Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
Ilikuwa yapata majira ya saa sita usiku wa kuamkia tarehe 2/4/2012 maeneo ya mamlaka ya mji mdogo wa usa river, mvua inanyesha huku vijana wakiimba nyimbo ya msiba maarufu kama ''parapanda litalia''
ikiwa ni sehemu ya kupeana hamasa na ujasiri wa kusubiri matokeo ya uchaguzi mdogo jimboni arumeru.
hapa ndipo taharuki ilipoanza,vijana wakaanza kusukumwa huku na huko kupisha njia EL apite.
Kutahamaki!! vijana wakaanza kushambulia gari la EL.
EL akadondosha handgun yake,gari lake likavunjwa kioo cha nyuma na yeye kupata majeraha-ngeu.
Polisi wakaanza kurusha risasi za moto,mabomu ya machozi na kutembeza virungu na hatimaye kufanikiwa kumtorosha.
Shuhuda wa habari hii anauguza mguu wake uliopigwa bomu la machozi na kumuacha uchi kama alivyozaliwa.
My Take:viongozi msipende kuwaprovoke vijana wasio na ajira!wanaweza kuwadhuru!
ikiwa ni sehemu ya kupeana hamasa na ujasiri wa kusubiri matokeo ya uchaguzi mdogo jimboni arumeru.
hapa ndipo taharuki ilipoanza,vijana wakaanza kusukumwa huku na huko kupisha njia EL apite.
Kutahamaki!! vijana wakaanza kushambulia gari la EL.
EL akadondosha handgun yake,gari lake likavunjwa kioo cha nyuma na yeye kupata majeraha-ngeu.
Polisi wakaanza kurusha risasi za moto,mabomu ya machozi na kutembeza virungu na hatimaye kufanikiwa kumtorosha.
Shuhuda wa habari hii anauguza mguu wake uliopigwa bomu la machozi na kumuacha uchi kama alivyozaliwa.
My Take:viongozi msipende kuwaprovoke vijana wasio na ajira!wanaweza kuwadhuru!