cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 26,768
- 73,435
Mimi naomba uliza maana hadi leo sielewi.
Niliendaga Level 8 ule mziki wa Ijumaa mara moja sijui kwa mwezi, haya kiingilio kilikuwa 20,000tshs, basi mimi mnywa maji nikaambiwa maji ni ya kilimanjaro yale makubwa sijui ni lita 1.5 au 2 jamani niliambiwa bei ni elfu saba mia tano 7,500 tshs nilichoka mwenyewe ningefanyaje nilinunua na kunywa muda niliokaa pale.
Ila hiyo bei ni ya box moja lenye chupa hizo nyingi nadhani 12 sasa ni sababu ni sad 5* hotel au ni wizi wa muandaaji na maofisa humo na hao wahudumu acha tu na mambo yao lazima ununue vocha kabla ya kupata kinywaji ulipie vocha chenji wabaki nayo.
Haya wee runway sikuamini siku moja nilitaka maji kama kawaida yale madogo ya nusu lita niliombwa shs 1000 nilidhani muhudumu kakosea maana kiingilio kilikuwa 20,000 tshs. Nilifurahia sana
Ukiongea ya Movenpick mmmhhhh nadhani nusu lita ni 3,5000 tshs
Hivi kwanini wanatula hivi, ukiongea bia level 8 ...6,500 tshs ila mie najua tunataka burudika ila mmmhhh!
Mzalendo bei poa vinjwaji huisha haraka.
JE BEI NI HIZO AU WANALANGUA TU AU WANABADILI SIKU ZINGINE?
Shukurani wanajamii
Niliendaga Level 8 ule mziki wa Ijumaa mara moja sijui kwa mwezi, haya kiingilio kilikuwa 20,000tshs, basi mimi mnywa maji nikaambiwa maji ni ya kilimanjaro yale makubwa sijui ni lita 1.5 au 2 jamani niliambiwa bei ni elfu saba mia tano 7,500 tshs nilichoka mwenyewe ningefanyaje nilinunua na kunywa muda niliokaa pale.
Ila hiyo bei ni ya box moja lenye chupa hizo nyingi nadhani 12 sasa ni sababu ni sad 5* hotel au ni wizi wa muandaaji na maofisa humo na hao wahudumu acha tu na mambo yao lazima ununue vocha kabla ya kupata kinywaji ulipie vocha chenji wabaki nayo.
Haya wee runway sikuamini siku moja nilitaka maji kama kawaida yale madogo ya nusu lita niliombwa shs 1000 nilidhani muhudumu kakosea maana kiingilio kilikuwa 20,000 tshs. Nilifurahia sana
Ukiongea ya Movenpick mmmhhhh nadhani nusu lita ni 3,5000 tshs
Hivi kwanini wanatula hivi, ukiongea bia level 8 ...6,500 tshs ila mie najua tunataka burudika ila mmmhhh!
Mzalendo bei poa vinjwaji huisha haraka.
JE BEI NI HIZO AU WANALANGUA TU AU WANABADILI SIKU ZINGINE?
Shukurani wanajamii