mbogo31
JF-Expert Member
- Nov 28, 2008
- 711
- 173
Nimependa Uchambuzi na pia nimefurahishwa na wepesi wa Dr Slaa kuja kujibu na kuchukua hoja, amesema wameshaanza na tuone matokeo yake hapa dar, na nilivyomwelewa ni kwamba wanaanzia dar na kuenea nchi nzima, Kundi hili la wananchi (Akina mama) ni kubwa sana; ni muhuimu lisiachwe nyuma katika safari ya kuleta mabadiliko ya kweli katika nchi hii.
Aksante sana mleta hoja, hii ni hoja ya kujenga Chama na nchi kwa ujumla.
Aksante sana mleta hoja, hii ni hoja ya kujenga Chama na nchi kwa ujumla.