BAVICHA yazidi kujitanua ULAYA

Zawadi,

Unajua unapojikuta unatumia nguvu nyingi kuamini na kusambaza propaganda cheap ni fedheha sana?

Mfumo wa kushirikiana kwa vyama vya siasa haujaanza Leo.Upo miaka mingi.Vyama husaidiana katika capacity building n.k. Hizi cheap propagnda za kaina wasira (ambao wapo tayari hata kuwakana watoto wao) kwa maslahi ya kisiasa ni uvivu tu wa kufikiri

CHADEMA still has a learning curve and we will get there but we must do the needful and partner with people, parties with whom we share similar ideas

The last few days have shown that a well organised democratic system will always serve the people better and make the country stronger.Na hii ndiyo motive ya chama chochote makini cha siasa kama CHADEMA

Huu ufadhili mnaosambaza kwa hisia na hofu tu hautasaidia zaidi kukitangaza CHADEMA vizuri.Mtindo huu wa kutumia muda mwingi kutafuta propaganda badala ya kutafuta solution ya matatizo ya wananchi ili mpendwe haitasaidia,ni jaribio la ushirikina tu!

Kwanza nakupa 5, maana umejibu hoja. Kwa bahati mbaya ni wachache kama wewe, vinginevyo utasikia STUPID THINKING n.k.

Niruhusu ninukuu point kuu yako ...."Mfumo wa kushirikiana kwa vyama vya siasa haujaanza Leo.Upo miaka mingi.Vyama husaidiana katika capacity building n.k." Hapo umenena lakini wekeni wazi ili tuelewe. Mnavyoandika ni kama vile hakukuwa na ushirikiano kati ya vyama hivyo yaani CHADEMA na CHRISTIAN DEMOCRATIC PARTY cha Ujerumani. Ni ushirikiano gani mlionao na chama hicho tyawala ujerumani cha Bi Angel Markel?

Hapa umefungua ukurasa mpya kwani angalau umekubali kuwepo kwa ushirikiano, hiyo ni hatua nzuri sana. Ili tuendelee kujuzana na kujadili point vizuri. Naomba ninukuu tena pale ulipoandika:
"CHADEMA still has a learning curve and we will get there but we must do the needful and partner with people, parties with whom we share similar ideas".... Hivi ni similar ideas gani mnashare na CHRISTIAN DEMOCRATIC PARTY cha Ujerumani?

Nina mengi ya kuandika, lakini kabla sijaendelea nasubiri majibu yako kwa faida yangu, wapenzi wa CHADEMA na watanzania wote kwa ujumla.
 
Kuna Waislam wawili tu...

Unatatizo gani wewe, mbona unaonekana kama kupe wa udini, kitu ambacho inatakiwa kukifanya waisilam ni kujiunga kwa wingi cdm. Alaf nafasi za uongozi zinpotokea wenye uwezo na nia njema ya ukombozi wa taifa hili wagombee, na endapo watabaguliwa basi tunaweza kutoa kauli ya kudhibitisha vingenevyo. Dini isitugawe na kurudisha nyuma mapambano.
 
Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa John Heche na Katibu Mkuu wake Deogratius Munishi wamealikwa na Baraza la vijana la chama tawala nchini Ujerumani kuhudhuria mkutano wake mkuu.
Vijana hao wa BAVICHA wamealikwa kama wawakilishi kutoka Tanzania na Africa kwa ujumla.Pia wamepewa heshima kubwa ya kuhutubia mkutano huo mkuu.
Mkutano mkuu huo utahudhuriwa na Chancellor wa Ujerumani Bi. Angel Markel.

Hakika Bavicha inang'arisha CDM kimataifa.
 
Nashukuru mkuu kwa majibu yako murua, CUF na Chadema kumbe wote wanafanana.
mimi mwenyewe siwezi kukaa upande wa dini tuu nikashindwa hata kuangalia ukweli mbona sisi CCM kuna watu ni viongozi wa taasis za vijana lakini kiumri ni wazee MFANO MZEE SHIGELA AMEVUKA MIAKA 40 ETI KATIBU WA VIJANA
 
Kwani mahusiano ya ccm na chama kile cha devil worship cha malasia yalisitishwa yale ya kuelekeza ajali za barabarani?
 
