The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,607
- 6,071
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama sikosei hapo na kazi inaenda maji siku hiyo...lolhahahahahaha kifua mbele unaipeleka kwa kazi!!!
Huyu daktari nuksi kweli..:lol:tehe..ni noma
Nasikia kila Jumatatu huwa unaenda na ED ofisini kuwa unaumwa...:eyebrows:...ngoja uje ukutane na ya hivyo siku usipomtoa daktari wako na wekunduduh ni noma hapo na kazi utakuwa umekosa hapo
Kwenye risiti acha tu...nina uhakika hapa lazima awe makini au either huyu mshikaji wakati anaandikiwa hii ED alikuwa bado ana hangover kwahiyo hata kusoma akaona uvivu...lolHahahhaha. . . . kwa hali hiyo wabongo wengi sana wangepatikana maana hata kusoma risiti tu hua wanaona tabu.
Nasikia kila Jumatatu huwa unaenda na ED ofisini kuwa unaumwa...:eyebrows:...ngoja uje ukutane na ya hivyo siku usipomtoa daktari wako na wekundu
:lol::lol:.....Preta dokta huwa haumpi offer ndio matokeo yake sasa..hilo lidokta lazima litakuwa lishamba.....
Ulimuona kaunta ya juu ukumcheki hata na Kilimanjaro moja hayo ndio matokeo sasa..lolMadaktari mengine bana!
Ndo nini kuwaumbua walipa kodi namna hii?
Kwenye risiti acha tu...nina uhakika hapa lazima awe makini au either huyu mshikaji wakati anaandikiwa hii ED alikuwa bado ana hangover kwahiyo hata kusoma akaona uvivu...lol
:lol::lol:.....Preta dokta huwa haumpi offer ndio matokeo yake sasa..