Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Campaign ya nini
Hata mie najiuliza, na ni nani anaifadhili?
Campaign ya nini
Kuheshimiwa!
Hivi unafikiri kwanini Rosa Parks aliamuaa kukaa kiyi cha mbele kwenye basi badala ya nyuma ambako alitarajiwa akae? Au kwanini tuliamua kudai uhuru?
Come on MM!!! come out plain bana. What the hell is this??? Tukishavaa hivyo ndo inakuaje sasa?? Tunaandamana au?? To be honest, sijakusoma kbs.
labda ni katika rufaa ya Mbunge wa Arusha......Kamanda Lema.......
sio kuwa napenda wafadhili King'asti, but i'm trying to be curious of the general motive of this campaign,its obtectives and the people or firm,behind it
labda ni katika rufaa ya Mbunge wa Arusha......Kamanda Lema.......