Makamanda Suala la Ulaya ni just for some days not always. Pia hata huku kwetu si kwamba kila siku watakuwa vijijini kufanya mikutano,kuna kipindi kinaitwa ''let them learn from their choice"-torture from their choice" Hivyo mimi naona ni sahihi kwenda kwani for some few days watarudi.
 
mimi mwenyewe siwezi kukaa upande wa dini tuu nikashindwa hata kuangalia ukweli mbona sisi CCM kuna watu ni viongozi wa taasis za vijana lakini kiumri ni wazee MFANO MZEE SHIGELA AMEVUKA MIAKA 40 ETI KATIBU WA VIJANA

Huyo Shigela anaichafua sana UVCCM kwa umri wake.
 
Kwani kipya ni nini hapa? Au wanachama wa CHADEMA mnafuata chama bila kujua asili yake?

CHADEMA ni chama kilichoundwa na kufadhiliwa na CDU. CDU ni christian democratic part cha ujerumani, kikiongozwa na Bi Angel Markel na ndicho kinachotawala Ujerumani. Pesa zote za chaguzi zote katika CHADEMA hutokea Ujerumani, hivyo CHADEMA ikishinda ni sawa na Ujerumani au CDU kutawala Tanzania. Hivyo BAVICHA au Uongozi wa CHADEMA kwenda Ujerumani wala si habari mpya. Wamekwenda na watakwenda sanaaaa.

Kifupi ukoloni upo njiani kurudi kwa njia ya vibaraka. Mnataka kurudisha ukoloni chagueni CHADEMA.

Wee chizi hayo mapesa aliyopewa babako kiwete huko marekani yametoka kwa watanzania waishio marekani au!!!!!!!!!!! fikiria marekani mwenyewe baada ya uchumi kuyumba ulaya walishiriki kuweka mshiko iliku-stimulate uchumi wewe boga kwelikweli.Ujerumani kwa taarifa yako ndiyo wanaotoa fedha za mafunzo ya wanajeshi wenu, hapo utasema mkoloni, ccbrt inayowaponyesha watanzania macho yao ni wajerumani, hospital ya lugalo mfadhiri wake wajerumani.Achana na NAPI wewe vaa gwanda uonje utamu.UMEBUGI MEEN!!!!
 
Kwanza nakupa 5, maana umejibu hoja. Kwa bahati mbaya ni wachache kama wewe, vinginevyo utasikia STUPID THINKING n.k.

Niruhusu ninukuu point kuu yako ...."Mfumo wa kushirikiana kwa vyama vya siasa haujaanza Leo.Upo miaka mingi.Vyama husaidiana katika capacity building n.k." Hapo umenena lakini wekeni wazi ili tuelewe. Mnavyoandika ni kama vile hakukuwa na ushirikiano kati ya vyama hivyo yaani CHADEMA na CHRISTIAN DEMOCRATIC PARTY cha Ujerumani. Ni ushirikiano gani mlionao na chama hicho tyawala ujerumani cha Bi Angel Markel?

Hapa umefungua ukurasa mpya kwani angalau umekubali kuwepo kwa ushirikiano, hiyo ni hatua nzuri sana. Ili tuendelee kujuzana na kujadili point vizuri. Naomba ninukuu tena pale ulipoandika:
"CHADEMA still has a learning curve and we will get there but we must do the needful and partner with people, parties with whom we share similar ideas".... Hivi ni similar ideas gani mnashare na CHRISTIAN DEMOCRATIC PARTY cha Ujerumani?

Nina mengi ya kuandika, lakini kabla sijaendelea nasubiri majibu yako kwa faida yangu, wapenzi wa CHADEMA na watanzania wote kwa ujumla.
Kwanza naomba niweke sawa assumption za baadhi ya watu hasa wachangiaji ambao mara nyingi nimekuwa nikiwaona wakitumia jina CDU kama chama cha wakristu.In essence CDU ina members ambao ni wakristu na wasio wakristu.Katika extreme point CDU ina wanachama ambao hawana Dini.Ndiyo,wasioamini kwamba Mungu yupo

CDU katika historia ya Ujerumani ni chama ambacho kiliweka msingi imara wa utu,Demokrasia,uchumi na heshima ya Taifa la ujerumani baada ya vita kuu ya pili ya Dunia.

Mfumo huu ulichagizwa zaidi na muundo mpya wa mfumo wa uchumi ulioasisiwa na kiongozi mahiri kansela Konrad Hermann Joseph Adenauer.Adenauer (Mzee) alianzisha chama hiki baada ya kufukuzwa umeya wa cologne.Alikuwa mwanachama wa center party ambacho kilikuwa mwanzo wa kuzaliwa kwa CDU.

