Beki 3 Wangu

Wengi hapa tunamshambulia tu huyu mtoa mada, nadhani amejaribu kuhusianisha na hali halisi majumbani mwetu, kitu cha msingi ni kujitambua,inawezekana ukamuamini sana mkeo/mumeo lakini tutambue dunia imebadilika sana,huyo huyo unaemuamini ndio anamtafuna binti wako wa kazi!
 
Wakuu,
Kwanza kabisa nipende kutoa shukran zangu za Dhati kwa Michango yenu.
Mmechangia meengi sana ya kujifunza na kama kuna mtu alikuja na kuchungulia hii thread na asipate lolote la kujifunza basi atakuwa na Matatizo.
Sitaweza kuwataja woote kwa Majina ila sio Vibaya nikitoa shukran zangu za Dhati kwa wale walio ni challenge na kunikaripia
na wengine kukaribia hata Kunichapa Vibao Kama ingetokea kuwa Karibu nao, Bila kuwasahau wale walionishauri namna ya kukabiliana na hili
Bila kuwasahau wale wale nishauri kumla Beki 3 wangu.
Inshort, Mungu amejibu Maombi yangu, wala sikutengeneza Zengwe, ila Mungu amenipa namna Nzuuuri ya ku solve hii issue, Kesho kutwa Nampakia Gari huyu NIMT straight to Kwao.
SIHITAJI TEEEENAA BEKI 3 NYUMBANI KWANGU

Ahsanteni Sana, Mungu Yupo Jaman na ansikia Maombi yetu, kila tuwapo Majaribuni, Basi tusisite Kumuomba Guidance yake

Hakuna neno kaka, ila ningeomba kuliko kumrudisha kwao uniletee mimi kwangu sina house gal :biggrin1:
 
Wakuu,
Kwanza kabisa nipende kutoa shukran zangu za Dhati kwa Michango yenu.
Mmechangia meengi sana ya kujifunza na kama kuna mtu alikuja na kuchungulia hii thread na asipate lolote la kujifunza basi atakuwa na Matatizo.
Sitaweza kuwataja woote kwa Majina ila sio Vibaya nikitoa shukran zangu za Dhati kwa wale walio ni challenge na kunikaripia
na wengine kukaribia hata Kunichapa Vibao Kama ingetokea kuwa Karibu nao, Bila kuwasahau wale walionishauri namna ya kukabiliana na hili
Bila kuwasahau wale wale nishauri kumla Beki 3 wangu.
Inshort, Mungu amejibu Maombi yangu, wala sikutengeneza Zengwe, ila Mungu amenipa namna Nzuuuri ya ku solve hii issue, Kesho kutwa Nampakia Gari huyu NIMT straight to Kwao.
SIHITAJI TEEEENAA BEKI 3 NYUMBANI KWANGU

Akina mamajack , snowhite , SnowBall , Speaker watu8 Kaunga, Mtoboasiri, Dark City dada white, Riwa Fyong'oxi Kongosho Concrete uttoh2002 Kituko, cacico BADILI TABIA mzabzab wehoodie Paloma, @FP, mtotowamjini, lara 1, philipo kidwanga Dena Amsi Ramos sosoliso Blaine king'asi Diga Diga, Eiyer mwakabhuta Edson YETOOO WALIMWEUSI andybird314 MzeePunch, Ng'ongoampoku SMU, TIQO BAK Ndukidi ndetichia kipipili salosalo DSpecial wagaba Chiwa The Mockingjay valid statement, JICHO LA TATU Anita baby

Ahsanteni Sana, Mungu Yupo Jaman na ansikia Maombi yetu, kila tuwapo Majaribuni, Basi tusisite Kumuomba Guidance yake
Umeongeza matatizo kwa Beki 3 wako na kwako pia. Beki 3 umemtimua ghafla namna hiyo bila notice ya muda.
Je ? umemlipa fidia na haki zake zote kwa kumsimamisha kazi ghafla, au ndio kunya anye kuku na akinya bata kah.........
Bila shaka ulitafuta beki 3 7bu kazi ziliwazidi hapo home, Je? zimeisha kazi.

Wife umempa 7bu gani za kumuondoa beki 3 kama hujamwambia uongo kibao ili kumshawishi akubali ...
Angalia sana maana kila liendalo huwa halikosi kurudi hata kama si kwa njia ileile
 
Ni Mwezi wa 4 sasa tangu huyu Binti atu join hapa kwetu, mwanzoni siku note but as days goes on, Huyu Bint anazid ku change na kutamanisha, sio mimi tu bali hata washakj wanaonitembelea hawaachi kumwaga comments zao.
Nina kama week sasa nafunga na kuomba Mungu aniepushe na shetani Muovu ambaye kimsingi ameshaanza kut send Bad signal kwenye Mind yangu juu ya huyu Bint, nitaendelea kufunga na Kumuomba Mungu aniepushe na Adui Muovu shetani, ikishindikana zaid nia apply ile wazungu wanasema "He who avoids tempatation avoids Sin" kwa kumtengenezea Zengwe kwa wife ili arudi kwao ukichukulia ni last week tu tumetoka kupima HIV na wife na wote tuko -Ve na sitak kabisaaaa kuwa source ya Maanagamizi ya Familia yangu.
Naomba Mniombee katika kipindi hiki

PS:
Kwa wale mnaotaka ku Employ wadada wa kazi, nashauri muwape kitu kama a "Grace period" ya kama 6 Months na inabid hii iwe agreed before, after six Month ukianza kupata mawazo ya Kishetani mwambie kuwa haja Qualify na umrudishe kwao kabla Hujamtafuna na kuvuruga Familia.

