Sio feza nyingi,inaonyesha wengi hamjarudi nyumbani kwa muda mreeeeeeeefu,ndio mnaona hayo manamba na matamshi ayalingani na huko mliko mwambieni awape mahesabu kwenye dola mtaona huko mliko mnashida zaidi kuliko hapa bongo.
...nafikiri unaishi Pluto wewe!