Ndo tulivyoamua kuiingiza madarakani serikali isowajali wananchi wake, juzi Bunge la Kenya limesitisha shughuli zake ili kujadili mfumuko wa bei, bongo hii sijawahi kuisikia halafu mtu anavaa linguo la ccm na kuimba kipuuzi tu huku maisha yake magumu balaa.
Anyways, MIAFRIKA NDIVYO TULIVYO!
Serikali nyingine kama Ulaya na Marekani bei za mafuta zimeshaanza kupungua tangu wili mbili zilizopita. Nasikia Marekani bei ya mafuta imepungua kwa Cts 10-15 na itaendelea kupungua zaidi. Sasa iweje bongo bei isipungue wakati nchi zinazotoa mafuta ni zile zile zinazouzia Uyala na Marekani?
Mbopo acha siasa, tunaongelea kupanda kta bei za mafuta bila udhibita. Ni jukumu la serikali kupunguza ukali huu wa maisha. Sio kazi ya upinzani. Naona umekimbilia kwenye maandamano. Ulikuwa unataka cdm ambao ndo unawazungumzia wafanye nini au wasifanye nini ili shlingi iimarike na mafuta yashuke bei?
Usiukimbie ukweli.
Kwa bahati mbaya sana hata ukiulizwa kwa nini shilingi yetu inashuka thamani hutakuwa na majibu ya kisayansi (kiuchumi) zaidi ya kulaumu tu serikali. Ukweli ni kwamba pamoja na kwamba serikali inatakiwa kufanya juhudi kama nilivyodokeza (na kitaalam zaidi kwa weledi wao) lakini matatizo haya hayawezi kumalizwa wala mwananchi hawezi kupata nafuu kwa kuchochewa kwenye maandamano.
Kwa bahati mbaya sana hata ukiulizwa kwa nini shilingi yetu inashuka thamani hutakuwa na majibu ya kisayansi (kiuchumi) zaidi ya kulaumu tu serikali. Ukweli ni kwamba pamoja na kwamba serikali inatakiwa kufanya juhudi kama nilivyodokeza (na kitaalam zaidi kwa weledi wao) lakini matatizo haya hayawezi kumalizwa wala mwananchi hawezi kupata nafuu kwa kuchochewa kwenye maandamano.
kwa mawazo yako ni kuwa politics has nothing to do with Tanzanians life?
use your brain tupe hayo majibu ya kisayansi hapa,
mya take: politics ina interfere life la watanzania kwa 100%
Kwa hiyo Mkuu tukae tu na kusubiri kufa?Kwa bahati mbaya sana hata ukiulizwa kwa nini shilingi yetu inashuka thamani hutakuwa na majibu ya kisayansi (kiuchumi) zaidi ya kulaumu tu serikali. Ukweli ni kwamba pamoja na kwamba serikali inatakiwa kufanya juhudi kama nilivyodokeza (na kitaalam zaidi kwa weledi wao) lakini matatizo haya hayawezi kumalizwa wala mwananchi hawezi kupata nafuu kwa kuchochewa kwenye maandamano.
Niambie mchumi uliyebobea serkaii itumie njia gani kupunguza bei ya chakula! Kama wewe ni mchumi Serikalini basi toa ushauri interventions ambazo zinatakiwa ili thamani ya shilingi isishuke na uchumi usiporomoke. Haitoshi kulalamikia maandamano. Ni haki ya watz kuilalamikia serikali. Wao ndio wameiweka. Kutegemea upinzani wapite mitaani kuishangilia ni kutaka wapinzani wawe jumuiya xa ya ccm. kufiki serikaliKwa bahati mbaya sana hata ukiulizwa kwa nini shilingi yetu inashuka thamani hutakuwa na majibu ya kisayansi (kiuchumi) zaidi ya kulaumu tu serikali. Ukweli ni kwamba pamoja na kwamba serikali inatakiwa kufanya juhudi kama nilivyodokeza (na kitaalam zaidi kwa weledi wao) lakini matatizo haya hayawezi kumalizwa wala mwananchi hawezi kupata nafuu kwa kuchochewa kwenye maandamano.
Tutaendesha magari kweli kwa Bei hii ya mafuta? Bei inapanda sana. What next
<br />sahau kupungua kwa bei ya mafuta kwanini mafuta tunanunua kwa pesa za kigeni..sasa kama usd inapanda kwa wastani wa tzs 5 kwasiku kweli unategemea mafuta ya shuke bei..