Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,172
Belindaaa njoo dia
Khaaa......jamani Maria Roza umejificha wapi siku hizi mpenzi wangu????????????????
Belindaaa njoo dia
Jamani yaani umwombee mwenzio ban kwa kukuzimia....lol..............................usiwe mkali hivyo mwelewe tu halafu mvumilie tu...........................chembe chembe hujaza kibaba..................
Khaaa......jamani Maria Roza umejificha wapi siku hizi mpenzi wangu????????????????
Belindaa kapotelea wap tena jamani?Belindaaa njoo dia
#heheheeh kama BJ ni mke wa mod au at least GF wa mod basi kijana jiandae na ban.
Mbona inaonekana kama unamfahamu vizuri,uliogopa kumpa lyrincs live nini?
Sasa kilicho kushinda kuanzisha kule chit chat ni nini?!Na klichokuzuia kumPM ni nini?!Na kilichokufanya utamani avatar ni nini?!20% kashasema tamaa mbaya!!
quote limegoma bana!
Lizzy:
kwanza hisia hazina jukwaa
pili mapenzi hayana sababu
mimi mwenyewe nimejikuta napenda spelling za jina lako tu walahi! khaaa RIP klorokwini, mapenzi hayauwi lakini yanasababisha kifo. nakufa jamani
Tamaa kama yako na Magulu zina sababu.....Embu niquote kabla sijakuombea ban!!!!
sjui kwanini kwenye sredi hii quote zinagoma?
Lizzy:
toa sababu 2 za tamaa, adhawaizi una kesi ya kujibu
Beautiful, gorgeous, Breath taking
Oooihhhh boy
there is no words to described her beauty ..
Maguu my dear
Kila lakheri tuliomwona
Tunasema kabarikiwa
....
Naona umechoka kupumua bure! Nitakupa uhamisho wa bure kwenda ahera!!! Yani mke wangu BJ unamshobokea tena kwa kutangaza kabisa? Khakiya Mungu niombe radhi kijana!!
namimi nalog out! usjali nitakusomesha baiolojia kwa vitendo! vere soon