Bei Mpya Ya Motor Vehicle License

Sio feza nyingi,inaonyesha wengi hamjarudi nyumbani kwa muda mreeeeeeeefu,ndio mnaona hayo manamba na matamshi ayalingani na huko mliko mwambieni awape mahesabu kwenye dola mtaona huko mliko mnashida zaidi kuliko hapa bongo.

...nafikiri unaishi Pluto wewe!
 
Ndugu zangu watanzania wote mnaomiliki magari hizi ni bei mpya kupata new motor vehicle lecence pamoja na registration za magari pale TRA Bei imepanda kwa asilimia 95%.

Hivi kweli tutafika, mafuta ya gari yamepanda, motor vehicle license nayo imepanda, nasikia na umeme umepanda kutoka 240,000/= mpk 560,000. KWELI HAYA NDIO MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA?

ENGINE CAPACITY (0 - 500)
Utalipia shilling 50,000/=
Na Penalty yake ni sh. 30,000/=

ENGINE CAPACITY IKIWA 501 - 1500
Utalipia shiling 80,000/=
Penalty yake ni sh. 42,000/=

ENGINE CAPACITY IKIWA 1501 - 2500
Utalipia shilling 150,000/-
Na penalty ni shiling 60,000/=


ENGINE CAPACITY IKIWA NI 2501 - 5000
Utalipia shilling 330,000/=
Penalty ni shilling 105,000/=

ENGINE CAPACITY IKIWA NI 5001 AND ABOVE
Utalipia shilling 175,000/=
Penalty itakuwa ni sh. 66,000/=

Nadhani hapo mtakuwa mmenipata.

Pamoja na kuwa ni lazima kodi ilipwe inakuwaje inaongezwa kwa asilimia karibu 100. Huu ni uzembe ambao kuna baadhi ya wafanyakazi wa serikali wamefanya na hawatachukuliwa hatua yoyote. Kama inflation haifiki hata 10% inakuwaje hii bei mpya inakuwa kubwa namna hiyo?

Hivi TRA huwa wanatumia vigezo gani katika kuweka viwango vyake hususan hivi?
 
Kwanza kabisa hebu tuulizane "kutokana na huu mfumuko wa bei je nani wa kulaumiwa"??

Je ni serikali au sisi wananchi?
 
For privated cars the rates given are still too cheap, rates should be increased and charged yearly however this should translate into better living and working conditions for our police force, just like other rich departments eg TRA. That means a big part of money should be used to improve the Police Force (I hope this is under Police department). Police force also should increase income through traffic fines which should be paid through banks and be higher than what it is now. I suggest to computerise their work and to install CCTV cameras to catch offenders or control motorists, CCTV cameras proved productive in many countries and it is a tool that can cut off unnecessary contact btn Police and Motorist. Kwa kutumia licence za mwaka, computer na CCTV cameras, Police hawatakua na haja ya kukagua magari ama kumkimbizana na mkosaji, wenye magari watajipeleka wenyewe kuchekiwa ama kulipa faini maana bila hivyo hawatapata license mpya.
Msingi wa maendeleo yetu (tumechagua) ni pesa kwani ili kuwa na nyumba za Police inabidi kutoa contract ya Ujenzi wa hizo nyumba kwa malipo ya pesa. Hamna njia ya mkato.
 
Pamoja na kuwa ni lazima kodi ilipwe inakuwaje inaongezwa kwa asilimia karibu 100. Huu ni uzembe ambao kuna baadhi ya wafanyakazi wa serikali wamefanya na hawatachukuliwa hatua yoyote. Kama inflation haifiki hata 10% inakuwaje hii bei mpya inakuwa kubwa namna hiyo?

Hivi TRA huwa wanatumia vigezo gani katika kuweka viwango vyake hususan hivi?

Dua

Umeangalia upande mmoja na kusahau kuwa ongezeko la kodi sio tatizo iwapo wenye magari wana uwezo wa kulipa...hivyo kama wangeongeza 5% lakini wenye magari wako hoi basi itakuwa ngumu sawa tu na kama wangeongeza 95%. Kwa viwango hivyo mimi naamini watanzania wenye magari hayo watamudu hiyo...tuombe tu itumike kama itavyotakiwa (kuboresha barabara ya usafiri kwa ujumla).
 
