Siku kadhaa niliona hii kitu nasikia ndio wanaotoa bei ya chini ukilinganisha na makampuni mengine, nimejaribu na kuona kweli bei zao poa hasa kupiga simu kwenda Tanzania ni bei poa sana na mawasiliano simu ni moja kwa moja bila kurudia rudia. Kuna mtu mwingine ameshawajaribu tena ni ya watanzania wala si ya wakenya kama ilivyodhaniwa. Watanzania hatuko nyuma kiasi hicho.