Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Hizi ni za chini chini tu jamani.
Kama si Mkapa, yule mtoto wa mropokaji angekuwa waziri leo. Mr. Rockerfeller. Sasa analia tu na Malaria Sugu wake.
Kama si Mkapa tungetangaziwa baraza within expected time. Lakini vipi? Ilichukua 2 weeks. Au nimesahau?
Anyway.
Narudia tena. Ni tetesi.
Kwaherini.
Kama si Mkapa, yule mtoto wa mropokaji angekuwa waziri leo. Mr. Rockerfeller. Sasa analia tu na Malaria Sugu wake.
Kama si Mkapa tungetangaziwa baraza within expected time. Lakini vipi? Ilichukua 2 weeks. Au nimesahau?
Anyway.
Narudia tena. Ni tetesi.
Kwaherini.