Beatrice shellukindo ni miongoni mwa wabunge wa kuigwa

Mhhhhh.......thanx
Kaka kama hujafika karatu usiropoke unajiaibisha! Karatu kuna kila kitu kwa maendeleo ya binadamu, huwez kufananisha karatu na Kilindi, Karatu kuna umeme,barabara ya lami frm Arusha via Monduli to mto wa mbu mpaka Karatu, mabenk ya nje mfano exim, hotel za kitalii, Bureau de change,maduka makubwa n.knote.Sikuhadithiwa nimefika mwenyewe kujionea, mpaka ngorongoro crater a.k.a the worlds heritage.But kwa kuwa ww sio mtalii wa ndani sikulaumu.Pole sana.Tuje Kilindi sasa, hakuna lami,frm Handen to Kilindi ni tabu tupu barabara mbovu mno,Kuna njaa, huduma za afya mbovu, hakuna hospital binafsi hata moja, bank yenyewe ilikua hakuna yan mishahara kuipata mpaka uende wilaya nyingine,bt now nasikia nmb wamefungua, hakuna huduma za maji, je ni halali kwa Beatrice Shelukindo kuzungumzia Jf mjengon na kusahau wapiga kura wake wanakufa njaa,maji pia hawana! Kwanini asizungumzie juu ya kupanda kwa bei ya mafuta ya taa mana absolutely wapiga kura wake kule Kilindi wataathirika vibaya!
 
Karatu kuna umeme? Barabara ya kwenda kule ina hali gani? Halafu mtu anataka uraisi!



Punguza jazba ...fanya utafiti kama unazungumzia sehemu hujafika.

Hapo juu umejishushia heshima maana ni wazi hujui hata Karatu ni wapi. Kwa kuongezea...Karatu wananchi wakawaida kushika dola - pesa ya kigeni ni jambo la kawaida!

Jaribu kutembelea maeneo ya nchi yako.
 
we mkaka/mdada ulietuma hii thread umejitaiid,ongeza kasi atakubarika humu Jf,usikate tamaa....kesho njoo na nyingine kama vip ata mavazi au msosi anakula unaweza unaweza msifia atatoka tu,nakesho kapige nae ubwabwa tell nimetekeleza ulichonituma mbona mambo yatasimama.
 
we mkaka/mdada ulietuma hii thread umejitaiid,ongeza kasi atakubarika humu Jf,usikate tamaa....kesho njoo na nyingine kama vip ata mavazi au msosi anakula unaweza unaweza msifia atatoka tu,nakesho kapige nae ubwabwa tell nimetekeleza ulichonituma mbona mambo yatasimama.
Piga ua weweUliyeandika hii thread ni Beatrice shelukindo.
 
Sijapata bahati ya kukutana na mbunge wa Kilindi, Beatrice matumbo shellukindo lakini anastahili sifa hasa kwa kutafuta, kushughulikia na kutafutia suluhu matatizo ya wana kilindi.nimekuwa mtumishi hapa kilindi kwa miezi kadhaa lakini wenyeji wamenieleza mambo yalivyobadilika ndani ya uwakilishi wa shellukindo. Ametoa umeme kutoka wilaya ya Handeni hadi Songe(makao makuu ya wilaya ya kilindi), amepandisha hadhi barabara kadhaa na sasa ni barabara za mkoa sambamba na kuzifanyia matengenezo kwa kiwango kikubwa. Hayo ni machache sana, ameboresha michezo, kwa ushahidi kuna wakati aliniahidi vifaa vya michezo lakini kwa Bahati mbaya nikawa nimepatwa na msiba wa marehemu baba. Hivyo namba zake nikapoteza nikiwa safarini kuelekea nyumbani songea kwenye mazishi. Hivyo kushindwa kunipatia kwa kukosa mawasiliano. Shellukindo ni msikivu, hana dharau. Hivi wanaotaka kumchafua kwa kumwingiza kwenye makundi ni wanafiki na wauza magazeti tu. Waje kilindi waone aliyoyafanya. Kama kuna mtu anamfahamu zaidi yangu aeleze leo pasipo unafiki. Ila kwa ninavyomfahamu shellukindo, ikatokea kwa bahati mbaya leo atangulie mbele ya haki na nikapewa niandike tanzia naweza nikajaza hata kurasa 10.

