Bluray
JF-Expert Member
- Mar 25, 2008
- 3,449
- 127
Hahaha duh mzee hapo umenichekesha!!
Kuna bongonians wawili nawajua wako US Army na mwingine yuko Marines.
Kuna wale walioingia vipindi vya amani, sana sana waliokuja kuwa sponsored vyuoni na ROTC. Hii ilikuwa an attractive offer, unapewa hela ya kusomeshwa halafu unakuwa katika army reserves in peace time na path to citizenship.Hilo mwanangu hata mimi lingenikuta dili halafu sina mpango ningeweza kuwa tempted. Hata kina Shaggy ndipo walipoitolea hapo, he had to go to the first Iraq War though
Lakini
baada ya mivita yao hii nani anataka upuzi huu, bora hata nirudi Mkuranga nitapata deal la korosho na vibui wa msimu huko Mafia.Kwenda mivita yao hii hata usipokatwa mguu na mibomu hiyo mi psychological wounds tu tosha.
It is not worth it, kama mnatafuta mikaratasi mbona channel bwerere tu jamani?