JF tutaendelea nayo.... tutawakosoa magamba mpaka waishie baharini kama OSAMA.
hao vibaka wa ccm wametumwa huku kuvuruga hawana hoja, kwa hiyo watanzania wanajua
Kila ninapoenda Internet cafe, Nafungua JF na ninamuachie mtumiaji mwingine na ninaisave kwenye boomark.
Viva Chadema, chadema ndo itatuletea maendeleo, ajira kwa vijana na hatimae kuondoa umasikini.
hao vibaka wa ccm wametumwa huku kuvuruga hawana hoja, kwa hiyo watanzania wanajua
Kila ninapoenda Internet cafe, Nafungua JF na ninamuachie mtumiaji mwingine na ninaisave kwenye boomark.
Viva Chadema, chadema ndo itatuletea maendeleo, ajira kwa vijana na hatimae kuondoa umasikini.