Pole sana maana inaonekana huna ufahamu hata chembe wa utendaji wa serikali. Hakuna mbunge yeyote katika jimbo lolote aliyechaguliwa mwakajana, halafu jimboni kwake kukawa na barabara inatengenezwa au umeme unavutwa sasa hivi halafu eti ziwe ni juhudi zake. Miradi yote ya serikali ya umeme na barabara inayotekelezwa sasa, ni lazima ilishugulikiwa na mbunge aliyepita. Wabunge waliopo sasa wamechaguliwa wakati budget ilikuwa imekwishapitishwa, kwa hiyo hakuna mradi wa umeme au barabara ambao ungeweza kutekelezwa sasa hivi kama haukupitishwa kwenye bajeti ya 2010/2011, wakati ambao Beatrice wako hakuwa mbunge. Acheni kutumika, tumieni akili mlizopewa na Mungu.
 
Pole sana maana inaonekana huna ufahamu hata chembe wa utendaji wa serikali. Hakuna mbunge yeyote katika jimbo lolote aliyechaguliwa mwakajana, halafu jimboni kwake kukawa na barabara inatengenezwa au umeme unavutwa sasa hivi halafu eti ziwe ni juhudi zake. Miradi yote ya serikali ya umeme na barabara inayotekelezwa sasa, ni lazima ilishugulikiwa na mbunge aliyepita. Wabunge waliopo sasa wamechaguliwa wakati budget ilikuwa imekwishapitishwa, kwa hiyo hakuna mradi wa umeme au barabara ambao ungeweza kutekelezwa sasa hivi kama haukupitishwa kwenye bajeti ya 2010/2011, wakati ambao Beatrice wako hakuwa mbunge. Acheni kutumika, tumieni akili mlizopewa na Mungu.
Kwanza alipe madeni aliyokopa wabunge wenzie ndo tutamuona wa maana,tunajua aliowakopa na sh ngapi na aliwaaidi atawalipa na riba lakini miezi imepita anawarusha tu.Tunakuomba uwalipe wabunge wanaokudai na hasg wale wapya wasiojua tabia yako.ASIPOWALIPA TUTAWAORODHESHA HUMUHUMU.
 
Sijapata bahati ya kukutana na mbunge wa Kilindi, Beatrice matumbo shellukindo lakini anastahili sifa hasa kwa kutafuta, kushughulikia na kutafutia suluhu matatizo ya wana kilindi.nimekuwa mtumishi hapa kilindi kwa miezi kadhaa lakini wenyeji wamenieleza mambo yalivyobadilika ndani ya uwakilishi wa shellukindo. Ametoa umeme kutoka wilaya ya Handeni hadi Songe(makao makuu ya wilaya ya kilindi), amepandisha hadhi barabara kadhaa na sasa ni barabara za mkoa sambamba na kuzifanyia matengenezo kwa kiwango kikubwa. Hayo ni machache sana, ameboresha michezo, kwa ushahidi kuna wakati aliniahidi vifaa vya michezo lakini kwa Bahati mbaya nikawa nimepatwa na msiba wa marehemu baba. Hivyo namba zake nikapoteza nikiwa safarini kuelekea nyumbani songea kwenye mazishi. Hivyo kushindwa kunipatia kwa kukosa mawasiliano. Shellukindo ni msikivu, hana dharau. Hivi wanaotaka kumchafua kwa kumwingiza kwenye makundi ni wanafiki na wauza magazeti tu. Waje kilindi waone aliyoyafanya. Kama kuna mtu anamfahamu zaidi yangu aeleze leo pasipo unafiki. Ila kwa ninavyomfahamu shellukindo, ikatokea kwa bahati mbaya leo atangulie mbele ya haki na nikapewa niandike tanzia naweza nikajaza hata kurasa 10.
Ndongu wangu akupeli silenga nipela na nenga nikutangatilia kumbenga panofu
 
Kwanza alipe madeni aliyokopa wabunge wenzie ndo tutamuona wa maana,tunajua aliowakopa na sh ngapi na aliwaaidi atawalipa na riba lakini miezi imepita anawarusha tu.Tunakuomba uwalipe wabunge wanaokudai na hasg wale wapya wasiojua tabia yako.ASIPOWALIPA TUTAWAORODHESHA HUMUHUMU.

