libeva
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 4,367
- 3,382
Anazo zenye 4WD?
Bei anaanzia ngapi?
Anazo zenye 4WD?
Bei anaanzia ngapi?
Wadau!!!
Nina mpango wa kununua Trekta iwe Massey Furgason au Ford. lakini yawe used maana Bdrand New Sitaweza. Kwa hapa Tanzania, nitapata wapi? Na wanauzaje?
Pia jembe lake, Trela na jembe la kupigia halo ni bei gani?
Matrector mengi unayo - yaona hapo Ubungo ni kwamba yametokea Pakstani hata jamaa wa Kenya pia wanatoa Pakstani. Kama wewe sio mjuzi wa haya Matrector ni ngumu sana kutofautisha ya UK na Pakstani. Lakini katika Life Span hata ugumu wake Shambani ndio utajua kama www ni mjuzi wa haya matrector. Sio kwamba ninamkatisha tamaa mtu yoyote, La hasha!!!
Matrector haya yoa Pakstani yanafanyiwa Cosmetic ya kutosha kuingia Sokoni. Kilala Kheri. NB: Pata matrecto moja kwa moja kutoka Ulaya, i.e. Uk, France , Holand nk.
165 ni milioni 24 na 290 ni milioni 40Bei zenu zikoje?
wasiliana na huyu jamaa anaitwa Sharifu yupo Segerea simu 0654691703Wadau!!!
Nina mpango wa kununua Trekta iwe Massey Furgason au Ford. lakini yawe used maana Bdrand New Sitaweza. Kwa hapa Tanzania, nitapata wapi? Na wanauzaje?
Pia jembe lake, Trela na jembe la kupigia halo ni bei gani?
Njoo nikupe kitu safi na salama no 0713 441467kama kuna mtu anajua ana trekta used massey model 275,375 au 165 lenye hp angalau 70 toka ulaya au marekani, nasisitiza lisiwe PAKISTANI au INDIA anitafute kwa namba 0657656693 bajeti yangu ni m23, liwe kwenye hali nzuri kwa kilimo
Wadau!!!
Nina mpango wa kununua Trekta iwe Massey Furgason au Ford. lakini yawe used maana Bdrand New Sitaweza. Kwa hapa Tanzania, nitapata wapi? Na wanauzaje?
Pia jembe lake, Trela na jembe la kupigia halo ni bei gani?
Muuzaji ni mm mzee 0715 877933MPIGIE HUYU NDIYE MUUZAJI WA MATREKTA YA AINA HIYO UNAYOTAKA WEWE KWA BEI POA : 0713 300 745