BBC: Askofu Martin Shao wa Zanzibar atishiwa kifo; yadaiwa akimbia Zanzibar

akihojiwa na mtangazaji wa bbc katika Dira ya Dunia salim kikeke amesema ametumiwa meseji na mtu asiyemfahamu kuwa watamteka na kumshikilia mpaka serikali itakapo muachia sheikh farid Hadd source Dira ya Dunia. BBC kiswahili. star tv.

Taja number , jina na picha tutapata maana simu zote ziko registered; isiwe propaganda
 
Wanabodi,

Japo kwa kifupi tu, Idhaa ya Kiswahili ya BBC jioni hii imemkariri Askofu Augustino Shao wa Kanisa la Katoliki Zanzibar akidai kwamba amepokea ujumbe kupitia simu ya mkononi kwamba maishan yake yapo hatarini kwamba ni sehemu ya watu wanaowindwa na wana Uamsho. Askofu Shao anashangaa ni kwanini serikali inashindwa kudhibiti kikundi hiki cha wahuni?

Aidha kuna TAMKO LA JUMUIYA LITATOLEWA LEO.

Mpaka sasa hakuna dalili yoyote kama Amir Farid ataonekanwa.
Lakini wajue hapatakalika tena hapa tutawachinja Mapadri na Polisi wote kama kuku.
Bububu wapnesha mfano baada ya kumchinja na kumua polisi moja kwa jina anatambulika Said.
Tunatakiwa tuwe makini na askari kanzu kwani wamenza kumagwa.
Tunaiambia Serikali hatukubaliani na tamko lao walotoa jana wao ndio wanahusika moja kwa moja..
Tunataka Amir achiwe kabla ya adhuhuri.
Tuachiwe Tupumuwe.



Hivi ni kweli serikali imeshindwa kuthibiti vurugu hizi? Hawa wahuni wanapata nguvu hizi kutoka wapi?

waislamu wakitaka kuona sasa hasira za wakristu sasa waue kiongozi yoyote wa kikristu awe ni mhashamu Baba Askofu Shao au padre! sasa huyu SAID waliochinja si mwislamu mwenzao??
 
Serikali dhaifu, kuna siku zanzibar na tanzania zitapinduliwa na hao magaidi. Maalim ametest ameona kumbe inawezekana. Tusubiri makubwa zaidi.
 
[h=5]Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ina Ma Rais wa 5 (Rais wa Jamhuri (Mbara), Makamu wa Rais (M Zenj), Rais wa Zanzibar (Mzenj), Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar (Mzenj) na Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar (Mzenj), hiv ndugu zetu wa Zenj Mnataka nini, Mungu awape nn jaman? na Ndugu zetu mnaochoma Makanisa, Mungu awape nini jaman based on hiyo List....Sisi ni ndugu jaman ee, tuishi kwa aman na kupendana[/h]

ungetuwekea na data za mawaziri,naibu waziri,makatibu wakuu,makamishina,wakurugenzi,tujue
 
Title na content mbali mbali. Askofu Agustino Shao na Martin Shao ni watu wawili tofauti. Kuwa makini unapoleta mada usikurupuke. Sasa tuambie alyetishiwa ni Martin Shao au Augustino Shao?
Ni Mhashamu Baba Askofu Augustino Shao. Nilikosea, nikarekebisha baada ya kukumbushwa.Nimeshindwa ku edit Title.Kumradhi Baba Askofu Dr.Martin Shao na wana bodi
 
Asilimia 70% ya wananchi ukipambana nayo siutaumia bora hawa 30% wakijidai kuwaiga hawa tutawapiga risasi au tutawatesa manake CDM yao taasisi ndogo sana.
Mikutano ya Chadema Arusha Polisi waliua watu watatu, Morogoro mmoja, Iringa Mwangosi, Mbeya mmoja. Mazingira ya mikutano yote ya Chadema hayakuwa na mapambano yoyte. Iweje sasa Watu wanavamia wizara, wanaua polisi (FFU), wanachoma ofisi za CCM, wanachoma madhabahu na makanisa, wanatoa siku 7 kwa serikali, wanafanya fujo Kariakoo n.k lakini hata kwenzi tu hawapigwi. Kuna siri gani hapa?
 
Huu ndio wakati wakristo wote bila kujali madhehebu yetu tuungane kutetea imani yetu kumbukeni tulikubali kuwa askari hodari wa yesu kristo ambaye ni mungu aliye hai
 
SMZ ndiyo Uamsho. Lengo likiwa kufuta ukristo Zanzibar. Kwanini masheikh hawatishiwi?. Kutekwa kwa Kiongozi wao kuna uhusiano gani na Ukristo.
 
