Alikuwa kwenye season iliyopia bana... Ni mmoja wa wale niliowapenda sana, bahati mbaya ALIONDOKA bila kuwa nominated (kama mna kumbukumbu)...Hata mimi simkumbuki jane, sio BBA II huwa siwakumbuki vizuri washiriki wa ile BBA sikuifuatilia sana. Ningefurahi kumuona Warona kutoka Botswana (BBAI),
Ha ha ha ha... Itabidi niende SA this time...ha ha ha Invisible nakumbuka koment yako juu ya hiki kifaa mwaka jana, lazima wamekukuna sana kukuletea tena huyu mtoto ndani ya nyumba. Huyu sio yule alilia usiku kucha akaamua kujitoa??
Mkuu huyu ndiye Jennifer...
Sheila ameingia sasa, anaiwakilisha Kenya. Jennifer anaiwakilisha Mozambique
Hapo tayari Sammy na mwisho watakuwa na company, alafu Sheila na Munya ni intake moja? hawa si ndio? nahisi tutaona alliance za kufuatana na intake yaani wale wa BBA I, II, nk
10th Housemate; Meryl for Namibia!
Wavuta sigara na walevi wamekutana ha ha ha! Weed pia naona wapo wakamataji (Kaone mmojawapo?)Huyu ni kichaa, na alisha-admit kwamba alishawahi kuvuta weed. But ana kelele sana. Naona mwaka huu kunaweza kuwa na wavutaji sigara wengi sana.
Wavuta sigara na walevi wamekutana ha ha ha! Weed pia naona wapo wakamataji (Kaone mmojawapo?)
Now, Uti representing Nigeria becomes the 11th housemate to enter the house
Mwenyewe nilikuwa nawazia hapa... Akirejea kaazi kwelikweli... Maureen je? Si mchezo... Ila nahisi Hannington anakuja!Fingers crossed, sijui Lucille atakuwepo ndani ya nyumba?
Gaitano atakuwa mzee sasa kwa michezo hii na pia kuwa presenter wa moja ya channel za Mnet sidhani kama itapendeza kumleta tena ndani ya nyumba, mwaka ule alikuwa tayari 32 nadhaniMwenyewe nilikuwa nawazia hapa... Akirejea kaazi kwelikweli... Maureen je? Si mchezo... Ila nahisi Hannington anakuja!