Bei za viungo vya binadamu zatoka. Uza ulicho nacho

regnaldshirima

Senior Member
Aug 18, 2014
124
78
Ni haki ya Kila mtu kuuza mali yake mwenyewe kwani hakuna mwenye mlitafuta nae,
huruhusiwi kumuuza mtu.
mwache ajiuze.
Vipimo vitafanyika kwa uko mzima kuepusha genesis za maradhi ya kurithi na laana.

Masharti:
1.usiwe na magonjwa yoyote.
2.ukoo wenu asipatikane kichaa,taira,ndondocha,chumaulete,wezi,kahaba nk.
3.uwe na akili timamu.
4.usiwe Teja.
5.Usiwe shabiki wa arsenal,simba,yanga,costal union.
6.uwe na kazi maalumu.
7.siku ya kuuza uje na police 3,watendaji,balozi,na barua toka wizara ya afya ,cheti cha ukichaa.


BEI:
Moyo wa mwanaume: 50milion.
Moyo wa mwanamke(usiwe umeumizwa sana): 10milion.
Ubongo (div 4 fm 4): 400,000.
ubongo (div 1 fm 4): 50milio
figo la kushoto: 20milion.
figo la Kulia : milion 30milion.
sehem za siri men (ndefu): 6milion.
sehem za siri men (ndefu-nene): 9milion.
sehem za siri men (fupi): Bure.
ulimi : milion 10.
machozi ya kiume 1lita: 10000.
machozi ya kike 1lita : 1000.
Mkojo wa kiume 10lita(wa pombe chafu hatutaki): 5000.
Mavi ya siku moja (1TON): 50000.
Tumbo(lisiwe na ulcers,minyoo,safura,amoepa,kipindupindu): 900,000.


Ndugu Muuzaji unaweza uza spear zote na kuwekewa mbovu.......
Asante.
 
sasa mkianza kuuziana sisi funza na bakteria tutakula nini..?
sio mimi wamenipigia simu wanahitaji jibu la uhakika..:(:(:(
 
Ni haki ya Kila mtu kuuza mali yake mwenyewe kwani hakuna mwenye mlitafuta nae,
huruhusiwi kumuuza mtu.
mwache ajiuze.
Vipimo vitafanyika kwa uko mzima kuepusha genesis za maradhi ya kurithi na laana.

Masharti:
1.usiwe na magonjwa yoyote.
2.ukoo wenu asipatikane kichaa,taira,ndondocha,chumaulete,wezi,kahaba nk.
3.uwe na akili timamu.
4.usiwe Teja.
5.Usiwe shabiki wa arsenal,simba,yanga,costal union.
6.uwe na kazi maalumu.
7.siku ya kuuza uje na police 3,watendaji,balozi,na barua toka wizara ya afya ,cheti cha ukichaa.


BEI:
Moyo wa mwanaume: 50milion.
Moyo wa mwanamke(usiwe umeumizwa sana): 10milion.
Ubongo (div 4 fm 4): 400,000.
ubongo (div 1 fm 4): 50milio
figo la kushoto: 20milion.
figo la Kulia : milion 30milion.
sehem za siri men (ndefu): 6milion.
sehem za siri men (ndefu-nene): 9milion.
sehem za siri men (fupi): Bure.
ulimi : milion 10.
machozi ya kiume 1lita: 10000.
machozi ya kike 1lita : 1000.
Mkojo wa kiume 10lita(wa pombe chafu hatutaki): 5000.
Mavi ya siku moja (1TON): 50000.
Tumbo(lisiwe na ulcers,minyoo,safura,amoepa,kipindupindu): 900,000.


Ndugu Muuzaji unaweza uza spear zote na kuwekewa mbovu.......
Asante.
NI NAMNA NYINGINE YA KUONESHA ULIVYO NA TABIA CHAFU YA KUWADHARAU/KUWANYANYAPAA WANAWAKE.
 
Back
Top Bottom