Yaani maneno matatu ya kiingereza makosa kibao (to congratulations or to congratulate?). Matatizo ya shule za kata!
Yaani maneno matatu ya kiingereza makosa kibao (to congratulations or to congratulate?). Matatizo ya shule za kata!
Hatuhitaji BBC kutuelezea nani anashinda. Hii si kazi yao, watuachie sisi wananchi wa Tanzania. Maana sisi hatuwaingilii chaguzi za nchini kwao pia. Mikono mirefu ya wezi wa nchi hii tunaielewa vizuri na wanatumia media kama bbc kulaghai umma. Sisi sio wageni wa hilo. Go slaa, ushindi upo juu yako kwa kishindo cha zaidi ya asilimia 60 na ushee. Mungu ibariki Tanzania mpya, Washindwe wezi wa nchi yetu, pamoja na wezi wa kura.Wametangaza katika taarifa Yao ya habari saa 12 asubuhi. Wanadai sababu za ushindi wake ni mafanokio yake katika kukuza uchumi.
Hii inaashiria nchi zinazotunyonya kupitia kinachodaiwa uwekezaji sasa wanahofia Slaa akiingia madarakani itakuwa mwisho wao kuendelea kutunyonya.
mjiandie kuchukua matokeo yenu, kuliko kuishi kwa kudhani wakati goma liko uwanjani. msijekutamani matokeo yasiyo yenu kwa hisia au mazoea.
we umejuaje kuwa hawajajiandikisha kama siyo mchakachuaji?Inajulikana wazi kama Kikwete anashinda ,Je unajua kuwa wengi wa wanaohudhuria mikutano ya upinzani hawakujiandikishaa ? Hii ni hasara na ni kosa kwa vyama vya upinzani kutoweza kuwashawishi wananchi katika hekaheka za kujiandikisha ,hasara ndio hii.
Inajulikana wazi kama Kikwete anashinda ,Je unajua kuwa wengi wa wanaohudhuria mikutano ya upinzani hawakujiandikishaa ? Hii ni hasara na ni kosa kwa vyama vya upinzani kutoweza kuwashawishi wananchi katika hekaheka za kujiandikisha ,hasara ndio hii.
Mkuu funika kombe.....NASKILIZA bbC 89.0 KIKEKE IS VERY BIASED SHUTTING THE GUEST WHENEVER HE SPEAKS AND DEFENDING jk... KIKEKE IS IRITATING.. surely lazima niwandikie BBC through that complain link
anatia kinyaa
NASKILIZA bbC 89.0 KIKEKE IS VERY BIASED SHUTTING THE GUEST WHENEVER HE SPEAKS AND DEFENDING jk... KIKEKE IS IRITATING.. surely lazima niwandikie BBC through that complain link
anatia kinyaa
Ukweli unauma sio? Kikwete atashinda hata ukilala kwenye kituo cha kupiga kura!Mwizi wa kura mkubwa weeee. Tume imeishasema 100% ya waTz wamejiandikisha ndo mana wapigakura tuko 19.6M, sasa wewe unasema wanaohudhuria mikutano hawajajiandikisha??? Uko nchi gani wewe mpuuzi, nyie ndo mliozoea kutunyonya watanzania wenzenu.
Inajulikana wazi kama Kikwete anashinda ,Je unajua kuwa wengi wa wanaohudhuria mikutano ya upinzani hawakujiandikishaa ? Hii ni hasara na ni kosa kwa vyama vya upinzani kutoweza kuwashawishi wananchi katika hekaheka za kujiandikisha ,hasara ndio hii.
Labda ashinde kwa kura za wizi!!
Inajulikana wazi kama Kikwete anashinda ,Je unajua kuwa wengi wa wanaohudhuria mikutano ya upinzani hawakujiandikishaa ? Hii ni hasara na ni kosa kwa vyama vya upinzani kutoweza kuwashawishi wananchi katika hekaheka za kujiandikisha ,hasara ndio hii.