Elections 2010 BBC wasema JK Anatarajiwa kushinda kwa kishindo!

mjiandie kuchukua matokeo yenu, kuliko kuishi kwa kudhani wakati goma liko uwanjani. msijekutamani matokeo yasiyo yenu kwa hisia au mazoea.

Thanks,..ukianika skirt utaanua skirt. ukianika soxy usirudi kwenye kamba ukaanua shati, si la kwako... alianika mwenzako na anatarajia kulianua likikauka. ANUA SOXY ZAKO UISHIE....
 
Inajulikana wazi kama Kikwete anashinda ,Je unajua kuwa wengi wa wanaohudhuria mikutano ya upinzani hawakujiandikishaa ? Hii ni hasara na ni kosa kwa vyama vya upinzani kutoweza kuwashawishi wananchi katika hekaheka za kujiandikisha ,hasara ndio hii.

Wanaokwenda mikutano ya ccm wote wamejiandikisha..,ya upinzani hawajajindikisha.? sikufahamu mikutano hii unaingia kwa kadi ya kura..
 
Hii ni kweli. Utashangaa mwenyewe riport zitakazotoewa na hawa wanaoitwa waangalizi wa uchaguzi. Watanzania tatajikomboa wenyewe na hakuna mtu kutoka nje ya Tanzania atakuja kutukomboa.
 
Hii ni kweli. Utashangaa mwenyewe riport zitakazotoewa na hawa wanaoitwa waangalizi wa uchaguzi. Watanzania tatajikomboa wenyewe na hakuna mtu kutoka nje ya Tanzania atakuja kutukomboa.

The so called waangalizi wa kimataifa ni makuwadi wa nchi zinazotunyonya kuja kuangalia kama chama tawala kinatoa matamshi ya kuendeleza unyonyaji wao Hapa tz
 
damage has been done already by chi chi m now the current is too fast and waves are high for mkwere te te te we hve already made our mind viva Slaa!
 
damage has been done already by chi chi m now the current is too fast and waves are high for mkwere te te te we hve already made our mind viva Slaa!
 
Wametangaza katika taarifa Yao ya habari saa 12 asubuhi. Wanadai sababu za ushindi wake ni mafanokio yake katika kukuza uchumi.

Hii inaashiria nchi zinazotunyonya kupitia kinachodaiwa uwekezaji sasa wanahofia Slaa akiingia madarakani itakuwa mwisho wao kuendelea kutunyonya.
Kwani hao BBC ndo watapiga kura?
 
Yaani kila ninayeongea naye amesha kuwa na msimamo kuleta mabadiliko na anapuuza propaganda za ccm dhidi ya Slaa
 
Inajulikana wazi kama Kikwete anashinda ,Je unajua kuwa wengi wa wanaohudhuria mikutano ya upinzani hawakujiandikishaa ? Hii ni hasara na ni kosa kwa vyama vya upinzani kutoweza kuwashawishi wananchi katika hekaheka za kujiandikisha ,hasara ndio hii.
Toa uthibitisho wako hapa kwamba wengu tunaohudhuria mikutano ya dr, slaa hatujajiandikisha.
La sivyo wewe ni kalumekenge
 
inawezekana umesikiliza vibaya........au ubongo wako ulishindwa kutafsiri ile habari kwani hata mimi nilisikia...........nilichosikia walikuwa wanasema slaa amewavutia zaidi watz kwa kuwaahidi kupambana na ufisadi,elimu bure na afya bure ila walisema wananchi wengi hawamkubali kikwete kwa sababu hajafanikiwa kuwapa maisha bora km alivyoahidi badala yake amekuwa fisadi na mlinda mafisadi
 
Inajulikana wazi kama Kikwete anashinda ,Je unajua kuwa wengi wa wanaohudhuria mikutano ya upinzani hawakujiandikishaa ? Hii ni hasara na ni kosa kwa vyama vya upinzani kutoweza kuwashawishi wananchi katika hekaheka za kujiandikisha ,hasara ndio hii.[/QUOTE

Hebu toa ushahidi wako hapa kuwa wanaohudhuria mikutano ya ccm wote wamejiandikisha...
 
Inajulikana wazi kama Kikwete anashinda ,Je unajua kuwa wengi wa wanaohudhuria mikutano ya upinzani hawakujiandikishaa ? Hii ni hasara na ni kosa kwa vyama vya upinzani kutoweza kuwashawishi wananchi katika hekaheka za kujiandikisha ,hasara ndio hii.
With all due respect Mwiba, umejuaje kuwa wengi anaohudhuria mikutano ya upinzania hawakujiandikisha kupiga kura? Je na hao wanaohudhuria mikutano ya ccm ni wengi pia waliojiandikisha?
 
BBC is one of the international instrument for UKOLONI MAMBO LEO. It will support everything that has maslahi to UK! Kama maamuzi yangu ni JK, au Slaa, hawawezi kunibadilisha. Target yao ni kwa babu yangu ambaye naye ameshafanya maamuzi yake mudamrefu.
Umesema kweli. Mojawapo ya fani zangu ni international politics analysit. Ili kufanikisha hivyo inanibidi niangalie habari za TV stations nyingi zinazozungumza lugha ninazozielewa. Katika experience yangu ya karibu miaka 20 sasa nimekuja kujua kuwa kila station ina bias yake, na BBC ina bias kubwa, ili kulinda maslahi yake ya ukoloni mamboleo.
 
Nalipia parking Hapa kariakoo, jamaa wanasema wamechoka kesho wanafanya kweli. "eti aliulizwa swali na Yule jamaa wa FM halafu anajikanyaga kisha tena anauliza sijui nikujibu nini".
 
May I be the first to Congratulations Kikwete kwa kushinda kwa kishindo:nono::doh:

Yaani maneno matatu ya kiingereza makosa kibao (to congratulations or to congratulate?). Matatizo ya shule za kata!

Laiti ungekuwa unamjua Acid vizuri, ungegundua kuwa ni heri yeye aliyesoma shule ya kata kuliko wewe uliyesoma shule ya St. Mtakatifu.
Jifunze kusoma katikati ya mistari.:doh::doh::doh:
 
Back
Top Bottom