Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 8,940
- 6,854
Hata nguo zao ziliniacha mnyonge! Angalau wenzetu wa magharibi wanaonyesha wametokea wapi. Hapa ni same old, same old. Tunategemea kuvuna bila kupalilia.
Kwa habari zaidi tembelea bandiko kama hili kwenye ukumbi wa michezo humuhumu jamii forums
naam Ushindani Ni Mkali Us Wanaongoza Kwa 12 (49-37) Na Ni Half Time Sasa, Lakini China Wanashoot 3 Points Kwa Accuracy Ya Hali Ya Juu Na Si Ajabu Wakapunguza Gap Hiyo Haraka Baada Ya Mapumziko Kwisha.
China's Gold Strategy
Shortly after China was awarded these Games seven years ago, its sports leaders devised Project 119, an initiative to help boost their country to the top of the Beijing medal standings. One-one-nine refers to the number of golds given out at the 2000 Games in the medal-rich sports of track and field, swimming, rowing, sailing and canoe/kayak. In Sydney, China won only one medal, total, in those sports.
At this year's Games the home team could win more than a dozen medals in the Project 119 eventspotentially enough to make a difference in a tight battle with the U.S. for the No. 1 spot. Given their traditional strength in table tennis, diving, badminton and gymnastics (in which Yang Wei, top right, is favored to win the men's all-around); their domination of shooting (in which they could win 10 of the 15 events); their depth in women's sports (with stars like weightlifter Liu Haixia, right, world champion in the 139-pound class); and the usual surge in victories by the host country, the Chinese should easily top their 2004 totals of 63 medals (third behind the U.S.'s 102 and Russia's 92) and 32 golds (second to the U.S.'s 36). An analysis in June by the accounting firm PricewaterhouseCoopers projected that China would edge the U.S. in total medals 88--87, and a British university study predicted a stunning 46 golds for the hosts. Bookmakers have made the Chinese the favorites to win both the overall and gold medal counts. What will actually happen in Beijing?
Huyo Ikangaa ndie aliyefilisi mawazo ya watz wengi katika fani ya kufukuza upepo. Ikangaa hakuwahi kushinda medali yoyote katika olimpiki, lakini aliweza kuwa moja wa matajili katika histiria ya wanariadha wa tz. Marathon ilichukua sura mpya katika historia ya TZ baada ya Ikangaa kuzawadiwa Benz, kila mwanariadha alitaka kushiriki katika marathon........
mnakumbuka enzi za kina juma ikangaa,,...
Tanzania Highlight in Olympics Games
Well known for its distance runners, Tanzania has surprisingly only ever won two Olympic medals. Both came at the 1980 Moscow Olympic Games in the Soviet Union where Filbert Bayi came second in the men's 3000m steeplechase and Suleiman Nyambui finished a desperately close second to Ethiopia's Miruts Yifter in the men's 5000m event.
Bayi missed out on the chance to compete four years earlier in Montreal when Tanzania joined the African boycott of the 1976 Games. Bayi was the then world record-holder in the 1500m.
At the 1968 Olympic Games in Mexico City, Tanzanian marathon runner Stephen Akhwari badly injured his knee but limped on to finish over an hour behind the rest of the field. When asked by filmmaker Bud Greenspan after the finish why he had continued to run, Akhwari famously replied, "My country did not send me 7000 miles away to start the race. They sent me 7000 miles to finish it."
Hata nguo zao ziliniacha mnyonge! Angalau wenzetu wa magharibi wanaonyesha wametokea wapi. Hapa ni same old, same old. Tunategemea kuvuna bila kupalilia.
Tanzanians athletes to start Games campaign on Thursday
2008-08-11 08:37:27
By Steve William, Beijing
Tanzanian athletes will start their Olympic Games campaign on Thursday with Magdalena Alex Moshi will be competing in swimming.
Tanzania Chief of the Mission Charles Nyange said yesterday that Khalid Shaka would compete in the mens swimming competition on Friday.
...inawezekana Juma Ikangaa ndio wa kulaumiwa, lakini saa nyingine ni 'bora lawama, almuradi mkono uende kinywani'. Juma Ikangaa mwenyewe pamoja na heshima kubwa aloiletea taifa, alilisotea sana kulitoa hilo Benzi lake Bandarini kwa Serikali kudai kodi. Kitendo hicho kilikuwa motisha au kumvunja moyo, yeye na wengine? Tax Exemption kwa wanamicheo wetu ingesaidia kukuza ari ya kufanya vizuri zaidi.
... Mara ngapi ushasikia Vifaa vya michezo (i.e mats za Karate na Judo, majani bandia ya uwanja wa taifa, etc) vimekwama Bandarini miezi na miezi kwa kukosekana pesa ya kuvikomboa? Priority ya Serikali kuhusiana na suala la michezo sasa lipo kwa JK boys tu.
...Miaka ya Nyuma, pale Gymkhana Club vilizaliwa Vipaji vya Basketball, Railway Gerezani vipaji vya Netball vilionekana, Diamond Jubilee vipaji vya Hokey vilizaliwa, leo hii Gymkhana palipitishwa ujenzi wa Sheraton Hotel, Railway Gerezani ndio imekuwa Paradise sijui nini, Diamond Jubilee Jeshi wamezungushia ukuta ~MARUFUKU KUPITA HAPA! Hata Dojo ya sensei Bomani pale Zanaki kama ipo basi ni majaaliwa.
...nilitarajia wanariadha wetu maarufu wa enzi hizo Tanzania, mf; Bayi, Ikangaa, Nyambui, Nzael Kyomo, Mwinga Mwanjala, Mosi Alli etc angalau mmoja wao angekuwa mbunifu kufungua chuo (hata kwa udhamini wa NIKE, ADIDAS, PUMA) ili kukuza vipaji vya wanariadha wetu, lakini naona wengi wao wamejikita kufungua academy tu za elimu ya kawaida.
...Haya, tusubiri muujuza tu mwingine, labda toka kwa mfukuza ng'ombe mmoja, maana angalau hao waliomwona/msikia Ikangaa akikimbia na kutamani wawe marathon runners. Kufa kwa UMISETA na UMISHUMTA, etc imekifanya kizazi kipya wao na Bongo flava tu.