Chauro
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 2,968
- 1,476
asante nighttangle maana naona humu wamama ndo victim wakubwa wa makosa kwenye mahusiano na sisi ndo wakusamehe all the time lakini kwao ni ngumu hii inatakiwa ifanye kazi kwa wote wawili kama ulikosewa lazima utafute na wewe ulikosea wapi kabla ya hukumu huwez muamini mtu kwa asilimia 100 awe mwanaume au mwanamke na pombe huwa inahairisha matatizo kwa muda tena masaa:bump:
Jamani hapa kila mtu akiweka experience yake tutakubaliana tu kuwa hakuna jinsia ya kulaumiwa hapa.
Wanaume kubalini kuwa kuna wanawake wamepitia magumu tu kama yanayopitiwa na wanaume linapokuja suala zima la mahusiano. Sema tu wanaume huwa wanaona wao wakivunja trust ni sawa kusamehewa lakini si mwananmke.
Kuna mtu hapa hapa kwenye hii mada katoa ushuhuda jinsi mkewe alivyomsamehe tena baada ya kumbamba 'live'
Lets be fair here jamani