mchengusugu
Member
- Sep 21, 2016
- 26
- 18
Asee kwel ina mauza uza mkuu yan inatisha hasa huyu wa am going down again ohhWe muite tu brandon....problem ina mauza uza sana ukisoma usiku unawezanuote
Asee kwel ina mauza uza mkuu yan inatisha hasa huyu wa am going down again ohhWe muite tu brandon....problem ina mauza uza sana ukisoma usiku unawezanuote
Mkuu kimya jaman vip au ndo imepotea kama mama latoyaleo kumbe nimewasahau daa kuna kitabu nakisoma ndio kimefanya j2 iwe mwanana kabisaaaa ngoja niwafanyie mpango
Hii ndo JF, kitu kuishia njiani ni jambo la kawaida kabisa.. Inakera sema ndo hivyo vitu vya bure vinatesa.Mkuu kimya jaman vip au ndo imepotea kama mama latoya
Muwe na shukrani nae ana kazi zake za kufanya tofauti na jf mtu anajitolea tu je angekua anatodha hela ingekuaje tuwe wastaarabuHii ndo JF, kitu kuishia njiani ni jambo la kawaida kabisa.. Inakera sema ndo hivyo vitu vya bure vinatesa.
Kutoza sio Kutodha Mkuu.Muwe na shukrani nae ana kazi zake za kufanya tofauti na jf mtu anajitolea tu je angekua anatodha hela ingekuaje tuwe wastaarabu
Mradi umeelewaKutoza sio Kutodha Mkuu.
Suala sio Mradi Kuelewa, suala ni je hio ni Lugha Sanifu ya Kiswahili..... Usiku mwemaMradi umeelewa
Umeelewa nilichoandika mkuu? Nimeongelea kwa ujumla ambao una akisi ukweli, "riwaya nyingi za JF kuishia njiani ni jambo la kawaida na wala hupaswi kushangaa". Hivyo basi hii nayo inaweza ikaisha au ikawa kinyume chake kulingana na mazingira anayoyaona mwandishi.Muwe na shukrani nae ana kazi zake za kufanya tofauti na jf mtu anajitolea tu je angekua anatodha hela ingekuaje tuwe wastaarabu
Alishasema baada ya week 2 ataendelea kuna malekebisho yanafanywaUmeelewa nilichoandika mkuu? Nimeongelea kwa ujumla ambao una akisi ukweli, "riwaya nyingi za JF kuishia njiani ni jambo la kawaida na wala hupaswi kushangaa". Hivyo basi hii nayo inaweza ikaisha au ikawa kinyume chake kulingana na mazingira anayoyaona mwandishi.
Kwani ni riwaya hii ndg? Riwaya ya Peniela ndo ilisitishwa kwa wiki mbili, ila labda mimi huenda nimesahau!Alishasema baada ya week 2 ataendelea kuna malekebisho yanafanywa
shukrani sana mkuu na hongera kwako. tatizo ni kuwa kwa sie wengine mda huwa unatukaba sana. mbona hii story nimeiachia sana hata ya penieli nayo speed yake ilikuwa sio ndogo kwa siku lazima niachie sehem 10 .wakati ile ya dany kule kwa wiki nzima hazifiki hata sehem 5? hata ningeamua kuweka kila siku sehem 1 hiyo ya peniel ingekuwa bado sana mbichi .lkn huwa najitahidi ninapopata mda naweka sehem nyingi nikiwa na maanaMuwe na shukrani nae ana kazi zake za kufanya tofauti na jf mtu anajitolea tu je angekua anatodha hela ingekuaje tuwe wastaarabu
Mkuu tupia basihahaha mkuu mbona kasi yangu ni yakimwendo kasi sanaaa
Ni kweli speed yako iko juu ila sasa tatizo ni mtu ukishamaliza hamu ya kuendelea kuisoma yaan ata dk tano inakuwa ni shidaa,ila asante sana kwa stories zako izihahaha mkuu mbona kasi yangu ni yakimwendo kasi sanaaa