Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
Ni kweli bei ya vyakula inapanda kwa kasi zaidi na watu wanaanza kufikiria vya kununua na kwa kiasi gani? Kwamba, wapo watu wameanza kubadilisha manunuzi yao ya vyakula kuakisi ongezeko la bei vya vyakula mbalimbali? Je hili litakuwa na matokeo gani katika uchumi hasa kwenye headline inflation? Je kuna namna yoyote kweli ya kuweza kuepusha the inevitable?