mwalimu Jr.
Member
- Aug 20, 2008
- 51
- 4
WAKATI kiongozi mmoja wa Afrika anawatetea viongozi wenzake wa Afrika kwamba eti sio wezi wala mafisadi wala wala rushwa Shirika la Habari la Utangazaji likiendesha kipindi wazi cha maingiliano na wasikilizaji wake kwa kutumia batua pepe na UJumbe mfupi umeonesha maoni tofauti kabisa.
Asilimia 100 ya wote waliotuma ujumbe kuhusu nini maoni yao juu ya viongozi wao imeonesha kwamba viongozi wao ni uozo tena uoza wa kutupwa.
Pamoja na kuchukua dakika takriban 10 kutafuta ujumbe wowote uliokuwa sio 'negative' kuhusu viongozi wa Kiafrika hakuna mafanikio yoyote yaliyopatikana.
Wasikilizaji wa kipindi cha Network Africa wameonesha kuchoshwa na kukata tamaa kabisa kuhusu uwezo wa viongozi wao wa kuwaletea maisha bora wakati wa uhai wao. Baadhi yao wamesema:
. Viongozi wamekithiri kwa ubinafsi na kutanguliza nafsi zao mbele ya nchi na watu wake,
. Viongozi hao ni nuksi na wanawaletea balaa Waafrika,
. Viongozi hao ni wala rushwa, wezi na mafisadi,
. Viongozi hao wanakazana kuwapiganisha wananchi wao wenyewe kwa wenyewe ili kuficha udhaifu wao,
. Viongozi wao ni wanafaiki na waongo wakubwa,
. Baadhi ya viongozi hao wanaishi kifahari mno ukilinganisha na hali ya maisha ya watu wao,
. Viongozi hao wanawalipa watu wao mishahara ya kiutumwa,
. Viongozi hao wanachafua siasa na demokrasia kwa ujumla kwa kutumia fedha wanayokwiba toka kwa wananchi,
. Viongozi hao hawataki kubadili katiba ili waadhibiwe kutokana na madhambi yao,
. Viongozi hao wanaabudu nchi za Magharibi pamoja na ukweli kuwa hivi sasa watakuwa na wakati mgumu sana kusaidiwa na nchi hizo,
. Viongozi hao hawana vipaji vya kuona mbali wala ujasiriamali unaoweza kutoa nchi zao kutoka safu za utegemezi na uchumi wa kikoloni,
. Viongozi hao wanashindwa kugawa madaraka na kwa kuwa nchi zao ni kubwa zinawashinda kutawala,
. Viongozi hao baada ya kutaifisha sasa wanajibinafsishia kile kilichotaifishwa huku mwananchi akiumizwa mara ya pili, kwanza, kwa kukatwa kodi ili mashirika ya umma yajengwe na sasa kwa kunyimwa gawio lake baada ya mashirika kuuzwa,
. Viongozi wengi ni wababaishaji na hawana leadership skills zozote za kunusuru watu wao na nchi zao.
Asilimia 100 ya wote waliotuma ujumbe kuhusu nini maoni yao juu ya viongozi wao imeonesha kwamba viongozi wao ni uozo tena uoza wa kutupwa.
Pamoja na kuchukua dakika takriban 10 kutafuta ujumbe wowote uliokuwa sio 'negative' kuhusu viongozi wa Kiafrika hakuna mafanikio yoyote yaliyopatikana.
Wasikilizaji wa kipindi cha Network Africa wameonesha kuchoshwa na kukata tamaa kabisa kuhusu uwezo wa viongozi wao wa kuwaletea maisha bora wakati wa uhai wao. Baadhi yao wamesema:
. Viongozi wamekithiri kwa ubinafsi na kutanguliza nafsi zao mbele ya nchi na watu wake,
. Viongozi hao ni nuksi na wanawaletea balaa Waafrika,
. Viongozi hao ni wala rushwa, wezi na mafisadi,
. Viongozi hao wanakazana kuwapiganisha wananchi wao wenyewe kwa wenyewe ili kuficha udhaifu wao,
. Viongozi wao ni wanafaiki na waongo wakubwa,
. Baadhi ya viongozi hao wanaishi kifahari mno ukilinganisha na hali ya maisha ya watu wao,
. Viongozi hao wanawalipa watu wao mishahara ya kiutumwa,
. Viongozi hao wanachafua siasa na demokrasia kwa ujumla kwa kutumia fedha wanayokwiba toka kwa wananchi,
. Viongozi hao hawataki kubadili katiba ili waadhibiwe kutokana na madhambi yao,
. Viongozi hao wanaabudu nchi za Magharibi pamoja na ukweli kuwa hivi sasa watakuwa na wakati mgumu sana kusaidiwa na nchi hizo,
. Viongozi hao hawana vipaji vya kuona mbali wala ujasiriamali unaoweza kutoa nchi zao kutoka safu za utegemezi na uchumi wa kikoloni,
. Viongozi hao wanashindwa kugawa madaraka na kwa kuwa nchi zao ni kubwa zinawashinda kutawala,
. Viongozi hao baada ya kutaifisha sasa wanajibinafsishia kile kilichotaifishwa huku mwananchi akiumizwa mara ya pili, kwanza, kwa kukatwa kodi ili mashirika ya umma yajengwe na sasa kwa kunyimwa gawio lake baada ya mashirika kuuzwa,
. Viongozi wengi ni wababaishaji na hawana leadership skills zozote za kunusuru watu wao na nchi zao.