Kweli Ngumu Kumeza, naona imekwama umeamua kumtolea uvivu, BIG UP kwa post yako ya kwanza!
Join Date : 30th June 2011
Posts : 1

Rep Power : 0
 
Punguza jazba ...fanya utafiti kama unazungumzia sehemu hujafika.

Hapo juu umejishushia heshima maana ni wazi hujui hata Karatu ni wapi. Kwa kuongezea...Karatu wananchi wakawaida kushika dola - pesa ya kigeni ni jambo la kawaida!

Jaribu kutembelea maeneo ya nchi yako.

Mkuu hata mm nimeshangaa bt nimeshampa sifa za karatu mana nimefika mara nyingi tu,
watu wanapiga tours kule wanakamata dola, yeye anafanisha na kilindi njaa tupu,hakuna umeme,ni mapori tu, hawana hata huduma za afya za kueleweka!
 
Labla nikiri kuwa sijatumwa, na sijawahi kukutana na Beatrice tukiwa wawili uso kwa uso. Nimesukumwa na utashi wangu binafsi tu. Ila anayesema kilindi hakuna umeme nadhani haijui hata location ya kilindi, barabara za kilindi kwa sasa zinapitika, kuna mabasi ya kutoka Dar hadi kilindi, tofauti na kabla. huduma ya maji kwa sasa inawekwa miundombinu, Kilindi hakuna njaa kama mchangiaji mmoja alivyojaribu kudanganya. Kilindi wanazalisha mahindi mengi sana utadhani wapo kwenye mikoa ya nyanda za juu kusini. wanaosema hakuna huduma ya afya hivi kuna wilaya yenye hospitali ya serikali zaidi ya moja? Kilindi kuna hospitali moja wilayani kama wilaya nyingine. Vijijini kuna zahanati. Au wilaya nyingine ina hospitali vijijini? Nilichojaribu ni kujenga hoja kutokana na juhudi anazofanya na upya wa wilaya. Kwani kuna halmashauri za wilaya nyingine zipo tangu uhuru lakini kwa sasa zipo sawa au imezidi kilindi mifano ninayo. Tusiwe washabiki wa watu au vyama. karibuni kilindi ili mjionee. Msibeze mafanikio ya Bity kwa maslahi ya watu, vyama au makundi. "Maisha ya mtu binafsi usichanganye na siasa."
 
Labla nikiri kuwa sijatumwa, na sijawahi kukutana na Beatrice tukiwa wawili uso kwa uso. Nimesukumwa na utashi wangu binafsi tu. Ila anayesema kilindi hakuna umeme nadhani haijui hata location ya kilindi, barabara za kilindi kwa sasa zinapitika, kuna mabasi ya kutoka Dar hadi kilindi, tofauti na kabla. huduma ya maji kwa sasa inawekwa miundombinu, Kilindi hakuna njaa kama mchangiaji mmoja alivyojaribu kudanganya. Kilindi wanazalisha mahindi mengi sana utadhani wapo kwenye mikoa ya nyanda za juu kusini. wanaosema hakuna huduma ya afya hivi kuna wilaya yenye hospitali ya serikali zaidi ya moja? Kilindi kuna hospitali moja wilayani kama wilaya nyingine. Vijijini kuna zahanati. Au wilaya nyingine ina hospitali vijijini? Nilichojaribu ni kujenga hoja kutokana na juhudi anazofanya na upya wa wilaya. Kwani kuna halmashauri za wilaya nyingine zipo tangu uhuru lakini kwa sasa zipo sawa au imezidi kilindi mifano ninayo. Tusiwe washabiki wa watu au vyama. karibuni kilindi ili mjionee. Msibeze mafanikio ya Bity kwa maslahi ya watu, vyama au makundi. "Maisha ya mtu binafsi usichanganye na siasa."


