VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,800
Serikali inapata wapi bei za madawa ya kulevya kama bangi na cocaine hadi kuutangazia umma kuwa madawa yaliyokamatwa yana thamani fulani? Li wapi soko la madawa ya kulevya hadi bei ya soko kupatikana? Kutaja thamani si kuwavutia wengine kujihusisha na biashara hiyo haramu?