marandu2010
JF-Expert Member
- Aug 7, 2010
- 1,199
- 435
Najua inategemea frame yenyewe ilivyo,,mahari ilipo na vitu vinginevyo,,kwa kuzingatia hayo naomba kwa wale wenye kujua hili tushirikiane,,maana hivi ndivyo tunavyoendelea kupanua uwanda wa habari(utandawazi) ili ifikie hatua watu tufanye maamuzi mazuri zaidi yalijengwa kwenye msingi wa wingi wa habari..
Kwa hiyo yeyote mahali hapa mwenye kujua bei za kukodi frame za biashara(maduka) za sehemu mbalimbali nikilenga zaidi sehemu za jijini dar,,namuomba atupashe..
Natanguliza shukurani zangu wakuu.
Kwa hiyo yeyote mahali hapa mwenye kujua bei za kukodi frame za biashara(maduka) za sehemu mbalimbali nikilenga zaidi sehemu za jijini dar,,namuomba atupashe..
Natanguliza shukurani zangu wakuu.