Aiseee
 
Labla nikiri kuwa sijatumwa, na sijawahi kukutana na Beatrice tukiwa wawili uso kwa uso. Nimesukumwa na utashi wangu binafsi tu. Ila anayesema kilindi hakuna umeme nadhani haijui hata location ya kilindi, barabara za kilindi kwa sasa zinapitika, kuna mabasi ya kutoka Dar hadi kilindi, tofauti na kabla. huduma ya maji kwa sasa inawekwa miundombinu, Kilindi hakuna njaa kama mchangiaji mmoja alivyojaribu kudanganya. Kilindi wanazalisha mahindi mengi sana utadhani wapo kwenye mikoa ya nyanda za juu kusini. wanaosema hakuna huduma ya afya hivi kuna wilaya yenye hospitali ya serikali zaidi ya moja? Kilindi kuna hospitali moja wilayani kama wilaya nyingine. Vijijini kuna zahanati. Au wilaya nyingine ina hospitali vijijini? Nilichojaribu ni kujenga hoja kutokana na juhudi anazofanya na upya wa wilaya. Kwani kuna halmashauri za wilaya nyingine zipo tangu uhuru lakini kwa sasa zipo sawa au imezidi kilindi mifano ninayo. Tusiwe washabiki wa watu au vyama. karibuni kilindi ili mjionee. Msibeze mafanikio ya Bity kwa maslahi ya watu, vyama au makundi. "Maisha ya mtu binafsi usichanganye na siasa."
================================================================

Ama kweli "akipenda chongo huita kengeza". Pengine kwa vile wewe ni wa kuja hapo Songe (na wala siyo wilaya yote ya Kilindi) hujui hayo unayoyaona yametokea wapi. Kwa taarifa yako hayo mambo unayoyazungumzia leo yalikuwa yanadaiwa na kupangwa na Wanakilindi tangu mwaka 1948 (wakati wa ukoloni). Jifunze kidogo historia, usikurupuke. Pengine hujui kuwa matatizo makubwa ya Kilindi ni maji na elimu. Hebu elezea mchango wa huyo mbunge ktk masuala hayo muhimu.
Na haya je, hayamhusu mbunge mwenye sifa ulizomwaga hapa?

PICHA HII ILIPIGWA HUKO KILINDI
pembeni gari la mbunge wao BEATRICE SHELLUKINDO mwenye ulemavu wa ubongo akifurahia maendeleo ya wanaKILINDI.
190397_115568648518471_100001960098301_122797_6121656_n.jpg
 
Sijapata bahati ya kukutana na mbunge wa Kilindi, Beatrice matumbo shellukindo lakini anastahili sifa hasa kwa kutafuta, kushughulikia na kutafutia suluhu matatizo ya wana kilindi.nimekuwa mtumishi hapa kilindi kwa miezi kadhaa lakini wenyeji wamenieleza mambo yalivyobadilika ndani ya uwakilishi wa shellukindo. Ametoa umeme kutoka wilaya ya Handeni hadi Songe(makao makuu ya wilaya ya kilindi), amepandisha hadhi barabara kadhaa na sasa ni barabara za mkoa sambamba na kuzifanyia matengenezo kwa kiwango kikubwa. Hayo ni machache sana, ameboresha michezo, kwa ushahidi kuna wakati aliniahidi vifaa vya michezo lakini kwa Bahati mbaya nikawa nimepatwa na msiba wa marehemu baba. Hivyo namba zake nikapoteza nikiwa safarini kuelekea nyumbani songea kwenye mazishi. Hivyo kushindwa kunipatia kwa kukosa mawasiliano. Shellukindo ni msikivu, hana dharau. Hivi wanaotaka kumchafua kwa kumwingiza kwenye makundi ni wanafiki na wauza magazeti tu. Waje kilindi waone aliyoyafanya. Kama kuna mtu anamfahamu zaidi yangu aeleze leo pasipo unafiki. Ila kwa ninavyomfahamu shellukindo, ikatokea kwa bahati mbaya leo atangulie mbele ya haki na nikapewa niandike tanzia naweza nikajaza hata kurasa 10.
Mbunge wako akikuambia kuwa anakuletea maandeleo mkimbie kama ukoma kwani hana ubavu huo kwa vile hana kasma ya kugharimia. Ni wajibu wa serikali kuleta maendeleo kutokana na kodi inayokusanya. Mbunge bora ni yule ambaye pamoja na mengine, ana ushawishi wa kuhamasha wananchi kubuni mikakati ya kujikwamua, na si yule anayesubiri Tan-road wakijenga eneo lenu, na yeye kujitwisha sifa kuwa ndiye aliyejenga...sababu eti yeye ni mbunge.
 
Think twice before you go ahead!!!...Mama huyu hakufikiria mara mbili kabla ya kupeleka mashambuliizi JF....Sijui hakujua kuwa JF ni Home of Great Thinkers..who can even govern this nation...Sasa Mama umetia mkono kwenye mzinga wa nyuki...ushauri wa Bure tulia kimya....hapa JF hupawezi.....
 
Back
Top Bottom