only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
........M/kiti wa jumuiya ya vijana Taifa ya CDM John Heche amekanusha habari zilizotolewa na gazeti la UHURU kuwa CDM inahusika na migomo ya vyuo vikuu hapa Tanzania.
Ameihasa serikali iache kutibu matokeo badala yake itibu ugonjwa wenyewe ambao ni matatizo ya wanachuo wenyewe,na akaendelea kusema wanachofanya serikali ni kuipa promo ya bure kwa wananchi CDM kupitia PUBLICITY nadhani wale marketers wanaelewa maana ya PUBLICITY.
Source:Star TV
Ameihasa serikali iache kutibu matokeo badala yake itibu ugonjwa wenyewe ambao ni matatizo ya wanachuo wenyewe,na akaendelea kusema wanachofanya serikali ni kuipa promo ya bure kwa wananchi CDM kupitia PUBLICITY nadhani wale marketers wanaelewa maana ya PUBLICITY.
Source:Star TV