Mdutch
JF-Expert Member
- Nov 17, 2011
- 214
- 77
Nimepita kwenye facebook wall ya katibu mkuu wa BAVICHA Deogratias Munishi nikakuta picha hii akiwa nahutubia mkutano wa vijana wa demokrasia duniani huko Sydney Australia kwenye ukumbi wa bunge la nchi hiyo.
sijajua nini alichokua anawasilisha na hiyo ilikua ni jana.
Nawapongeza viongozi wa Bavicha ila challenge ni kwamba mkumbuke mna kazi kubwa hapa nyumbani ya kuwafanyia vijana.
Huyo ndiyo Munishi katibu mkuu wa BAVICHA akiwa nafanya vitu vyake uko Sydney. UVCCM mpooooooo?
sijajua nini alichokua anawasilisha na hiyo ilikua ni jana.
Nawapongeza viongozi wa Bavicha ila challenge ni kwamba mkumbuke mna kazi kubwa hapa nyumbani ya kuwafanyia vijana.
Huyo ndiyo Munishi katibu mkuu wa BAVICHA akiwa nafanya vitu vyake uko Sydney. UVCCM mpooooooo?