rugumye
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 561
- 178
Jana jioni nilishangaa kusikia mjadara juu ya uchaguzi wa Tanzania BBC wakiwapa watu mbalimbali live kutoa view zao, moja baya ambalo lilikuwa kichefuchefu ni kumweka mtu wa CCM kutamba kuilaumu CCM bila kutoa nafasi kwa mtu from Chadema.siyo sahihi. safari nyingine BBC mnapotoa mjadara hakikisheni pande zote zinakuwepo.