Wasalaam
Hapa kubwa ni kukuombea kwa nguvu zote lakini nawe ufunge na kuomba si kisanii bali kiukweli! Nachelea kukubaliana na ushauri wako wa grace period ya miezi 6 kwa kuwa bado wewe hujashinda katika jaribu hili ulilonalo. Hivyo ukishashinda au kushindwa, tafadhali tupatie mrejesho na hasa namna ulivyoweza kumshinda huyo mwovu sheitwan! Ila aombaye kwa imani hupata anachoomba, lkn ukiomba kwa macho ya mashaka-mashaka, wewe mwenyewe ndiye utakuwa umekuwa sheitwan!

Ushauri tu wa bure, mwambie wife huyu binti ende zake tu maana ukweli anakutia majaribu maana imeandikwa tusiikaribie zinaa, wala husije kujidanganya kwamba utaishinda zinaa kwa maombi wakati iko hapo pembeni yako.... mtimue tu utakuwa salama sana.
 
Ni Mwezi wa 4 sasa tangu huyu Binti atu join hapa kwetu, mwanzoni siku note but as days goes on, Huyu Bint anazid ku change na kutamanisha, sio mimi tu bali hata washakj wanaonitembelea hawaachi kumwaga comments zao.
Nina kama week sasa nafunga na kuomba Mungu aniepushe na shetani Muovu ambaye kimsingi ameshaanza kut send Bad signal kwenye Mind yangu juu ya huyu Bint, nitaendelea kufunga na Kumuomba Mungu aniepushe na Adui Muovu shetani, ikishindikana zaid nia apply ile wazungu wanasema "He who avoids tempatation avoids Sin" kwa kumtengenezea Zengwe kwa wife ili arudi kwao ukichukulia ni last week tu tumetoka kupima HIV na wife na wote tuko -Ve na sitak kabisaaaa kuwa source ya Maanagamizi ya Familia yangu.
Naomba Mniombee katika kipindi hiki

PS:
Kwa wale mnaotaka ku Employ wadada wa kazi, nashauri muwape kitu kama a "Grace period" ya kama 6 Months na inabid hii iwe agreed before, after six Month ukianza kupata mawazo ya Kishetani mwambie kuwa haja Qualify na umrudishe kwao kabla Hujamtafuna na kuvuruga Familia.

Wasalaam

Hiyo hali huwa inawatokea wanaume wengi sana hasa wenye ndoa hivyo sikushangai sana kutokea kwako zaidi ni kwamba nikupongeze tu kwa kusema hisia zako kwa beki 3 wako. Kumuomba Mungu ni jambo la maana ingawa hatuwezi kumshirikisha Mungu kwa kila Jambo hasa yale ambayo ametupa uwezo wa kutambua kuwa ni mabaya na akili ya kuyashinda kama hili la kwako. kitu cha unatakiwa kuelewa kuwa kama wewe ni baba wa familia hivyo basi na binti wa kazi ni mtoto wako kwani ni sehemu ya familia yako hivyo kitendo cha kumtamani ni tabia chafu ambayo ikijijenga ipo siku utamtamani hata mwanao wa kuzaa. Kitu cha pili nina wasiwasi na mahusiano yako na mkeo kama yapo thabiti kweli. nashangaa unapata wapi muda wa kuangalia maungo ya binti wako wa kazi kama kweli mahusiano yako na mkeo ni mazuri. Jenga tabia ya kuwa karibu na mkeo na jitahidi sana kuepuka hayo mawazo potofu pia ni lazima uwe na mipaka kati yako na binti wa kazi na tafuta cha kufanya hasa unapokuwa nyumbani jioni. Kumbuka kuwa huwezi kumfukuza binti wa kazi kwa makosa na tamaa za ngono za kwako, kwa maelezo yako inaonesha ndio tabia yako kuwafukuza mabinti wa kazi kwa upuuzi wako kitu ambacho ni kinyume na haki za msingi za mwanadamu na kutoheshimu utu wa mwanamke.
 
Ni Mwezi wa 4 sasa tangu huyu Binti atu join hapa kwetu, mwanzoni siku note but as days goes on, Huyu Bint anazid ku change na kutamanisha, sio mimi tu bali hata washakj wanaonitembelea hawaachi kumwaga comments zao.
Nina kama week sasa nafunga na kuomba Mungu aniepushe na shetani Muovu ambaye kimsingi ameshaanza kut send Bad signal kwenye Mind yangu juu ya huyu Bint, nitaendelea kufunga na Kumuomba Mungu aniepushe na Adui Muovu shetani, ikishindikana zaid nia apply ile wazungu wanasema "He who avoids tempatation avoids Sin" kwa kumtengenezea Zengwe kwa wife ili arudi kwao ukichukulia ni last week tu tumetoka kupima HIV na wife na wote tuko -Ve na sitak kabisaaaa kuwa source ya Maanagamizi ya Familia yangu.
Naomba Mniombee katika kipindi hiki

PS:
Kwa wale mnaotaka ku Employ wadada wa kazi, nashauri muwape kitu kama a "Grace period" ya kama 6 Months na inabid hii iwe agreed before, after six Month ukianza kupata mawazo ya Kishetani mwambie kuwa haja Qualify na umrudishe kwao kabla Hujamtafuna na kuvuruga Familia.

Wasalaam

acha kusema uongo wewe, hapo kwenye red. kwani hujui kuwa uongo nao ni dhambi. we endelea kuangusha udenda tuuuuu .... afu utavuna unachopanda.
 
Haujaambiwa ukemee zinaa, imeandikwa "ikimbieni zinaa. So hata ukifunga na kuomba, utajitesa buuuree zinaa haikemewi. Jogoo akishawika utamkemea aache?? Hakuna kitu kama hcho
 
Back
Top Bottom