Gurudumu
JF-Expert Member
- Feb 5, 2008
- 2,349
- 261
Nimefuatilia ujumbe mfupi ambao wasikilizaji walituma BBC leo saa 12:30 jioni. Sikuhesabu idadi lakini takribani ujumbe 15 zilizohusu Chadema, ni ujumbe 2 tu ziliunga mkono maandano ya Chadema jana. Wafuasi wa Chadema huwa hawasikilizi BBC? Mbona ujumbe uliotumwa VoA zote zimelaani serikali na polisi? Au BBC wanashirikiana na ccm kuchakachua ukweli wa mambo?
Mkuu wa matangazo alikuwa Charles Hillary.
Mkuu wa matangazo alikuwa Charles Hillary.