Chama hiki ni cha mrengo wa kulia.Chadema ni center party kinachoweza ku-share ideas kwa ku-squeze upande ambao ni more liberal katika focus yake kwa umma.Kinaweza kuegemea zaidi mrengo wa kulia.Chadema na CDU vyote ni miongoni mwa jumuiya ya vyama kidemokrasia duniani yaani International democratic union(IDU).Kwa hapa Afrika Mashariki miongoni mwa vyama hivyo ni chama cha FDC cha uganda kinachoongozwa na Dr.kiiza Besigye.Vyama vingi katika muungano huu ni vyama vyenye kuegemea katika mfumo wa kibepari lakini mfumo ambo ni regulated

Kuna vyama ambavyo ni vya kihafidhina kweli kweli katika muungano kama conservative ya Uingereza,Republican na Conservative za Canada na Australia

Pia CDU ya ujerumani pamoja na kuwa center-right wing lakini kimeweza ku-adopt policies nzuri kwa Taifa la ujerumani.Kwa mfano mfumo wa wa uchumi unaofuata soko kwa kuzingatia maslahi ya jamii husika9social market Economy) umelisaidia sana taifa la Ujerumani.Huu ni kama uchumi mseto(mixed economy) ambao unaruhusu serikali kuingilia kwa kiasi fulani mfumo wa kiuchumi ili kuhakikisha utu na heshima za raia wake zinalindwa.Itikadi hii inazaa usawa katika umiliki wa raslimali za Taifa.Hii ni mojawapo ya ajenda za Chadema

Ingawa CDU chini ya Chancellor Helmut Kohl imekuwa ikifuata uchumi wa kiliberali lakini alifanya hivyo kutokana na hali ya uchumi duniani na tayari ujerumani ilikuwa na msingi imara ulioasisiwa na Konrad baada ya vita kuu ya pili ya dunia.Laissez faire Economic Liberalism inaweza kufuatwa iwapo kuna mfumo intact wa uchumi,Laissez faire ni neno la kifaransa linalomaanisha 'let it be'(mambo yabaki vivyo hivyo/liwalo na liwe ingawa si kama ile ya Pinda Vs Ulimboka).Hata hivyo aina hii ya uendeshaji wa uchumi haijawahi kutumiaka yenyewe mahali popote duniani ndiyo maana nimesema ni lazima kuwa na msingi imara utakaochanganya na miundo mingine ya kiuchumi na kijamii.Hapo ni kwa kifupi na kwa haraka,Ukinihitaji tena nitakuja mkuu!
 
Kwanza naomba niweke sawa assumption za baadhi ya watu hasa wachangiaji ambao mara nyingi nimekuwa nikiwaona wakitumia jina CDU kama chama cha wakristu.In essence CDU ina members ambao ni wakristu na wasio wakristu.Katika extreme point CDU ina wanachama ambao hawana Dini.Ndiyo,wasioamini kwamba Mungu yupo

CDU katika historia ya Ujerumani ni chama ambacho kiliweka msingi imara wa utu,Demokrasia,uchumi na heshima ya Taifa la ujerumani baada ya vita kuu ya pili ya Dunia.

Mfumo huu ulichagizwa zaidi na muundo mpya wa mfumo wa uchumi ulioasisiwa na kiongozi mahiri kansela Konrad Hermann Joseph Adenauer.Adenauer (Mzee) alianzisha chama hiki baada ya kufukuzwa umeya wa cologne.Alikuwa mwanachama wa center party ambacho kilikuwa mwanzo wa kuzaliwa kwa CDU.

Chama hiki ni cha mrengo wa kulia.Chadema ni center party kinachoweza ku-share ideas kwa ku-squeze upande ambao ni more liberal katika focus yake kwa umma.Kinaweza kuegemea zaidi mrengo wa kulia.Chadema na CDU vyote ni miongoni mwa jumuiya ya vyama kidemokrasia duniani yaani International democratic union(IDU).Kwa hapa Afrika Mashariki miongoni mwa vyama hivyo ni chama cha FDC cha uganda kinachoongozwa na Dr.kiiza Besigye.Vyama vingi katika muungano huu ni vyama vyenye kuegemea katika mfumo wa kibepari lakini mfumo ambo ni regulated

