Makame
JF-Expert Member
- Jan 3, 2008
- 512
- 60
[h=6]Hebu niwaulizeni enyi wana Siasa, wasimamizi wa fedha (finance management specialists), wadau wa kodi na walaji - Hivi inatia akili kweli kusikia Serikali ikitangaza mabadiliko, kama ya punguzo la kodi, misamaha ya kodi, ondoleo la kodi kwenye baadhi ya bidhaa, then bei za hizo vitu zikipaa kwa kisingizio cha exchange rate na inflation[/h]