Bellon D'Or nani kushinda?

Hata kama siwapendi Man U,

Nimefurahi Presindential award kwa Sir Alex Ferguson!
 
Ni Ballon si Bellon.

Afu huyo Ronaldo gani aliesoma? Maana CR anajiandaa na game dhidi ya Malaga. Hivyo hakuhudhuria.

Labda kama unamaanisha El Phenomena.
Ni Ronaldo original.... 'The Phenomenon'.....Ronaldo Luis Nazario de Lima...
 
Duh, hata huruma hawana,si wangempa Xavi jamani?? Anyway,he deserves it the most!!

Hakika Xavi alistahili. Mwaka 2010, ameshinda WC akiwa na Spain na CL akiwa Barca.

Sijui Nessi amefanikiwa nini katika ngazi ya taifa!

Dunia nzima imekua kipenzi cha chenga twawala! Arrgghh!
 
Duh, hata huruma hawana,si wangempa Xavi jamani?? Anyway,he deserves it the most!!
Umepotea sana.....

Hata mimi ningempa Xavi maana kwa waote watatu yeye ndiyo ana medali ya kombe la Dunia, anayo ya kombe la Ulaya, anayo ya Uefa CL, anayo ya ubingwa wa La Liga.....Pia ndio injini ya mafanikio ya Spain(National Team) na F.C Barcelona....

Zamani Ballon D'Or ilikuwa inaangalia mafanikio ya mchezaji katika timu ya Taifa zaidi kuliko klabu kama ilivyo sasa......Leo Messi na Cristiano Ronaldo hawana msaada wowote kwa timu zao za Taifa kama ilvyo kwa mtaalamu na mpishi Xavi Hernandes.....
 
Messi wins the Ballon d'Or. The Argentine forward, still only 24, has now drawn level with three-time winners Michel Platini [the only other player to win three in a row] Johan Cruyff and Marco van Basten.
 
Nimelibenda sana goli la Neymar da Silva Santos Jr......

Ni goli tamu sana kuliangalia...
 
Hakika Xavi alistahili. Mwaka 2010, ameshinda WC akiwa na Spain na CL akiwa Barca.

Sijui Nessi amefanikiwa nini katika ngazi ya taifa!

Dunia nzima imekua kipenzi cha chenga twawala! Arrgghh!

mpaka platini atoke pale uefa ndio messi hatakuwa mchezaji bora duniani na mwengine xavi hawa wakitoka tu hutakuja kumsikia..
 
Umepotea sana.....

Hata mimi ningempa Xavi maana kwa waote watatu yeye ndiyo ana medali ya kombe la Dunia, anayo ya kombe la Ulaya, anayo ya Uefa CL, anayo ya ubingwa wa La Liga.....Pia ndio injini ya mafanikio ya Spain(National Team) na F.C Barcelona....

Zamani Ballon D'Or ilikuwa inaangalia mafanikio ya mchezaji katika timu ya Taifa zaidi kuliko klabu kama ilivyo sasa......Leo Messi na Cristiano Ronaldo hawana msaada wowote kwa timu zao za Taifa kama ilvyo kwa mtaalamu na mpishi Xavi Hernandes.....

Kweli kabisa mkuu.

Tatizo siku hizi wameingiza siasa na biashara kwenye utoaji wa hiyo tuzo.

Messi na CR hawakustahili kuwemo hata 3 bora. Wapi Forlan,Iniesta na Sneijder? Hawa wote walifanya vizuri sana kwa timu zao za taifa na vilabu.

Sasa ukiweka siasa na upenzi wa chenga twawala,Nessi anaonekana yuko sayari nyingine!

Blatter na Platini wanaharibu sana soka.
 
Hivi na FIFA na UEFA nao wanaipendelea Manchester United? Kama hujui hujui tu mtaendelea kupiga kelele tu

The FIFPro World XI was:

Iker Casillas (Real Madrid)
Dani Alves (Barcelona)
Gerard Pique (Barcelona)
Sergio Ramos (Real Madrid)
Nemanja Vidic (Man Utd)
Andres Iniesta (Barcelona)
Xabi Alonso (Real Madrid)
Xavi (Barcelona),
Lionel Messi (Barcelona),
Cristiano Ronaldo (Real Madrid)
Wayne Rooney (Man Utd).
 
Kweli kabisa mkuu.

Tatizo siku hizi wameingiza siasa na biashara kwenye utoaji wa hiyo tuzo.

Messi na CR hawakustahili kuwemo hata 3 bora. Wapi Forlan,Iniesta na Sneijder? Hawa wote walifanya vizuri sana kwa timu zao za taifa na vilabu.

Sasa ukiweka siasa na upenzi wa chenga twawala,Nessi anaonekana yuko sayari nyingine!

Blatter na Platini wanaharibu sana soka.

Hawa FIFA waliniboa sana mwaka 2010 ambapo Wesley Sneijder alistahili kushinda baada ya kubeba Serie A,Coppa Italia,UEFA Champions League,FIFA Club World Cup akafika fainali ya World Cup tena akawa mfungaji bora cha ajabu hakuwepo hata kwenye list ya wachezaji bora 3.Kwa mwaka huu hata sipingani nao wote walistahili
 
Hawa FIFA waliniboa sana mwaka 2010 ambapo Wesley Sneijder alistahili kushinda baada ya kubeba Serie A,Coppa Italia,UEFA Champions League,FIFA Club World Cup akafika fainali ya World Cup tena akawa mfungaji bora cha ajabu hakuwepo hata kwenye list ya wachezaji bora 3.Kwa mwaka huu hata sipingani nao wote walistahili

mkuu dont hate them hate their philosophy.. hapo tu wanataka pele aonekane hajui na hawamkubali..halafu walivo wanafiki eti de lima ndio kamtangaza...
 
Blatter na Platini wanafikiri eti wanamkomoa Pele, kumbe wanaharibu kandanda.
Kwa mimi tuzo hii ya 2011 angepata mtaalam Xavi, na mwaka 2010 angalau Sneijder angekuwemo kwenye tatu bora kama si kuchukua tuzo kabisa.
Sasa haihitaji kuwa mtabiri kujua kuwa tuzo ya 2012 anatafutwa mtu wa kujaza nafasi ya tatu kwani Messi na Ronaldo wanajaza hizo zao mbili za 1 na 2...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom