Bei ya mafuta: TRA, TBS, TPA, EWURA ndio chanzo: Pata ukweli hapa

Kobello umenisaidia sana mungu akubariki na kuongezea leo nimeingia ofisini nimeangalia bei ya mafuta asubuhi iko $79 a barrel.
(1barrell= 158.98ltrs US metric).
1barell = $79.

Hivyo kila litre is equal to 49.7 cents sawa na 797.68 Tshs per litre.

Tax sijui mnaipataje ila tukiweka constant = 797.68 + 540= 1,337
Other costs = 200 = 1,337+200 = 1,557
Tuingize na Transport cost and Insurance and other cost including corruption (kitu sikubaliani nacho) na faida yenu=300 per litre = 1,557 + 300= 1,887 per litre.

Je mnashindwa nini kuuza mafuta kwa Tshs 1,900 per litre?????

Neng'uli sijaelewa wewe ndio consultant au umekopi hizi taarifa kutoka kwa huyo mataalam.
Umesema "Kama wamekosa wataalamu watutafute tuje tuwafanyie Intensive analysis" hebu onyesha huo utaalam hapa kwanza kabla EWURA hawajakupa kazi.

Do something similar to what Kobello has done, though Kobello may not get the figures correct because (probably) he's not in the energy industry as opposed to you.

Unajua Tanzania pamekuwa ni mahali ambapo mfanyabiashara makini hawezi kupachukulia serious tena. Tunatunga sera za uchumi kwa jazba. Tunaona wawekezaji wote ni maadui. Tumefundishwa kuwa bepari ni mnyonyaji, fedhuli, kaburu anayependa kutesa watu!

Nikisikiliza watu kama Kibonde wanavyobwabwaja kwenye redio kuwa Wauza mafuta eti wanajiona wako juu ya serikali, huwa nasikita kuwa huo ndiyo uwezo wa mwisho kabisa wa Watz wenzangu kupambanua mambo magumu.

Hebu jiulizeni, kweli hawa wenye mafuta wanafaidi nini kutokuuza mafuta yao? Wamepoteza mauzo ya wiki nzima. Mabenki yanasubiri hela zao walizowakopa. Massuplier wa Upstream wanauliza watalipwa lini. Prssure zote hizo lakini wanaona ni bora kuliko kuingia hasara hiyo ya 86/= kwa lita. Kweli mnafifikiri hawana akili, au ni kuwa kweli hiyo hasara ni kubwa mno mpaka wanaona ni bora watulie.

Na msisahau, hawa EWURA wanaolazimisha bei feki, wameshapata tozo zao, na zimeelekezwa haraka sana kwenye posho za vikao;)

Hata Mmachinga unaweza ukabagein naye sana lakini kuna mahali atakuambia "haina maslahi", na atakuwa tayari aondoke na njaa yake kuliko kukuuzia kwa bei unayotaka.

Makampuni yakitoa rushwa yanataka kuifidia kama gharama za uendeshaji?, give us a break please..rushwa wanaombwa wanatoa wote wana matatizo ambayo hawayapi (hayo makampuni) nafasi ya kuuza mafuta kwa bei ya kurusha....

Na vile tusisahau hongo mnazotoa katika kampeni za wanasiasa,

Michango mnayotoa kwenye mahafali ya uchangiaji vyama,

Acheni zenu tunajua mnatengeneza supernormal profit na hamtaki kupata a reasonable profit kwani you are greedy bei ya mafuta imeshuka kushusha bei hamtaki mnakuja na visababu lukuki.


je kati ya serikali hii ya kufikirika na wafanya biashara wa mafuta, je mnaamini kauli ya nani?
 
Take unit cost of 1600 plus any margin if any then that will be the whole sale price, add transport and other charges including ya kuweka rangi mafuta, ( maana kuna watu maalumu kazi yao kuweka rangi ya mafuta), add destination inspection fees. Jumlisha na Trafic charges

Add storage charges,
add throughput charges, then peleka petrol station kauze uone kama uta uza 2003.93 TRA wange punguza ingekuwa whole sale price ni 1010 then ongeza hayo mazagazaga ungepata 1600-1800 petrol station yaani rejareja.

Mkuu huu ndio ukweli wemyewe !!

Serikali inakamua kodi kubwa sana na nyingi(za aina mbali mbali) kwenye mafuta!
Seikali ipunguze kodi inazotoza kwenye mafuta by 50% na cost ya mafuta itaanguka mpaka around Tshs 1,000 per litre, na ukiongeza gharama za usafiri, storage etc - retail price itakuwa around Tshs 1,500 to 1,600 per litre.

Serikali ndo mchawi ktk tatizo hili - imetoa exemption kwa makampuni yote ya madini yasilipe kodi hizio zilizotajwa hapo juu kwenye mafuta, na kwa sababu hiyo imeamua kuwashindilia waTZ wa kawaida ili ku compesate kodi iliyokuwa foregone kwa kutoa exemptions.
 
je kati ya serikali hii ya kufikirika na wafanya biashara wa mafuta, je mnaamini kauli ya nani?

Mie naamini rules of market forces (demand and supply). Mwezi may bei ya mafuta ilikuwa $117 kwani ndio bei inayouzwa katika soko la dunia sikulalamika and infact kuna muuza mafuta mmoja alinambia pale katikati ya jiji kuwa hiyo ndio faida yetu inabidi tupandishe!

Leo inauzwa $79 a barell nilitegemea bei ya mafuta nchini itashuka pia (kwasababu ilipopanda mlipandisha siku hiyo hiyo katika vituo vya mafuta). Iweje leo imeshuka mnaaza manung'uniko?

Isitoshe bei ya mafuta baadhi ya maeneo wanalangua hadi shillingi 3,000 per litre. You guys are greedy b%%%%^^^****stard
 
Take unit cost of 1600 plus any margin if any then that will be the whole sale price, add transport and other charges including ya kuweka rangi mafuta, ( maana kuna watu maalumu kazi yao kuweka rangi ya mafuta), add destination inspection fees. Jumlisha na Trafic charges

Add storage charges,
add throughput charges, then peleka petrol station kauze uone kama uta uza 2003.93 TRA wange punguza ingekuwa whole sale price ni 1010 then ongeza hayo mazagazaga ungepata 1600-1800 petrol station yaani rejareja.

Why this price of Tshs 1,600 while in Kenya the MRSP is equivalent to Tshs 1,566? Kenya wananunua wapi haya mafuta mpaka bei yao ya pampu iwe chini kuliko yetu ya kuagiza?
 
Mie naamini rules of market forces (demand and supply). Mwezi may bei ya mafuta ilikuwa $117 kwani ndio bei inayouzwa katika soko la dunia sikulalamika and infact kuna muuza mafuta mmoja alinambia pale katikati ya jiji kuwa hiyo ndio faida yetu inabidi tupandishe!!!!. Leo inauzwa $79 a barell nilitegemea bei ya mafuta nchini itashuka pia (kwasababu ilipopanda mlipandisha siku hiyo hiyo katika vituo vya mafuta). Iweje leo imeshuka mnaaza manung'uniko??? Isitoshe bei ya mafuta baadhi ya maeneo wanalangua hadi shillingi 3,000 per litre. You guys are greedy b%%%%^^^****stard

Why this price of Tshs 1,600 while in Kenya the MRSP is equivalent to Tshs 1,566? Kenya wananunua wapi haya mafuta mpaka bei yao ya pampu iwe chini kuliko yetu ya kuagiza?


nimekuuliza a very simple qiestion:

Btweeen hii serikali iliojaa wa la rushwa,na warasimu na wafanya biashara. Je unaamini kauli ya nani?
 
RealMan always think twice, nifanye real thing vipi wakati sina mzigo ulioingia after EWURA NA MBWEMBWE ZAO?
Nimekupa cost element zote, na bado kukutumia Vifungu vya Acts mbalimbali zinazoelezea penalties zake na due dates zake,

Ndugu zangu mkumbuke kuwa Kila kitu ambacho mfanyabiashara anatozwa lazima aingize kwenye bei hiyo ya mafuta, serikali ipunguze kodi za ajabu tupate unafuu wa maisha, hata mimi sijawahi wekewa mafuta bure na siku zote hizi ninazofanya costing nayaona kama ya mkwe vile,


Hata rushwa wanazochukua jamaa wa Tanzania Ports authority ili wairuhusu meli kushusha mzigo nazo tunaingiza humo kwenye bei ya mafuta,
hao EWURA wanavijana wao wanashinda huku kwenye matanki yamafuta kujifanya wanakagua nao walarushwa kama siafu, sometimes watu wanatoa rushwa kuepukana na kupoteza time,
Kuna Port Accountant pale, mara lete Open cheque, mara lete dola, mara nataka banker's cheque mara sitaki ya NBC na NMB zinachelewa nataka za Citibank,
all this time meli imepark tuu, yeye anafanya anasa ili uumpe rushwa,

Nyie watu msiongee barabarani njoeni huku depot muuone hali halisi,


Wangapi wanaagiza magari ths 5,000,000 wanaishia kulipa mpaka 12,000,000 pale bandarini na bado redio na kila kitu wananyofoa

people acheni siasa kwenye biashara,


Leo asubuhi nilimuuliza dereva wa tax, naenda depot, nina elfu 6,000/= akanijibu hainilipi kodi bajaji,
nikauliza unataka Tsh ? niongeze ongeza 2,000 tupate lita moja nitakufikisha.


Nikaenda kwa bodaboda nipeleke depo akajibu lete 3000 nikwamwambia nina 2000, akasema laa mafuta tuu nimenunua TSh 2004, akajibu siwezi kupoteza Tsh 4.

Nenda kanunue Mbuzi Kwa Tsh 35,000/= kauze Tsh 20,000 kama wewe mzalendo.

Utaalamu ninao na ndio maana nawaomba EWURA WAWAAMBIE WANANCHI UKWELI NANI ANASABABISHA BEI IPANDE,WASIPOTOSHE UMA


KISUKIKALI SANA HIKI


Neng'uli sijaelewa wewe ndio consultant au umekopi hizi taarifa kutoka kwa huyo mataalam.
Umesema "Kama wamekosa wataalamu watutafute tuje tuwafanyie Intensive analysis" hebu onyesha huo utaalam hapa kwanza kabla EWURA hawajakupa kazi.

Do something similar to what Kobello has done, though Kobello may not get the figures correct because (probably) he's not in the energy industry as opposed to you.
 
nimekuuliza a very simple qiestion:

Btweeen hii serikali iliojaa wa la rushwa,na warasimu na wafanya biashara. Je unaamini kauli ya nani?

Kiufupi nimekujibu siamini serikali kwani imejaa rushwa, usanii wala wafanyabiashara waliojaa tamaaa ya kutukamua sie wahenyaji na walishaji wa mafisadi. Nachokiamini ni demand and supply katika soko la kimataifa mengineyo naona ni siasa na usanii tu.
 
ukiwafumbua macho wanaona umetumwa haya kaeni na ujinga wenu
<br />
<br />
Mkuu! Nakwambia ndiyo shida wa Ndg ze2! Ila siyo wote ni baadhi ya hawa watoto wa Magamba walio2vamia humu ndani ila hakika lenye mwanzo hata mwisho ipo. UKOMBOZI NI SASA NA KAMA SI SASA NI SASA HIVI: PATACHIMBIKA MKUU.
 
Na vile tusisahau hongo mnazotoa katika kampeni za wanasiasa,

Michango mnayotoa kwenye mahafali ya uchangiaji vyama,

Acheni zenu tunajua mnatengeneza supernormal profit na hamtaki kupata a reasonable profit kwani you are greedy bei ya mafuta imeshuka kushusha bei hamtaki mnakuja na visababu lukuki.
KUCHANGIA UCHAGUZI NDO INAPELEKEA HAYA YOTE YATOKEE.......... Na vile vile wanashindwa kutoa maamuzi kwa vile watoa maamuzi ndo wauza mafuta.............. Magufuli alishasema kuwa kile kituo cha mafuta pale mahakama ya ndizi DAR ilikuwa pajengwe kituo cha mabasi yaendayo kasi............
 
Nyie wote mnaongea vitu msivyovijua, unajua mara zote wafanyabiashara wanakusudia to minimise cost and maximise proft. Hata gharama zote za Diesel ingekuwa 1000 bado wangeuza bei wanayotaka wao. Acheni kupumbazika nyie ni wakati wakuwazomea hawa wafanyabiashara
 
Guys, put the EWURA price build up here and point out the items that OMCs are disputing.
Mbona hii ilishawekwa hapa mkuu na hata sasa ipo thread ya EWURA inachanganuo vitu vyote hivi na kweli jamaa wa OMCs faida yao siyo kubwa . Na issue kubwa hapa ni stock ambayo OMC wanadai bado ipo na hawataki kuiuza kwa bei mpya.

Issue hapa ni kwanini EWURA na OMCs wameshindwa kukubaliana kuhusu hiyo stock? Inakuwaje OMCs wanasema bado kuna stock na EWURA wanasema imeshaisha? Who is right then?
 
Mbona hii ilishawekwa hapa mkuu na hata sasa ipo thread ya EWURA inachanganuo vitu vyote hivi na kweli jamaa wa OMCs faida yao siyo kubwa . Na issue kubwa hapa ni stock ambayo OMC wanadai bado ipo na hawataki kuiuza kwa bei mpya.

Issue hapa ni kwanini EWURA na OMCs wameshindwa kukubaliana kuhusu hiyo stock? Inakuwaje OMCs wanasema bado kuna stock na EWURA wanasema imeshaisha? Who is right then?

Hawa jamaa ni wahuni bei ya mafuta ikipanda katika soko la dunia kesho yake utaona wamepandisha bei ya mafuta nchini. Inaposhuka wanadai stock imejaa bado huu ni uhuni ilipopanda mbona walipandisha wakati stock waliyonunulia ilikuwa ya bei rahisi!!!! Msitake kutufanya mabwege sie watanzania wauzaji mafuta wanatamaa na wahuni!!!
 
Nyie wote mnaongea vitu msivyovijua, unajua mara zote wafanyabiashara wanakusudia to minimise cost and maximise proft. Hata gharama zote za <b>Diesel ingekuwa 1000 bado wangeuza bei wanayotaka wao. Acheni kupumbazika nyie ni wakati wakuwazomea hawa wafanyabiashara</b>
Fanya utafiti kwanza kabla hujaandika ndugu yangu.
TRA inanuka rushwa, EWURA imeoza rushwa.
B
TPA ndio usiseme, mwisho mnategemea mfanya biashara ya mafuta aje auze mafuta kwa bei mnayoitaka nyie wakati huko awali maofisa wenu wamemkamua vya kutosha.
Serikali ndio Tatizo na sio wafanya biashara.
 
Crude Oil Price by OIL-PRICE.NET ©
PriceChangeTradesVolume
02:56 - $ 81.71
up.gif
2.41 3.04%
up.gif
9,71014,434
RangeOpen52 Wk Range1 Year Forecast
80.71 - 82.4381.9071.32 - 114.18$ 94 / Barrel




1barrel=117.35 litres.
9th june the price was 100$ for 117.35litres i.e 85c per litre.
That is 1450/ltre +540 tax=1990/litre.
Other costs=200/litre.
TOTAL=2200/litre.
That was june,when the price was 100$ a barrel. It's now 80$ a barrel,which is 20% less
so,20% of 2200=550
Tax decrease of 50% i.e from 54shs to 27 shs ,so you have a total of almost600 to 700 shs drop from the maximum price in june.
2200-600=1600/litre.
NOW WHY THE F*&K CAN'T YOU SELL PETROL FOR 2003.79 Shs???
I wanna know!!!

Umekosea vibaya sana! CRUDE OIL sio Petroli wala Diesel, Crude ni yale mafuta yanayotoka ardhini kabla hayajafanyiwa processing yoyote ya kutengenisha. Petrol, Diesel, Kerosene etc ni product zinazotengenezwa from crude oil, Petroli haitoki ardhini!!

Ukweli ni kwamba serikali "to have their cake and eat it too" wanataka wapate pato kubwa rasmi (na lisilo rasmi) kutokana na kodi za mafuta, na wakati huo huo wanataka bei iwe chini kitu ambacho ni Bull Sh***.

Edit:
Your math is also complete nonsense, its not 20% from the total after tax price, its 20% from the crude oil price.
 
EWURA Fees: MAMILION YANALIPWA HAPA; UKIPATA MUDA NITUMIE EMAIL NIKUPE SAMPLE ZA INVOICE
Excise Duty: hapa ndio lilipo tatizo
Fuel Levy: Na hapa ndio haswaa
Demurage Charges: Urasimu wa Bandari unasababisha meli ikae hadi siku 45 na zaidi: mfano, kodi tax iweke nje ikusubiri kapange foleni bank ukitoka muulize bei, atakuambia kitu kinaitwa waiting charges
Wharfage Charges
Analysis Charges:
IDF Charges
Inspection fees
Batch application fees
Tipper Charges
Batch Certificate charges
Interterk testing Charges
TBS Charges
CSL: City Service Levy: Tunalipa Manispaa ni asilimia0.3% of gross sales on quartely bases nayo ni mamilion
Ukiangalia hapa juu, kila kipengele kinanchangia kupanda kwa bei ya Mafuta, Ili kupunguza bei ya mafuta unahitaji kujikita kwenye vitu tulivyo na maamuzi navyo kama vile Ushuru unaotozwa na TRA, na matozo ya EWURA na Bandali, Demurrages hatuna uwezo wa kuipunguza ni gharama tunazo mlipa mwenye meli kwa kuchelewesha meli yake kushusha mafuta kutokana na urasimu wa bandari, Wharfage ni gharama tunazolipia bandarini ili kushusha mafuta.

Ukiangalia kwa makini TRA peke yake ina toza Tshs 539 kwa kila Lita ya petroli kitendo ambacho kinasababisha bei kufika hadi 1600,1700,1800,1900 kulingana na thamani ya dola.

TRA na mamlaka zinatambua hilo na zitusaidie ili kuweza kupata mafuta kwa 1500 bei ya rejareja kwa kuondoa ushuru angalau kwa TShs 200 tuu kwa lita:

Nilichogundua ni kwamba wanatamka maneno mengi yasiyo ya kitaalamu na kusababisha watu tusijue ukweli.

Kama wamekosa wataalamu watutafute tuje tuwafanyie Intensive analysis, and put all together Costing items:

EWURA wametoa makadirio kuwa meli zitachelewa kushusha mafuta kwa siku tatu hadi kumi na tano, wakati ukweli ni kwamba meli zinakaa hadi siku 45 hapa salender na kila saa iendayo mbinguni tunalipa dola kibao

Katongo2002@gmail.com
COSTING ACCOUNTANT
KATONGO ENERGY COMPANY ltd







Kama unataka namna halisi nitakokotoa niwape ukweni: Alternatively send your email nikutumie template uone ukweli, Tunadanganywa kama watoto wadogo

Hapo kwenye RED, yaani mpaka tukutumie e-mail zetu ndio utwmbie ukweli, ssa hapa JF umekuja kufanya nini? au mbona sikuelewi kabisa wewe?
 
First of all Nenguli asante kwa kuleta taarifa ingawa baadhi ya watu badala ya kubishana na hoja zako wanakushambulia wewe pole sana....

Sidhani kama kuna mtu atabisha kwamba nchi hii ni kazi kufanya biashara sababu ya uzembe wa bandari as well as rushwa na kutokuwajibika..., Mfanyabiashara (binadamu) always ni mtu wa tamaa na anatafuta the possible maximum profit..., na jinsi ya kumzuia ni kuongeza competition na sio kumpangia bei..., kama kweli serikali inaona hawa jamaa wanafaidika na super profit kwanini na wenyewe wasiingie kwenye hii biashara na kuuza mafuta at the lowest possible price ili kuleta competition ili tuone kama bei hazitashuka...

Wale wanaosema mafuta yakishuka duniani na wenyewe washushe (this is not charity, and the world does not work like that) kama mnataka free market then let demand and supply set up the price..., na jinsi ya kufanya hivi ni kuongeza supply kwa kuwawezesha wafanyabiashara zaidi au serikali kuingia kwenye hii biashara na sio kuforce bei ishuke..., kitakachotokea ni supply kupungua, demand kuongezeka na bei kupanda

Serikali need to sort out themselves here and we are blaming the wrong people here, na kuacha the real culprit ambae ni serikali
 
WanaJF,

Kama ni kilio cha watanzania kuhusu kero ya uhaba wa mafuta iliyotokana na mgomo wa wafanyabiashara ya mafuta; kimeonekana dhahiri na kusikika pia nje ya Tanzania.

Watanzania hatuna sababu ya kuhangaika kutafuta mchawi wa mgomo huo, kwani ukweli wenyewe kuhusu huo mgomo upo dhahiri kama ifuatavyo:


1. Wafanyabiashara wa mafuta (petroli, dizeli, kerosini, n.k, n.k&#8230;) wanajali faida kubwa kwa maslahi yao binafsi, hii inatokana na ukweli kuwa mara nyingi serikali ikikusudia kupandisha kodi na tozo mbalimbali kwenye mafuta wakati wa bajeti; wafanyabiashara hao haraka haraka hupandisha bei za mafuta hata kabla serikali haijatoa notisi rasmi ya kuanza kutumika kwa bei mpya. Unyama wa wafanya biashara hao umejidhihirisha wakati serikali ilipoamua kushusha bei baada ya kupunguza baadhi ya kodi na tozo kwenye mafuta, wafanyabiashara hao wakapandisha zaidi bei za mafuta badala ya kushusha kama wanavyofanya wakati wa ongezeko la kodi na tozo.

2. Baadhi ya vigogo serikalini wana hisa kwenye makampuni ya mafuta hivyo, wana maslahi binafsi katika biashara ya mafuta, hii ndio inayoyapa makampuni ya mafuta kiburi na jeuri ya kufanya watakavyo kwenye nchi ya TZ. Kama serikali ingekuwa na nia ya dhati kwenye bei ya mafuta isingeua TIPPA na TPDC ingepewa uwezo wa kununua mafuta kwa wingi (Bulky procurement), nina imani wafanyabiashara hao wasingeringa na kutamba kama wanavyofanya sasa.

3. CCM inapokea misaada mingi ya michango kutoka kwenye makapuni ya mafuta kwaajili ya kuendeshea shughuli mbalimbali za chama hususan wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu. Hivyo, serikali ya CCM haina nguvu za kudhibiti makampuni hayo kwa vile ni wafadhiri wao ambao nao wanalengo la kurudisha fedha walizo wekeza (Return on Capital Invested) kwenye chama hicho.

4. Wafanyabiashara hao nao wanajua kuwa JK hawezi kuwachukulia hatua kali dhidi yao kwani wengi wa wafanyabiashara hao ni mashahiba wake wa karibu naye ananufaika kutoka kwenye makampuni ya mafuta.
Nawasilisha&#8230;.
 
Take unit cost of 1600 plus any margin if any then that will be the whole sale price, add transport and other charges including ya kuweka rangi mafuta, ( maana kuna watu maalumu kazi yao kuweka rangi ya mafuta), add destination inspection fees. Jumlisha na Trafic charges

Add storage charges,
add throughput charges, then peleka petrol station kauze uone kama uta uza 2003.93 TRA wange punguza ingekuwa whole sale price ni 1010 then ongeza hayo mazagazaga ungepata 1600-1800 petrol station yaani rejareja.
Mkuu,usidanganye watu,
Numbers don't lie!
Hizo costs zote baada ya 1600,tuoneshe moja baada ya nyingine,halafu tuone kama zitazidi 300/litre.
Tunatumia litres 9 millions a day,so we know theres a lot of money in this.....I mean a lot!
 
Back
Top Bottom