Ben Mkapa Alirekebisha Baraza La Mawaziri

Ng'wanangwa

JF-Expert Member
Aug 28, 2010
10,827
4,172
Hizi ni za chini chini tu jamani.

Kama si Mkapa, yule mtoto wa mropokaji angekuwa waziri leo. Mr. Rockerfeller. Sasa analia tu na Malaria Sugu wake.

Kama si Mkapa tungetangaziwa baraza within expected time. Lakini vipi? Ilichukua 2 weeks. Au nimesahau?

Anyway.

Narudia tena. Ni tetesi.

Kwaherini.
 
We inaonekana lugha inakusumbua, ivi kweli kitu ulichoandika hapo juu kinaweza kuandikwa na mtu mzima mwenye akili timamu. Weka mawazo yako katika hali fasaha watu tuelewe unachokisema.
 
Sasa si useme tu ni January Makamba...why hitting the bush?..haya tueleze Mkapa alifanya nini huyu nicampoon asiwe waziri?
 
Back
Top Bottom