Kuna vyama ambavyo ni vya kihafidhina kweli kweli katika muungano kama conservative ya Uingereza,Republican na Conservative za Canada na Australia

Pia CDU ya ujerumani pamoja na kuwa center-right wing lakini kimeweza ku-adopt policies nzuri kwa Taifa la ujerumani.Kwa mfano mfumo wa wa uchumi unaofuata soko kwa kuzingatia maslahi ya jamii husika9social market Economy) umelisaidia sana taifa la Ujerumani.Huu ni kama uchumi mseto(mixed economy) ambao unaruhusu serikali kuingilia kwa kiasi fulani mfumo wa kiuchumi ili kuhakikisha utu na heshima za raia wake zinalindwa.Itikadi hii inazaa usawa katika umiliki wa raslimali za Taifa.Hii ni mojawapo ya ajenda za Chadema

Ingawa CDU chini ya Chancellor Helmut Kohl imekuwa ikifuata uchumi wa kiliberali lakini alifanya hivyo kutokana na hali ya uchumi duniani na tayari ujerumani ilikuwa na msingi imara ulioasisiwa na Konrad baada ya vita kuu ya pili ya dunia.Laissez faire Economic Liberalism inaweza kufuatwa iwapo kuna mfumo intact wa uchumi,Laissez faire ni neno la kifaransa linalomaanisha 'let it be'(mambo yabaki vivyo hivyo/liwalo na liwe ingawa si kama ile ya Pinda Vs Ulimboka).Hata hivyo aina hii ya uendeshaji wa uchumi haijawahi kutumiaka yenyewe mahali popote duniani ndiyo maana nimesema ni lazima kuwa na msingi imara utakaochanganya na miundo mingine ya kiuchumi na kijamii.Hapo ni kwa kifupi na kwa haraka,Ukinihitaji tena nitakuja mkuu!

Kamanda Ben
Ni wachache sana katika Magamba watakuelewa kwa majibu yako haya Mujarab.But in actual fact you are really a Great thinker!
 
Kamanda Ben
Ni wachache sana katika Magamba watakuelewa kwa majibu yako haya Mujarab.But in actual fact you are really a Great thinker!
Thanks a lot comrade.Tutaendelea kuwapa shule tu hadi wakae sawa.Kufika 2015 90% watagundua wako wrong side.
Pamoja sana kamanda, I look forward to a future of synergistic collaboration between the two of us.Cheers!
 
atleast sasa naanza kupata mwanga, kumbe kelele zote mpaka mnataka kutoana macho ni kwa ajili ya hivi vitrip vya ulaya na viposho vya hapa na pale?

comment zako zinafanana na jina lako ,kumbuka pry ,wimbo huu-njaa ipo njaa ipo...alikuwa nan?
 
Acha udini wewe.Ulaya kabla ya atheism kila nchi ilikuwa na vyama vikuu vilivyotokana na ukristu.Ingawa vingi ukristu haupo tena humo.Na hawa wamekuwa wak deal na nchi zote zenye mahusiano na nchi zao.Kuanzia za kiislam haswa hadi za kibudha.Wapakistani na ulevi wao wa dini wana mahusiano na hivo vyama.CCM na CUF pia wanakuala mgao.Ni wewe tuu ndio hujui hilo na vyama vyenu vinapiga kimya ili kupotosha uma.Sabodo alianza waumbua na sasa ktk website ya Shirika la kijerumani lilikokuwa GTZ wameweka kila kitu.

Udini ni mbaya sana.....
 
Kweli mkuu vp kuhusu ZITTO NA URAIS INAKUWAJE BEN VIJANA WAKE MNASEMAJE MCHANGE AMESHAROPOKA LEO KWENYE RAIA MWEMA

Hili ni tusi kwangu,niombe Radhi ! Kama kuna vijana wa Zitto,au mtu yeyote basi mimi si mmojawapo.

Kuhusu Zitto na Urais muulize yeye Mwenyewe.Hayo Maswala ya Mchange Ungeweza kumuuliza!
 
mkuu mimi ni mwanachama wa chadema,kujitanua ulaya inasaidia kuingiza chadema madarakani?kwa nini msihangaikie kujitanua mikoa yote tanzania the ulaya will follow??
tuondolee uzushi kwa signature yako tu yatosha kujua wewe ni mlengo gani toka zako fisadi mkubwa wee
 
Back
Top Bottom