beautiful

lubazi

Senior Member
Sep 27, 2010
135
30
osaka kansai international airport japan


0896621.jpg



sidney international airport australia
0963719.jpg


charles de gaulle air france A 380 prepare to take off

1954377.jpg
 
Sisi tuna kandege kamoja tena kanatumia piston engine. Hivi mkwerre huwa anajisikiaje anapotembelea nchi za wenzie na kushuhudia madege makubwa na viwanja vya kujimwaga. Kwa kweli kama ni tabia za uswahili, basi rais wa sasa Mhe. Kanali Mstaafu. Dr. Dr. Dr. (Heshima, UDOM & UTURUKI) JAKAYA MRISHO KIWETE. Ushamba upo damuni.
 
air france A380 arriving at montreal international airport canada
1896220.jpg


air france A380 arriving at charles de gaulle paris

1894163.jpg
 
Sisi tuna kandege kamoja tena kanatumia piston engine. Hivi mkwerre huwa anajisikiaje anapotembelea nchi za wenzie na kushuhudia madege makubwa na viwanja vya kujimwaga. Kwa kweli kama ni tabia za uswahili, basi rais wa sasa Mhe. Kanali Mstaafu. Dr. Dr. Dr. (Heshima, UDOM & UTURUKI) JAKAYA MRISHO KIWETE. Ushamba upo damuni.
Jamaa yetu yeye anatalii tu!!!Ahangaike nini wakati nchi haina ndege?Ni kwamba hajifunzi hata kidogo,anakula good time tu
 
klm boeing 747 at amsterdam schiphol
2003531.jpg


lufthansa A380 at frankfurt am main

2002133.jpg
 
OR Tambo international airport south africa

0787017.jpg












KIA 2001
0214297.jpg


heathrow 1999
0977031.jpg




mahe international airport seychelles 1981



0043253.jpg

Safiri na Air Tanzania nia nia nia nia niaaaaaaaaaaaa! Nakumbuka ndo kilikuwaga kibwagizo chao cha kipindi cha AIR Tanzania cha RTD cha Idhaa ya biashara, wakuu kama mimi mnakumbukaaaaaaaaa! Mtangazi nadhani alikuwaga kama sio Sara Dumba basi ni Salama Mfamao, masikini enzi zile za Mkulima wa kisasa ndo zimepita.
 
Mambo ya Mwl JK Nyerere hayo, yamebaki kuwa historia tu kwa kizazi cha sasa, lol!
 
MD 11 swissair ikiruka kutoka dar international airport 1998

nafikiri hiyo barabara inayotokea kulia kwenda kushoto ni ya kwenda gongolamboto na hiyo inayotokea kulia kwenda chini ni ya kitunda

0044453.jpg
 
kaka hizo air tanzania za kitambo sio saizi maana saizi tunako kamoja kanakula chocho za tabora na kigoma
 
rubani kaishusha kwa ustadi mkubwa hakuna aliyejeruhiwa injini zilifeli wakati wa kutua!!
1318205.jpg
 
Back
Top Bottom