mseseve
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 511
- 89
wadau wa jf naomba mnipe info kuhusu wapi nitapata na kwa bei gani GARI ya kufanyia kazi ya kuzoa taka kwenye kata moja dar. wadau najua tunaweza kusaidiana kwa mambo mengi. kwa huu mkataba nilioupata nahakika mtanisaidia kujua bei ya gari la kukodi ambalo lipo katika hali nzuri, na lisiwe linafanana na taka zenyewe.mwenye magari hayo au anayejua yanapatikana wapi na kwa bei gani kwa siku au kwa mwezi naomba ani PM.