wadau jf nina degree ya business administration(accounting) gpa 3.9 natafuta kazi ili kujikimu pamoja na kupata experience,kama kuna mtu yoyote mwenye information au mawazo naomba msaada wenu
Mkuu haya ndo maisha yetu tulio wengi so pambana kila nyanja mana siku hizi kila mtu anajitahidi kusikilizia anakotokea na umeshakua msala kwa wasomi wengi. Kikubwa kuwa na marefa wa maana kutoka utatoka japo utakua umechoka sana.
Siku hizi unapotafuta kazi una invest kwa kufanya kazi ya kujitolea..
ili walau uendelee kupata experience while at the same time networking...
Thou hata hixo za kujitolea na interships imekua shida, ni kujituma sana
kutembelea maofisi mbali mbali related on your area of study...
It will take time but eventually utapata kazi.... Best of Luck.
nenda kwenye audit firm yoyote ufanye kazi hata kwa ujira mdogo lakini utapikwa vizuri kikazi.wakati unafanya kazi jiandikishe for CPA exams,itakusaidia kuwa up todate hata kama hutafaulu lakini pia soko linataka sana CPAs mkuu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.