Mwanzilishi wa ukristo alikuwa mpole, mtii na mnyenyekevu, hadi kukubali kuuawa msalabani,japo Mungu ALIMFUFUA. baadhi ya dini zilienezwa kwa upanga hivyo hatushangai kwani mbweha hawezi kuzaa paka, au kunguru kuzaa njiwa na nyoka kuzaa mjusi
 
Haya ni matokeo ya serikali dhaifu! Walitugawa kwa propaganda za udini ili wapate ulalali wa kutawala, sasa unawarudi hata wao wanaanza kukurupuka! Uamsho waliponza kumwaga sumu waliona sawa kwa kuwa walijua hiyo ni turufu ya wao kuendelea kuwapo. Sasa wanakumbuka shuka tayari kumeshakucha!
 
Wanabodi,

Japo kwa kifupi tu, Idhaa ya Kiswahili ya BBC jioni hii imemkariri Askofu Augustino Shao wa Kanisa la Katoliki Zanzibar akidai kwamba amepokea ujumbe kupitia simu ya mkononi kwamba maishan yake yapo hatarini kwamba ni sehemu ya watu wanaowindwa na wana Uamsho. Askofu Shao anashangaa ni kwanini serikali inashindwa kudhibiti kikundi hiki cha wahuni?

Aidha kuna TAMKO LA JUMUIYA LITATOLEWA LEO.

Mpaka sasa hakuna dalili yoyote kama Amir Farid ataonekanwa.
Lakini wajue hapatakalika tena hapa tutawachinja Mapadri na Polisi wote kama kuku.
Bububu wapnesha mfano baada ya kumchinja na kumua polisi moja kwa jina anatambulika Said.
Tunatakiwa tuwe makini na askari kanzu kwani wamenza kumagwa.
Tunaiambia Serikali hatukubaliani na tamko lao walotoa jana wao ndio wanahusika moja kwa moja..
Tunataka Amir achiwe kabla ya adhuhuri.
Tuachiwe Tupumuwe.



Hivi ni kweli serikali imeshindwa kuthibiti vurugu hizi? Hawa wahuni wanapata nguvu hizi kutoka wapi?

hivi hawa ndugu zetu ujasiri wa KUCHINJA CHINJA WALIUPATA WAPI? AU NI MAZOEZI YALE YA KUCHINJA CHINJA WANAYOYAFANYA WAKATI WA HIJA?
 
sasa huyu askofu ndio alie mteka shekh farid ? yaani baada ya kulaani shauri la kutekwa nyara analeta ufedhuli
asiwagombanishe wazanzibar
kwa kauli hizi itaonekana kama kanisa linahusika ....

Mkuu, unaelewa maana ya kutekwa nyara? Au ndio wale wa kufuata mkumbo na kuunganisha hadithi uliyoisikia kwa wengine nawe ukaongeza vya kwako ili uonekane nawe hauko nyuma kwa "breaking news"?

Ungesikiliza maelezo ya dereva wa huyo sheikh, usingesema ametekwa nyara.
Huyo askofu ana akili na busara sana, ndiyo maana hakuweza kulaani kunakosemekana kutekwa nyara kwa huyo sheikh, kwa sababu hakuna aliyethibitisha zaidi ya kusikia kwamba aliteremka kutoka katika gari yake na kwenda kuingia katika gari nyingine.
Hiyo inamaanisha ni gari ya mtu anayemfahamu, kwa sababu hakuingia kwa shuruti. Sasa huo efedhuli wa askofu unatoka wapi?
 
Rais, Makamu wa rais, IGP, Mkuu wa TISS, Kamanda Kanda Maalumu, wote ni Waislam. Sasa ni nani anayewanyanyasa Waislam kama si akili ndogo tu za mbwa hawa!


uislamu si jina kilemba kofia wala kanzu ni matendo
 
Mikutano ya Chadema Arusha Polisi waliua watu watatu, Morogoro mmoja, Iringa Mwangosi, Mbeya mmoja. Mazingira ya mikutano yote ya Chadema hayakuwa na mapambano yoyte. Iweje sasa Watu wanavamia wizara, wanaua polisi (FFU), wanachoma ofisi za CCM, wanachoma madhabahu na makanisa, wanatoa siku 7 kwa serikali, wanafanya fujo Kariakoo n.k lakini hata kwenzi tu hawapigwi. Kuna siri gani hapa?

Red: Labda ni kwa kuwa mtoa amri mkuu anapenda hayo wanayofanya...
 
  • Thanks
Reactions: SG8

Similar Discussions

Back
Top Bottom