Hukumuzuku
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,676
- 5,024
Naomba anayefahamu bei za jumla na rejareja za bales za mitumba za grades tofauti (grades A, B, C) tafadhali anifahamishe. Kama kuna namna mbadala ya ku-calculate bei, mfano Tshs per kg, ningeomba kufahamu pia. Ushuru wake unakuwaje mzigo ufikapo bandarini?