Kibirizi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 604
- 146
Wanajamvi napenda kuuliza kwa mtu mwenye taarifa za kina juu ya bei za bati migongo mikubwa gauge 28 ambazo zinategenezwa na Aluminium Africa, ni shilingi ngapi kwa running meter au square meter na taratibu za malipo zikoje, hali kadharika zile kofia bei zake pamoja na misumari.