Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,927
- 32,336
Ahaaa mkuu nani asiyetaka kutoa tongotongo za macho? Huoni wenye chama kila siku safarini USA na Ulaya kuongea na watu ambao hata uwezo wa kurudi bongo na kupiga kura hawana!
Chama
Gongo la mboto DSM
Mkuu chama,
Hakuna ujanja tena inabidi ajikite Arumeru tu.
Last edited by a moderator: