Ninaipenda Bavicha na ninakipenda chama changu. Katika kuunganisha kwetu nguvu, tulizingatia utayari wa mwenyekiti mtarajiwa kushaurika na mwenye kubeba haiba ya chama katika sura ya Kitaifa ili vijana wote wajisikie kwamba BAVICHA ni sehemu yao.

Lengo kuu la Bavicha ni kuratibu, kuhamasisha miundombinu na raslimali katka mchakato huu wa mabadiliko kupitia vijana wote Tanzania kwa ajili ya kuking'oa chama cha Mapinduzi. Nilizingatia hilo, Bavicha ni kubwa kjuliko Saanane, ni kubwa Kuliko Greyson na ni kubwa kuliko kiongozi au Mtu yeyote ndani ya chama Chetu.

Hapa wazo langu lilikuwa ni maslahi ya Bavicha kwanza, maslahi ya vijana kwanza. Kama ni kuwa mateka basi nilishikwa mateka na hisia zangu za kutaka kujitoa sadaka kwa ajili kujenga uongozi wa Bavicha uliotukuka.

Mengi yamesemwa, mengi yameandikwa kwa nia haramu na halali. Wapo waliopandikizwa hisia chafu kimaslahi zaidi. Hili siwezi kulijadili kwa sasa, haitakuwa jambo la busara na sababu ninazo tena nzito tu.

Sasa kama kujadili namna ya kuunganisha nguvu ni kampeni, basi nakubali nilikiuka kanuni naomba nisamehewe. Najua wana JF mlikuwa na imani sana na mimi, naomba imani hiyo muendelee kuwa nayo.

Sijawahi kukisaliti chama changu kama inavyopandikizwa kwa nguvu zote na baadhi ya watu ambao wasiojiamini, waliofunikwa na ushabiki na ombwe la fikra.

Kupitia uchaguzi huu nimeamini sisi kama taifa tuna demokrasia yetu ni changa.


Nilipotangaza kwamba naunganisha nguvu na wagombea wengine, na niko tayari kuitoa sadaka nafasi yangu ya kuwa mwenyekiti, vijana wengi waliumia, walilia, walisononeka kwani walikuwa na imani kubwa nami.

Wengine walisema umetusaliti, wengi sasa wamenielewa ila tu natoa wito kwao waendelee kushirikiana na uongozi uliopo. Bavicha ni kubwa kuliko ubinafsi wetu.

Lakini niwahakikishie, dhamira yangu ni njema na roho yangu ni safi. Nitaendelea kuipigania demokrasia ndani ya chama chetu ili tuzidi kukomaa na ili tuwe mfano kwa vyama vingine si ndani ya Tanzania tu na hata Afrika kwa ujumla.

Vyombo vya habari vinatoa matamko au habari ambazo ni General sana. Naheshimu sana Tasnia ya habari katika kukuza demokrasia, nasizitiza Sikupewa fursa ya kujinadi na kujenga hoja mbele ya wapiga kura kwani ilionekana nimekiuka maadili.

Kwa hiyo sijashindwa uchaguzi, sikuingia katika sanduku la kura kwa kuwa nilituhumiwa kukiuka maadili.
Naomba niishie hapo kwa sasa.

Je tuhuma zote juu yako ni za kweli? Je, Mazingira ya uchaguzi yalikuwaje?

Tuhuma za Rushwa si kweli, ila pia naona waandishi wengine wamekuwa General sana. Wamemnukuu katibu mkuu vibaya kwani hata yeye alisema hakuna tuhuma zozote zilizoletwa juu yangu kuhusu hili.

Mimi ni mkweli, sijwahi kutoa rushwa, labda rushwa ya hoja.

Tuhuma za Kupokea wajumbe: Sijawahi kupokea wajumbe.

Tuhuma kama hizi msingi wake ni nini?

Kuwagawa vijana kimakundi: Sasa tafsiri ya kuwagawa vijana ni nini? Mimi sina makundi, labda kundi ambalo liliniunga mkono ambalo si kundi Rasmi. Hata wanaJF walionipa imani ni miongoni mwa kundi hilo.

Sasa utagombeaje uongozi kupitia mchakato wa kidemokrasia kwa kushindana kwa hoja bila kuwa na kundi litakalounga mkono hoja zako? Hili ni suala litakalojadiliwa ndani ya chama chetu ili tusonge mbele.

Tafsiri tata kama hizi zinatumiwa vibaya kwa makusudi au kimkanganyiko (comfusion) katika kukandamiza demokrasia, ni suala litakalojadiliwa ndani ya chama. Nimeweka sawa upotoshaji unaofanywa

Je kujitoa katika uchaguzi ni kosa? Natambua kama mwanasiasa wafuasi wangu walikuwa na imani na mimi katika kusimamia hoja nilizokuwa nazo kwa ajili ya Bavicha.

Katika maaamuzi niliyofikia nilizingatia maslahi ya chama, BAVICHA na vijana wa Tanzania kwa ujumla katika harakati zetu za mabadiliko

Sikuwahi kushiriki katika hila za Rushwa, Vurugu (Kama ninavyoona jitihada za kuniunganisha katika hilo). Kwanza hilo ni kosa la jinai, nalaani mpango huo haramu wa kutumia vurugu na vitisho, hiyo si Demokrasia

Tuhuma za kuwa pandikizi: Hilo nitalijadili, misimamo yangu haitaweza kuruhusu mimi kutumika hata kidogo, tuhuma hizo hazinihusu, kama yupo anayenihusisha nazo basi ana ajenda yake. Msiimamo yangu ipo wazi, siku zote napinga kuwa mateka wa kifikra.

Kuna mambo mengine ambayo ningependa tuyajadili ndani ya chama chetu.Tafadhali sana naomba mvute subira kwa hili. Ila sitaki kutoa siri za vikao.

Mapenzi yangu kwa CHADEMA hayana kipimo, mapenzi yangu kwa Tanzania hayana Kipimo.

Naomba niishie hapa kwa sasa, kwani naelekea maeneo ya Sabasaba kwa ajili ya kuweka mambo sawa na kuponyesha majeraha yaliyotokana na uchaguzi huu.

Nipo katika jitihada hizi kwa utashi wangu na kwa mapenzi mema ya chama changu. Tafadhali nivumilie
ni katika hili.

Naomba mnisamehe kwa makosa yoyote ya spelling kwani nimeandika haraka haraka

Asanteni sana.

Nasizitiza sijawahi kukisaliti na sitakaa nikisaliti chama changu, sijatawahi kuwa mateka wa kifikra wa mtu yeyote.

Youths for Radical change



Mimi ni mtu wa kujikubali sana,
Kwa mara nyingine tena najikubali kuwa sikuwa na makosa nilipokupa imani yangu!
Nilipokuwa nikisoma hii sehemu ya maelezo yako, nimeendelea kuona kuwa " hakika huyu ni KIONGOZI"
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom