emmanuel1976
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 301
- 79
jamani nisaidieni, nina kakibanda kangu kanahitaji kuelezekwa hapo kitunda, Dar...nahitaji kujua wapi nipate mabati kwa bei nzuri na vifaa vingine vya finishing. Nahitaji mabati ya migongo mipana ya aluminiamu . Msaada please!