sio kutokwa povu!ila ninakushangaa mbaba mzima tena mwenye mke nyimbani kumtamani yaya wake mpaka kutuletea tujue hapa jamvini!najiuliza,huko ofisini unakoshinda inakuwaje??njiani,baa?Mkuu, sijaona Button ya Thanks, otherwise ningekugongea.
Haya mambo yao sana Mkuu, so ni jukumu letu sote kuyazungumzia na kuyakemea sana, nashukuru sana kwa ku ni note,
Naona akina mamajack povu lilishaanza kuwatoka, na sijui ni kwa nini
naungana na mzalendo jr
kukwambia kuwa,unandoa ila hujakua kumawazo.
najua umeelewa nilichomanisha.Hapo kwenye RED, mamajack please nitake radhi
najua umeelewa nilichomanisha.
Ni Mwezi wa 4 sasa tangu huyu Binti atu join hapa kwetu, mwanzoni siku note but as days goes on, Huyu Bint anazid ku change na kutamanisha, sio mimi tu bali hata washakj wanaonitembelea hawaachi kumwaga comments zao.
Nina kama week sasa nafunga na kuomba Mungu aniepushe na shetani Muovu ambaye kimsingi ameshaanza kut send Bad signal kwenye Mind yangu juu ya huyu Bint, nitaendelea kufunga na Kumuomba Mungu aniepushe na Adui Muovu shetani, ikishindikana zaid nia apply ile wazungu wanasema "He who avoids tempatation avoids Sin" kwa kumtengenezea Zengwe kwa wife ili arudi kwao ukichukulia ni last week tu tumetoka kupima HIV na wife na wote tuko -Ve na sitak kabisaaaa kuwa source ya Maanagamizi ya Familia yangu.
Naomba Mniombee katika kipindi hiki
PS:
Kwa wale mnaotaka ku Employ wadada wa kazi, nashauri muwape kitu kama a "Grace period" ya kama 6 Months na inabid hii iwe agreed before, after six Month ukianza kupata mawazo ya Kishetani mwambie kuwa haja Qualify na umrudishe kwao kabla Hujamtafuna na kuvuruga Familia.
Wasalaam
Ndo maana nafunga na kuomba na ikibid natengeneza Zengwe arud kwao
kuna baba mmoja alikuwa jirani yetu, hajawahi kuacha kutembea na hg hata mmoja aliyewahi kuwa kwao, awe mzuri au mbaya. cha kushangaza ana mke bomba sanaPamoja na kwamba haya mambo yanaokea sana,
Sijawahi kuelewa kwamba inakuwaje kuwaje mtu unaanza kumtamani msichana wa kazi....
Kama huwezi kuswitch off hiyo tamaa basi huko mbele ni hatari...hata wakija wabaya utawatamani tu!
Hahahaaaa! Itakuwa LIMBWATA LIMEKUKOLEA!!!!! Chezea kulisha chakula kilichopikwa na MAJI YA KUTAWAZ*A!!!!!Hapo lazima uisome namba, KILA SIKU UNAMUONA BOMBAAAA kumbe CHEMISTRY YA BABU HIYO!!! Hakuja mjini kushangaa MAGHOROFA babu wee. MJINI MIPANGO ATIII! Lazima umtupie WIFE virago kabla msimu wa ndoa kuisha @ Kocha wa Yanga!
hapo kwenye RED paliwahi kunicost big time, sitarudia tena. either utasuka kwa hela yako au kata nywele.I have had nice an beautiful House Girls in my House, na nimekuwa very fair Kwao; I just imagine that hawakupata tu opportunity Ambayo Mimi nimepata, hii Mungu Kanipa na Si mbaya tukishare nao.
Kwanza nawalipa hela Ambayo najua wanaweza kusave, nina mke na mtoto mmoja, Si Nyumba complex, namlipa Dada 70,000 hii najua anasaidia Kwao na kusave, gharama nyingine Kama saloon, etc anamwambia mke wangu anapata.
Jambo lingine Sasa ambalo Ni kujibu hoja yako, Jamani kuweni na adabu; why would you think of her Kimapenzi, assume tu Ni Kama mdogo wako na umepewa dhamana ya kumlea, it is more into a mindset than udhaifu.
Kama anafanya Kazi vizuri na katulia, do the following;
- assume Ni mdogo wako unaishi naye.
- assume Huyu mdogo wako Hana maisha bila Wewe kumlea na kumsaidia afanikiwe.
- assume Naye kuna Siku anataka aolewe awe na Nyumba Yake Aishi kwa Amani.
- you have to know that when involved into sex, there are valid feelings of love created, utamsaidiaje?
If you think well of the above you will be fine,
House gals Ni wadogo zetu, Hemu tutafautishe Akili zetu na za Punda Jamani.
mpango huo wala hana kabisa!wewe wala usijesemeshe hapa jf,kamwambie mkeo ukweli kwamba unamtamani bk3 wenu.