CCM,CCM,CCM MAISHA BoRA KWA KILA MTZ ,RAHA SANA KUWA MTANZANIA
Bila kusaha mafuta ya magari yanelekea shs 2000/= kwa lita!
CCM,CCM,CCM MAISHA BoRA KWA KILA MTZ ,RAHA SANA KUWA MTANZANIA
Tunaanza kulipia gharama za ufisadi sasa.Tulirukaruka na kufurahia kanga,kofia na tshirts za kijani na kuwapa kura,hii ndo ari zaidi,kasi zaidi na nguvu zaidi.
Bila kusaha mafuta ya magari yanelekea shs 2000/= kwa lita!
Sasa mnasemaje?
Maana naona ninachokisoma humu naona ni manung'uniko na kunyoosheana vidole ambavyo havitatusaidia kitu!!
Hivi mnajua wenzetu Zambia down the road wakiongezewa hata senti moja kwenye kilo ya unga huko mtaani hapatoshi na nchi huwa haikaliki?
Why not here?
Can't we do something? Anything???
Damn it wasomi, anything!!!
Sasa mnasemaje?
Maana naona ninachokisoma humu naona ni manung'uniko na kunyoosheana vidole ambavyo havitatusaidia kitu!!
Hivi mnajua wenzetu Zambia down the road wakiongezewa hata senti moja kwenye kilo ya unga huko mtaani hapatoshi na nchi huwa haikaliki?
Why not here?
Can't we do something? Anything???
Damn it wasomi, anything!!![/QUOTE]
Hivyo ndivyo tulivyo M-mbabe.
Nilipoanza kusoma nilidhani kuna utofauti kati ya walalamikaji wengine waliotangulia na mtuma ujumbe (yaani M-mbabe). Mwisho naye kaishia kulalamikia wasomi. Na hili tatizo tumetoka nalo kwenye jamii zetu. Unakuta mtoto anakufa kwa utapiamlo au malaria watu wanalalamikia wachawi. Muda sio mrefu utasikia watu humu wakiwalalamikia wazungu, world bank, IMF na utandawazi.
Nakubaliana na wewe 110%....lets do something.....maprofesa wa vyuo vikuu wagome sijui kwa niaba ya wananchi...yaani kujimobilize kuandamana kwa wasomi na wanaharakati mbalimbali ni ngumu na sauti yao huwa inaishia hewani...
Jenerali Ulimwengu aliwahi kuandika wakati tunaelekea uchaguzi kuwa, tuna tabia ya kuchagua hovyo na baadaye tunalalamika nadhani uchaguzi wetu ndio umeleta matunda haya sasa hatuna budi kulalamika next time tuwe waangalifu kwenye uchaguzi ili kuepuka kulalamika.
Siasa inapoingia katika masuala ya msingi, tunaelekea kuua taifa letu! leo tunaambiwa bei ya unit 1 ya umeme inapanda kwa asilimia 18, so kutoka ilipo karibu Shs. 129 tunaelekea Shs.160 kwa unit moja and then tuna matumaini ya kuvuka kutoka uchumi unaotegemea kilimo kuwa industrial led economy, Jamani acheni kuchakachua mambo ya msingi kama ikiwezaka EWURA si ife tu!
Bila kusaha mafuta ya magari yanelekea shs 2000/= kwa lita!
Kidumu:embarrassed:; Chaguzi zijazo tutakuwa makini kujua scope ya kauli mbiu kama hizi "ARI ZAIDI, NGUVU ZAIDI na KASI ZAIDI" ili kujua kama haijabeba mizigo zaidi kwa wananchi kama inavyojionesha sasa hiviUkisikia utamu hasa sasa ndio tunaanza kuonjeshwa huo utamu. Tulifurahia T-shirt, Kofia, Muziki toka TOT, mapipa ya komoni nakadhalika. Utamu wa kuongezeka kwa bei ya umeme kwa 18% kwa kila unit, haiishii tu pale unaponunua umeme.Sheshe lake linaingia katika nyanja kibao za uchumi na uzalishaji mali. Kila bidhaa yenye kutengenezwa kwa mashine inayotumia umeme wa Tanesco, basi nayo itapanda kwa karibu ya asilimia kama hiyo. Anzia ugali kwa mama Lishe, gharama ya kushona suruali/gauni, Bei ya ndoo moja ya maji pale kwenye bomba la mpemba mtaani kwetu, gharama ya kilo moja ya samaki toka mwanza nk. Gharama itapanda kwa kila kitu. Huundio mwanzo wa ARI ZAIDI, NGUVU ZAIDI na KASI ZAIDI. KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!