Mmang'ati
Senior Member
- Jan 8, 2011
- 184
- 49
Naamini mmefanya makosa japo imeshakuwa cku nyingi tangu mkosee na hamjarekebisha pengine kwa kutegea tuwarekebishe. Bei ya rand (zar) kwa vyovyote haijafika tsh.2000. La mtupe maelezo kuliko kuendelea kutuchanganya. Yahya mohd umo humu Jf tafadhali mpelekee anaedit habari za biashara coz mnapotosha.