Nashindwa kuelewa kama bado ile KASUMBA {as said by Mwl.Nyerere} bado ss Watanzania tunao jiita Wadanganyika bado tunayo au ni kwamba tunajiendekeza?
Tumekua na vichwa viguu kuelewa au kupambanua mambo,hapa naona mto maada alilenga hali ngumu ya maisha ktk caurse ya mfumuko wa bei inayo leta kupanda kwa bei ya kila kitu kwa mtanzania mwenye mshahara wa kawaida.
Lakini hapo hapo tuna changany mambomawili kwa wakti mmoja kwa kulinganisha hali ilivyo kua hapo nyuma say mieze 24 iliyopita.Kwa maana nyingine utwala wa Bwn.Mkampa kulinganisha na Ndugu Kikwete,Naomba tuweke base ya mazungumzo au discussion hii ili tuje na conclusion ya maana na ya ukweli n a sio kua na Kasumba ya kuamini tuombiwayo na na wanayoytaka yawe hivyo.
Kwanza Ngugu mtoa maada na wachangiaji mliotangulia lazima tuelewe,NYUMBA HAIJENGWI BILA YA KUWEKA MSINGI, hapa ni na maana maatatizo au hili tatizo tulilo nalo sasa sio salwa la kumlaumu huyu Muungwana kwani yy ameichukua nchi tayari na matatizo yake ikiwemo huu UFISADI ambo ndio root ya kila ulionalo leo.Ukitaka jenga nyumba lazima uanze na msingi! msingi wa tatizo hili umejengwa miaka 6-7 nyuma kabla ya muungwana haja pewa nafasi ya kuuza sura.Mkapa ndio aliweka Msingi wa haya yote.Nakumbuka Mwl.wangu Economics shule alisema "Factor moja ya uchumi sio kama shoti ya umeme kwamba ukiwasha switch hapo hapo utaona cheche,ila it takes time mpaka impact ije kuwa revealed"
Chukua Epoch ya vipindi vya utawala wa hao waheshimiwa na otaona nini ninacho jalibu kupigia mstari,na kama kweli lazima tuwe na msingi ili tujenge jumba basi kimtazo kwa angle hii ni dhahili kwamba The beloved Mkapa ndio kiini cha tatizo.
Kama mtakumbuka au vile ijulikanavyo mwanzoni kabisa wa kipindi cha tatu cha utwala wa nchii hii Ilielezwa kwamba Raisi Mkapa ameilithi nchi ikiwa na mzigo kumkubwa wa MADENI ya NNJE amboyo wametokana na utawala mbovu wa MZEE RUKSA,natuliambiwa hii nikutokana na misingi mibovu ya uchumi wa zama za mzee yule. Tulikubaliana na hili pale tulipo takiwa kufunga mikanda kwa ajiri ya kuruhusu serikari kukusanya pesa za kulipa madeni hayo ambayo yanaendelea kulipwa mpaka leo hii,kiasi cha kuambiwa siku chache zilizo pita ili kilipa deni lote watanzania wote mpaka watoto wao walipe laki 4 na wale Watz walio nnje kila mmoja alipe sijui dola ngapi!
Sasa ni misingi ile ile Mibovu ya Bwn Mkapa kama ilivyo kuwa kwa bwana Ruksa iliyo letelea kufikia hapa tulipo.INFLATION ya kufa mtu unajikuta mwananchi wa kawaida unabeba mizigo ya serikari.So please Ndg.Dk stop bealeving on divine ruler sababu hakukuwepo na hakutokuwepo kama mtaendelea kujidanganya wenyewe ya afadhali ya furani...!Mm naita hiyo kasumba nnjooni kwenye dinia ya ukweli na anzeni kufocus baada ya kuamini muuambiwayo.Tuliweka misingi ya hayo huko nyuma sasa ndio nyumba inakaribia kwisha.
Sitaki nieleweke kama na jaribu kumtetea huyu bwana Muungwana NO! ila still kama anataka kuwa serious na kubadili hii hari anayo chance kwani ni muda mchache tu toka amepata nafasi ila yy na aliye tangulia are from the same ZOO sitoshaangaa akiwa ndio walewale.
Ni mawazo tu...!

Nimesoma maelezo yako marefu kwa umakini lakini nasikitika kuwa sijakuelewa kabisa.

Kama nyumba imejengwa mpaka kwenye renta akaja fundi mwingine kaibomoa kisa anataka kujenga ya kwake kisha hata msingi kashindwa kuumaliza kwa mwaka mmoja na nusu hatupaswi kulaumu kweli?

Maisha yalikuwa bora kwa mkapa kuliko hivi sasa, unadhani tunahitaji kufanya research kujua hilo?

They might come from the same zoo, lakini mmoja alideliver wakati mwingine kashindwa, hata uelekeo wa kufanikiwa hauonekani kabisa! Kwa ufupi yamemshinda, unless approve vinginevyo.
 
Back
Top Bottom