Hii ni kwa ladies tu???
Hahahaaa beberu mwenyewe yuko kiembe mbuzi...au ndo yule uliyemchinjia NyaniGabu??Hapana, inahusu beberu mwenye mwanya!
Yaani Erickb52 mie hata sijaielewa mada, nimeona heading ya beberu nikajua ndio yule mla majani kufungua ndani holaaa! Ni fumbo hili au methali?...lol, kama umeelewa nifafanulie mpendwa!Hahahaaa beberu mwenyewe yuko kiembe mbuzi...au ndo yule uliyemchinjia NyaniGabu??
Unajua mabeberu halisi yanavyobembelezaga?? Huwa yanabembeleza hadi jike linakubali bila nguvu...sasa hapa anafananisha na watu wenye mianya...teh wako hivyo piaYaani Erickb52 mie hata sijaielewa mada, nimeona heading ya beberu nikajua ndio yule mla majani kufungua ndani holaaa! Ni fumbo hili au methali?...lol, kama umeelewa nifafanulie mpendwa!
Amejuaje kama wako hivyo?Unajua mabeberu halisi yanavyobembelezaga?? Huwa yanabembeleza hadi jike linakubali bila nguvu...sasa hapa anafananisha na watu wenye mianya...teh wako hivyo pia
Hapana Amyner ni tamathali za semi!Hili fumbo au beberu kweli?
Ok poa twende kazikwa wote tu...
haswa atakaelewa...
Beberu namjua ila mada ndio sijaelewa, imekaa ki methali methali...huwezi kuwa serious...
humjui beberuu?
Unajua mabeberu halisi yanavyobembelezaga?? Huwa yanabembeleza hadi jike linakubali bila nguvu...sasa hapa anafananisha na watu wenye mianya...teh wako hivyo pia
Kuna beberu Mbuzi...hili ndo halisi...na Beberu Bagah...hili fake....tehbeberu halisi: ...lol
mm namaanisha beberu tu...
lisilo halisi ni lip erick?